LexPaulsen
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 308
- 594
mkuu international whatever zinakuja baada ya kusafiri nje- bado uko pale pale utapewa passport kwa madhumuni ya kusafiri nje ya nchi na lazima uonyeshe uthibitisho kuwa unatakiwa kusafiri- mbona ni rahisi tu mkuu?
Dunia imebadilika, kutafuta fursa vitu vingi vinaanzia online before hata hujawaza kusafiri na passport number inahitajika.