Maana na msingi wa ndoa

Credit

JF-Expert Member
Sep 10, 2015
1,348
1,655
Ndoa ni hali ya mwanaume na mwanamke kuishi pamoja kama mme na mke na kutengeneza taasisi ndogo ambayo ni familia. Malezi ya familia ndiyo chanzo cha taasisi zingine na jamii au taifa kiujumla. Malezi bora ya familia huzaa jamii au taifa bora la watu wenye upendo, uwajibikaji na uzalendo kwa taifa na kinyume chake pia. Hivyo, jamii bora ni zao la familia bora inayotokana na ndoa bora.

Je, jamii ya sasa ni bora? Watu wana upendo? Watu ni wawajibikaji? Watu ni wazalendo kwa taifa lao?

Hapo awali, msingi wa ndoa ulisimikwa katika uvumilivu na usiri mkubwa sana. Yaani, wanandoa wavumiliane mapungufu yao makubwa sometimes yenye kuumiza sana na watunze siri ya mapungufu na maumivu hayo. Kwa maana nyingine, wanandoa waumie sana katika ndoa yao kwa faida ya wengine; watoto wao waishi vizuri na jamii yao inayowazunguka ifurahie ndoa yao.

Msingi wa ndoa ulisimikwa kwa mgawanyo wa majukumu kati ya mume na mke na kila mmoja awajibike katia majukumu yake. Mwanamke, ambaye ni mama katika familia alitoa malezi bora sana kwa watoto kwa kuwa nao karibu sana katika kuwajenga vizuri kimwii, kiroho na kiakili katika makuzi yao huku akitambua kuwa kuna mwanaume ambaye ni baba katika familia anayewajibika kwa mahitaji makuu ya familia; KUONGOZA.

Uongozi wa mwanaume katika familia kwa sasa upo? Utambuzi wa mwanamke kuwa mwanaume ni kiongozi katika familia umeenda wapi?

Uanaharakati "activism" umeua misingi na umuhimu wa taasisi ya ndoa bora. Harakati za kijinsia za kutaka usawa kati ya mume na mke zimeua misingi ya ndoa. Harakati zilianza vizuri sana "mtoto wa kike apewe fursa ya kupata elimu, alindwe kiafya na kihisia". Tulifanikiwa katika hili kwa asilimia kubwa lengo ni kuweka usawa wa kijinsia katika kupata haki ya kuishi.

Uanaharakati uliemda mbaaali sana na kufikia kwenye 50/50; usawa wa kijinsia, yaani hakuna utofauti kati ya mwanamke na mwanamme. Mwanamke akaaminishwa hivyo, akaamini sasa mwanaume kwake si lolote, si chochote kama tu na yeye anaweza kuhudumia familia hivyo watoto wanakosa malezi na uongozi katika familia. Kiburi, tamaa ya mali na uchu wa kujitawala unamjaa mwanamke na kuona hahitaji tena kuongozwa kwa jina la ndoa na familia. Anaona azae tu watoto na awalee yeye, awaongoze yeye; na yeye awe kiongozi, yaani SINGLE MAMA.

Uanaharakati wa kijinsia umefanya mabadiliko makubwa sana katika taasisi ya ndoa na familia ambayo sasa hatuyafurahii, tunayapigia kelele kwamba yamezidi.

Ndoa imekosa maana, wanaume tumemua tusioe ila tuendelee kuwatumia tu sasa kwa sterehe. Yes, nahitaji sex, namfata, namtongoza, napata; SITAKI NDOA kwa sababu najua anachowaza mwanamke baada ya hiyo ndoa. Nikihitaji mtoto, namfuata tena namzalisha, akihitaji nilee mtoto sawa nalea, akikataa namwacha alee; SITAI KUOA.

Mwanamke amekuwa sasa mhanga wa hizi harakati za ijinsia na ndio maana wanaochukizwa sana na uamuzi wa sisi wanaume kukataa ndoa ni wanawake. HATUOI! Hakuna mwanaume anayekubali 50/50 katika usawa wa kijinsia. Wapo wanawake wanaotaka waolewe wakiwa na imani ya 50/50, waachwa na kuwa single mama. Wapo wanawake hawataki hata kuolewa ila wanataka kuzaa tu walee wao mwisho watoto wanakosa malezi bora.

Malezi ya single mama ni hatari sana kwa makuzi ya watoto. Haiingii akilini leo mwanaume atoe mahari kwa mwanamke ambaye anajua kabisa baadae atakuja kumdhuru kiafaya, kiuchumi na kiroho. Hakuna tena sababu ya kuishi pamoja na mwanamke kwa jina la ndoa labda sex tu; one night stand. Yes, namuhihitaji sana mwanamke kwa sex.

