FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Lizzy Nishazeeka mie hata sababu za niliingia kwenye ndoa mara nyingine sizikumbuki
Kuna wakati huwa naona ndoa ni paradise ndogo ,lakini wakati mwingine huwa nachanganyikiwa kabisa na maswali kichwani kuwa mengi
Lakini kwa msaada wa mungu ninasonga mbele
To be honest ndoa si lelema na ndoa ina tofauti kubwa sana kati ya BF na GF uchumba na mengineyo
Kuna wakati huwa naona ndoa ni paradise ndogo ,lakini wakati mwingine huwa nachanganyikiwa kabisa na maswali kichwani kuwa mengi
Lakini kwa msaada wa mungu ninasonga mbele
To be honest ndoa si lelema na ndoa ina tofauti kubwa sana kati ya BF na GF uchumba na mengineyo