Fukua
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 546
- 479
Tena biblia haikuandika awalaaniye wayahudi naye atalaaniwa. Makabila 10 yaliyounda Israeli hayapo hapo Israeli ya sasa bali kuna Wazayuni/khazar waliojipachika uyahudi wa mchongo. Israeli ya kubarikiwa ni ile ya mkusanyiko wa makabila 12 ya uzazi wa yakobo sio hawa waandaji wa mpinga kristo