USHAURI: Mwanauume kataa ndoa kwa afya yako. Unataka sex, find a woman for a while. Unataka mtoto, faind a temporary woman for that.

USIOE.
 
Ndoa ni hali ya mwanaume na mwanamke kuishi pamoja kama mme na mke na kutengeneza taasisi ndogo ambayo ni familia. Malezi ya familia ndiyo chanzo cha taasisi zingine na jamii au taifa kiujumla. Malezi bora ya familia huzaa jamii au taifa bora la watu wenye upendo, uwajibikaji na uzalendo kwa taifa na kinyume chake pia. Hivyo, jamii bora ni zao la familia bora inayotokana na ndoa bora.

Je, jamii ya sasa ni bora? Watu wana upendo? Watu ni wawajibikaji? Watu ni wazalendo kwa taifa lao?

Hapo awali, msingi wa ndoa ulisimikwa katika uvumilivu na usiri mkubwa sana. Yaani, wanandoa wavumiliane mapungufu yao makubwa sometimes yenye kuumiza sana na watunze siri ya mapungufu na maumivu hayo. Kwa maana nyingine, wanandoa waumie sana katika ndoa yao kwa faida ya wengine; watoto wao waishi vizuri na jamii yao inayowazunguka ifurahie ndoa yao.

Msingi wa ndoa ulisimikwa kwa mgawanyo wa majukumu kati ya mume na mke na kila mmoja awajibike katia majukumu yake. Mwanamke, ambaye ni mama katika familia alitoa malezi bora sana kwa watoto kwa kuwa nao karibu sana katika kuwajenga vizuri kimwii, kiroho na kiakili katika makuzi yao huku akitambua kuwa kuna mwanaume ambaye ni baba katika familia anayewajibika kwa mahitaji makuu ya familia; KUONGOZA.

Uongozi wa mwanaume katika familia kwa sasa upo? Utambuzi wa mwanamke kuwa mwanaume ni kiongozi katika familia umeenda wapi?

Uanaharakati "activism" umeua misingi na umuhimu wa taasisi ya ndoa bora. Harakati za kijinsia za kutaka usawa kati ya mume na mke zimeua misingi ya ndoa. Harakati zilianza vizuri sana "mtoto wa kike apewe fursa ya kupata elimu, alindwe kiafya na kihisia". Tulifanikiwa katika hili kwa asilimia kubwa lengo ni kuweka usawa wa kijinsia katika kupata haki ya kuishi.

Uanaharakati uliemda mbaaali sana na kufikia kwenye 50/50; usawa wa kijinsia, yaani hakuna utofauti kati ya mwanamke na mwanamme. Mwanamke akaaminishwa hivyo, akaamini sasa mwanaume kwake si lolote, si chochote kama tu na yeye anaweza kuhudumia familia hivyo watoto wanakosa malezi na uongozi katika familia. Kiburi, tamaa ya mali na uchu wa kujitawala unamjaa mwanamke na kuona hahitaji tena kuongozwa kwa jina la ndoa na familia. Anaona azae tu watoto na awalee yeye, awaongoze yeye; na yeye awe kiongozi, yaani SINGLE MAMA.

Uanaharakati wa kijinsia umefanya mabadiliko makubwa sana katika taasisi ya ndoa na familia ambayo sasa hatuyafurahii, tunayapigia kelele kwamba yamezidi.
Ndoa imekosa maana, wanaume tumemua tusioe ila tuendelee kuwatumia tu sasa kwa sterehe. Yes, nahitaji sex, namfata, namtongoza, napata; SITAKI NDOA kwa sababu najua anachowaza mwanamke baada ya hiyo ndoa. Nikihitaji mtoto, namfuata tena namzalisha, akihitaji nilee mtoto sawa nalea, akikataa namwacha alee; SITAI KUOA.

Mwanamke amekuwa sasa mhanga wa hizi harakati za ijinsia na ndio maana wanaochukizwa sana na uamuzi wa sisi wanaume kukataa ndoa ni wanawake. HATUOI! Hakuna mwanaume anayekubali 50/50 katika usawa wa kijinsia. Wapo wanawake wanaotaka waolewe wakiwa na imani ya 50/50, waachwa na kuwa single mama. Wapo wanawake hawataki hata kuolewa ila wanataka kuzaa tu walee wao mwisho watoto wanakosa malezi bora. Malezi ya single mama ni hatari sana kwa makuzi ya watoto.
Haiingii akilini leo mwanaume atoe mahari kwa mwanamke ambaye anajua kabisa baadae atakuja kumdhuru kiafaya, kiuchumi na kiroho. Hakuna tena sababu ya kuishi pamoja na mwanamke kwa jina la ndoa labda sex tu; one night stand. Yes, namuhihitaji sana mwanamke kwa sex.

