Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,406
- 79,653
Mkuu naomba kufahamu ni kipi kinahitajika (documents) ili kupata passportHakuna safari ya ghafla, ndo maana kuna temporary passport. Ukiwa na emergency ya kweli Kama vile ugonjwa Kuna procedures zake siku 1 tu unapewa passport. Punguzeni ujuaji. Ninahisi hujawahi kuomba passport kwasababu miaka yote ukiomba passport lazima uonyeshe sababu ya kuomba passport.Acha blabla za passport ni haki ya kila mtu.