MAKOSHNELI
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 930
- 1,552
- Thread starter
- #581
well said BrotherKunawakati unaweza kujiona wewe una akili Sana kuliko wenzako kumbe wewe mwenyewe ni upepo mtupu kichwani ...
Makala ipo wazi kabisa juu ya uyahudi wa hao wazungu, kwa maslahi yao wana wafanyia unyonge wapalestina kwa mauaji ya kikatili na kufitinisha jirani zao kwa Vita za mfululizo ...
Haya unaseama mpalestina atakusaidia nini anahubiri ugaidi, Sasa Kati ya huyo mpalestina anae uhubiri ugaidi na huyo myahudi mzungu Nani gaidi halisi anaepaswa kupigwa Vita ???
Mtu kama wewe lazima hapo mbele ya gari yako Kuna bendera ya Israel na kanisani umeenda kuomba Eti Mungu akupe amani then ukitoka unambeba begani kwa furaha na majigambo mtu anaewanyima amani binadam wenzako
Bogus kabisa!!!