Kimbesa11
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 4,652
- 2,696
Binadamu mwenye akili hulinda nafsi yake dhidi ya kifo, huepuka vitu hatarishi vinavyoweza kumsababishia kifo.
Acha kujihusisha na makundi hatarishi kama vile wapanga vurugu, wanaotaka kufanya maandamano yasiyo rasimi, kujihusisha na wizi wa Mali za watu, acha kushiriki kwenye upotoshaji wa aina yyte Ile kwasababu ukifa utasahaulika siku hyohyo na maisha yataendelea.
Ni upumbavu kutokulinda nafsi yako dhidi ya kifo cha kujitakia.
Acha kujihusisha na makundi hatarishi kama vile wapanga vurugu, wanaotaka kufanya maandamano yasiyo rasimi, kujihusisha na wizi wa Mali za watu, acha kushiriki kwenye upotoshaji wa aina yyte Ile kwasababu ukifa utasahaulika siku hyohyo na maisha yataendelea.
Ni upumbavu kutokulinda nafsi yako dhidi ya kifo cha kujitakia.