USHAURI: Mwanauume kataa ndoa kwa afya yako. Unataka sex, find a woman for a while. Unataka mtoto, faind a temporary woman for that. USIOE.
Too much is harmful, mnabowa sasa., nashawishika kuamini ndani yake kuna agenda ya siri.
 
Kwa

Binafsi naona wanaume wanaochochea kataa ndoa ni kama wanasapoti ushoga 😀
Wala siyo hivyo, Nina ushahidi finally wanakuja kuowa huku wakiwa wamewapoteza wenye akili za kushikiwa.

Kuowa hakuji tu hivihivi, mwanamke mwenyewe matendo yake tu ndio yanamfanya mwanaume atangaze ndoa.

Waliosoma physics wanajuwa power of gravity, kuna mwanaume na mwanamke wakikutana Nyota na gravity inabalance basi hapo huwezi kuwaachanisha.

Kwa hawa vijana ambao wamehamishiwa majukumu ya Wazazi wa like wayabebe wao ni lazima watakuwa na movement ya kataa ndoa, lakini in a long term madhara yake ni makubwa sana.

Umri wakati una nguvu ndio wa kuanzisha familia na kupambana Watoto wanamaliza shule na vyuo bado una nguvu, kuliko watadanganyana Sasa hivi unakuja kuowa una miaka 50 au 55 unazaa mtoto hata Primary school hajaanza unakufa, unachokiacha huku nyuma Kwa huyu mtoto au Watoto siyo haki.

Msingi wa familia bora ni Wazazi baba na mama wawashuhudie Watoto wao wakiwa na maisha yao wanajitegemea kabla ya Wazazi kufariki, unakufa unaacha urithi siyo unaachia watu matatizo matupu.
 
Wala siyo hivyo, Nina ushahidi finally wanakuja kuowa huku wakiwa wamewapoteza wenye akili za kushikiwa.

Kuowa hakuji tu hivihivi, mwanamke mwenyewe matendo yake tu ndio yanamfanya mwanaume atangaze ndoa.

Waliosoma physics wanajuwa power of gravity, kuna mwanaume na mwanamke wakikutana Nyota na gravity inabalance basi hapo huwezi kuwaachanisha.

Kwa hawa vijana ambao wamehamishiwa majukumu ya Wazazi wa like wayabebe wao ni lazima watakuwa na movement ya kataa ndoa, lakini in a long term madhara yake ni makubwa sana.

Umri wakati una nguvu ndio wa kuanzisha familia na kupambana Watoto wanamaliza shule na vyuo bado una nguvu, kuliko watadanganyana Sasa hivi unakuja kuowa una miaka 50 au 55 unazaa mtoto hata Primary school hajaanza unakufa, unachokiacha huku nyuma Kwa huyu mtoto au Watoto siyo haki.

Msingi wa familia bora ni Wazazi baba na mama wawashuhudie Watoto wao wakiwa na maisha yao wanajitegemea kabla ya Wazazi kufariki, unakufa unaacha urithi siyo unaachia watu matatizo matupu.
Kwani kuzaa mtoto ni mpaka uwe na ndoa?
 
Kwani kuzaa mtoto ni mpaka uwe na ndoa?
Siyo lazima hata Christian Ronaldo hana ndoa.

Hii kampeni si kama unavyoichukulia wewe, unaweza kuishi na mwanamke akizinguwa unatimuwa na unaweza kuishi naye ukiona Kwa stage hapa naingia naye mkataba wa maisha.

Kitu muhimu taratibu za kimila ziheshimiwe lipa mahari.
 
Siyo lazima hata Christian Ronaldo hana ndoa.

Hii kampeni si kama unavyoichukulia wewe, unaweza kuishi na mwanamke akizinguwa unatimuwa na unaweza kuishi naye ukiona Kwa stage hapa naingia naye mkataba wa maisha.

Kitu muhimu taratibu za kimila ziheshimiwe lipa mahari.
Kutimua huko si ndio divorce?
 
Ndoa ni hali ya mwanaume na mwanamke kuishi pamoja kama mme na mke na kutengeneza taasisi ndogo ambayo ni familia. Malezi ya familia ndiyo chanzo cha taasisi zingine na jamii au taifa kiujumla. Malezi bora ya familia huzaa jamii au taifa bora la watu wenye upendo, uwajibikaji na uzalendo kwa taifa na kinyume chake pia. Hivyo, jamii bora ni zao la familia bora inayotokana na ndoa bora.

Je, jamii ya sasa ni bora? Watu wana upendo? Watu ni wawajibikaji? Watu ni wazalendo kwa taifa lao?

