Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,099
Yaani Tz na siasa za kikomunisti, ni pasua kichwa na zitaendelea kutuchelewesha sana .......
utaambiwa shule tunazo tele hapa kwetu secondary za kumwaga vyuo vyote tunavyo hapa akasome huko.
Siyo nje!! Unalo????
Hata akipewa hiyo passport ataulizwa anaenda kufanya nini?? km siyo kuzurura tu???
halafu akikwama huko gharama za serikali kumrudisha. Jipange kwa hayo maswali...