Wala una aja ya kuwafafanuliha ao wajuhaji. Wabongo bongolala sana. Wanajidahi wajuhaji kwa kila kitu. Kuchamba kwingi...Mleta uzi kawatoa knock out wengi humu wameshindwa kumuelewa.
Jamaa kajiweka kwenye position ya hao mazuzu wanaoandika kwa namna hii.
Sawa oja yako tumeisomaNgoja nihende moja kwa moja kwenye oja. Ivi uu uhandishi watu wanahondoa irabu na kuweka konsonanti [h] ama kinyume chake humetokeha wapi? Ni shule mbovu hau ni stahili mpya? Ninadhani mumenihelewa.
Yah...nimehisoma mkuuHasante sana kama umehisoma
wewe ata aujui kitu. hujuaji hutakuhangamiza
Yupo serious ila anachofanya ni kufikisha Ujumbe design ya hao jjamaa wanondoa irabu na kuweka konsonanti .Huyu hayuko serious, anachezea akili zetu
wewe mwenyewe haujui kuandika.....Ngoja nihende moja kwa moja kwenye oja. Ivi uu uhandishi watu wanahondoa irabu na kuweka konsonanti [h] ama kinyume chake humetokeha wapi? Ni shule mbovu hau ni stahili mpya? Ninadhani mumenihelewa.
Asante. Wahambie ao. Shida ya wabongo ni ujuhaji. Wapo negative mara nyingi. Wanapenda kutumia mgongo wa mtu kupunguza stress zaho. Awajuhi wao ndiho wanahonekana awafikiri kwa kinaMleta mada anajielewa vizuri tu, ameamua kufikisha ujumbe ili watu waone athari na madhara ya anachokiongelea.
Unafikiri angekua haelewi angona kama huo uandishi unatatizo hadi auanzishie uzi?