Hapo awali, msingi wa ndoa ulisimikwa katika uvumilivu na usiri mkubwa sana. Yaani, wanandoa wavumiliane mapungufu yao makubwa sometimes yenye kuumiza sana na watunze siri ya mapungufu na maumivu hayo. Kwa maana nyingine, wanandoa waumie sana katika ndoa yao kwa faida ya wengine; watoto wao waishi vizuri na jamii yao inayowazunguka ifurahie ndoa yao.

Msingi wa ndoa ulisimikwa kwa mgawanyo wa majukumu kati ya mume na mke na kila mmoja awajibike katia majukumu yake. Mwanamke, ambaye ni mama katika familia alitoa malezi bora sana kwa watoto kwa kuwa nao karibu sana katika kuwajenga vizuri kimwii, kiroho na kiakili katika makuzi yao huku akitambua kuwa kuna mwanaume ambaye ni baba katika familia anayewajibika kwa mahitaji makuu ya familia; KUONGOZA.

Uongozi wa mwanaume katika familia kwa sasa upo? Utambuzi wa mwanamke kuwa mwanaume ni kiongozi katika familia umeenda wapi?

Uanaharakati "activism" umeua misingi na umuhimu wa taasisi ya ndoa bora. Harakati za kijinsia za kutaka usawa kati ya mume na mke zimeua misingi ya ndoa. Harakati zilianza vizuri sana "mtoto wa kike apewe fursa ya kupata elimu, alindwe kiafya na kihisia". Tulifanikiwa katika hili kwa asilimia kubwa lengo ni kuweka usawa wa kijinsia katika kupata haki ya kuishi.

Uanaharakati uliemda mbaaali sana na kufikia kwenye 50/50; usawa wa kijinsia, yaani hakuna utofauti kati ya mwanamke na mwanamme. Mwanamke akaaminishwa hivyo, akaamini sasa mwanaume kwake si lolote, si chochote kama tu na yeye anaweza kuhudumia familia hivyo watoto wanakosa malezi na uongozi katika familia. Kiburi, tamaa ya mali na uchu wa kujitawala unamjaa mwanamke na kuona hahitaji tena kuongozwa kwa jina la ndoa na familia. Anaona azae tu watoto na awalee yeye, awaongoze yeye; na yeye awe kiongozi, yaani SINGLE MAMA.

Uanaharakati wa kijinsia umefanya mabadiliko makubwa sana katika taasisi ya ndoa na familia ambayo sasa hatuyafurahii, tunayapigia kelele kwamba yamezidi.

Ndoa imekosa maana, wanaume tumemua tusioe ila tuendelee kuwatumia tu sasa kwa sterehe. Yes, nahitaji sex, namfata, namtongoza, napata; SITAKI NDOA kwa sababu najua anachowaza mwanamke baada ya hiyo ndoa. Nikihitaji mtoto, namfuata tena namzalisha, akihitaji nilee mtoto sawa nalea, akikataa namwacha alee; SITAI KUOA.

Mwanamke amekuwa sasa mhanga wa hizi harakati za ijinsia na ndio maana wanaochukizwa sana na uamuzi wa sisi wanaume kukataa ndoa ni wanawake. HATUOI! Hakuna mwanaume anayekubali 50/50 katika usawa wa kijinsia. Wapo wanawake wanaotaka waolewe wakiwa na imani ya 50/50, waachwa na kuwa single mama. Wapo wanawake hawataki hata kuolewa ila wanataka kuzaa tu walee wao mwisho watoto wanakosa malezi bora.

Malezi ya single mama ni hatari sana kwa makuzi ya watoto. Haiingii akilini leo mwanaume atoe mahari kwa mwanamke ambaye anajua kabisa baadae atakuja kumdhuru kiafaya, kiuchumi na kiroho. Hakuna tena sababu ya kuishi pamoja na mwanamke kwa jina la ndoa labda sex tu; one night stand. Yes, namuhihitaji sana mwanamke kwa sex.

USHAURI: Mwanauume kataa ndoa kwa afya yako. Unataka sex, find a woman for a while. Unataka mtoto, faind a temporary woman for that.

USIOE.
Atakae bisha huyo ni shetani na umeandika vizuri maana umeanza na maudhui ya kuvutia kuoa , tusipangiane umeweka mizania safi kabisa hujapendelea 🙏🙏🙏
 
I think its pretty cool to live that way
Mimi silipingi hilo, napinga kuwaaminisha vijana kwamba wanawake hawafai siyo sahihi.

Ndio sababu watu wengine wanasema kampeni hii ya kataa ndoa ni kupromote ushoga Kwa sababu inaonesha totally kuwatowa vijana kwenye mahusiano ya Ki nyumba.

Inawezekana mnaimba wimbo mmoja ila malengo yapo tofauti kuna wanaokataa ndoa ili wapandishe Rainbow flag yao.
 
Back
Top Bottom