Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,808
- 218,456
Enzi za kufulia na kuogea sabuni ya kodray inarudi kwa kasi sana !Vyuma vimekaza hadi huko jamani
Enzi za kufulia na kuogea sabuni ya kodray inarudi kwa kasi sana !Vyuma vimekaza hadi huko jamani
Hata Uganda walishafunga baadhi ya outlets zaoDah Nakuru Mattres ndio inatokomea hivyo...
bado kile kiwanda chako cha gongo kitafungwaMungu ibariki Tanzania .
Japo sitengenezi gongo , lakini nakubaliana na wewe kuhusu ugumu wa biashara Tanzania , ni kwa vile sisi miaka yote hatuuzi vyetu hapa bongo , tuna soko la uhakika sana ulaya na canada .bado kile kiwanda chako cha gongo kitafungwa
Nakumatt Uganda imefungwa, malori sita yakamatwa yakiondoka usiku wa mananeUongozi wa Mlimani City imeifunga Supermarket ya Nakumatt Tawi la Mlimani City Jijini Dar es Salaam kutokana na kutotimiza majukumu yake kama mlipakodi wa jengo hilo hivyo kurudisha nyuma upatikanaji wa Mapato.
Meneja Mkuu wa Mlimani City, Pastory Mrosso amesema wamechukua hatua hiyo baada ya uongozi wa Supermarket kutotekeleza wajibu wake kama mpangaji.
Wafanyakazi wa Nakumatt wameonekana wakiwa nje ya supermarket hiyo baada ya kukuta imefungwa bila taarifa huku wakisema bado wanadai stahiki zao
View attachment 610439
View attachment 610451
CHANZO: ITV
Asante Pdidy kwa kuweka na ushahidi,USISHINDANE NAWASIOJUA ...WASAMEHEEE AWAJUI WALITENDALO..UGANDA WAMEFUNGA ALHAMISI ILIOPITA NA BAADAYA funga wakaondia malori yao kuyaficha juzi wamekamata malori manne yakpita mtukula usiku wamanane na leo wamekamata usiku jinja malori mane yakiwa na mzigo yanayoyomaaa....imeamriwa yauzwe jmosi hii kulipia madeni ...kumbe kuna watu walikuwa wanapeleka bidhaa zao awawalipi natanguliza shukrani kwa jpm Hon ..asielipa kodi na asikae nchini tutatengeneza hata michezo yawatoto mle ndni
Kama amefunga uganda wikitu kafunga tz unahi_i ya rwanda na bjm yatabakiNafikiri haina uhusiano na hali ya Tanzania ....ni matatizo yao wenyewe
New low for Nakumatt as it shuts down its Junction Mall outlet
https://citizentv.co.ke/news/nakumatt-closes-yet-another-branch-in-nairobi-177644/
Who will benefit from Nakumatt’s problems?
Nakubaliana na wewe ndugu yangu. Kufanya biashara bongo ni kazi sana. Watanzania wana tabia ya udokozi. Hata ukifungua ka-mgahawa, watakuibia vijiko, sahani, sukari na mwisho wake ni biashara kufa. They just don't care kama biashara itakufa au la. Na Rais wao ana mentality hiyo hiyo. Biashara ikifa kwake ni poa, bila kujali athari kwenye soko la ajira.
bawacha kwa kupenda kudandia mambo hata msiyo yajua..... Nakummat uganda nayo mali zao zinapigwa mnada, kenya nako hali mbaya twambie basi,,,,,Kwani tumemaliza kusoma namba, so bado sasa hivi tuko ya 19 mpaka tufike ya 100 wakati tumeiva
Twambie ni mwaka gani machinga hawakuwai kufanya biashara kariakoo?wameshindwa biashara baada ya wamachinga kuruhusiwa mtaani kariako na hawalipi kodi,siasa zinaua biashara
Sio kweli mbona Game anafanya biashara?hawa wakenya watakuwa na matatizo yao kwenye utendaji.Sasa watu wanakwenda kununua pipi tu
wengine wanakwenda kushangaa shangaa tu
purchasing power kwa wtz ni ndogo mno
Siyo kweli kuwa Nakumatt imekufa kwa ukosefu wa wateja Tanzania. Wateja walikuwa wengi sana na vitu kwenye mashelf vilikuwa vinaisha. Mbona Game, Mayfair, TSN na Mr. Price hawajafa na kuna utitiri wa mini-supermarkets mitaani? Kuna mahali Nakumatt walikosea mahesabu kama ndugu yao Uchumi.
U nailed. Wabongo supermarkets sio culture yao kabisa. Huko ulikosema wakazi wengi ni wageni ambao wamezoea supermarkets.
Masaki na Oysterbay pekee kuna Food Lovers, Village Supermarkets, Shoppers supermarket, Target Supermarket, Shreejees(mbili) na zote zinafanyabiashara nzuri sana.