Ugumu wa Biashara: Nakumatt tawi la Mlimani City Jijini Dar es Salaam yafungwa kisa kushindwa kulipa kodi

Nakumatt ya Arusha ukingia utashtuka ukilinganisha na walivyoanza. Haina tena bidhaa yoyote ya maana. Wameondoa nusu ya mashelfu na kwenye hizo zilizobaki wanaweka kasabuni kamoja hapa wanaacha nafasi wanaweka ingine mbele ! Yaani mali kwenye shelfu nzima haina hata thamani ya laki. Inatia huruma. !
 
Hoja hapa tusiangalie eti kwamba wana matatizo sijui ya kifamilia, nakumatt wapo hadi sudani ya kusini nahata Botswana, nadhani kitu kinachofanya hizi supermarket zinakufa (uchumi, shoprite na sasa nakumatt) tatizo kwanza ni wizi uliokidhiri kwa sisi watanzania, nimewahi kufanyakazi flani ya kiufundi pale Nakumatt mlimani city na niliwahi kumuona cleaner anaficha cartoon la toilet kwenye toroli la kuzolea taka na kutoka nalo nje kwa kupitia mlango wa kupokelea mizigo nyuma. Huruma yangu ipo kwa familia za hao wafanyakazi wao
 
Hoja hapa tusiangalie eti kwamba wana matatizo sijui ya kifamilia, nakumatt wapo hadi sudani ya kusini nahata Botswana, nadhani kitu kinachofanya hizi supermarket zinakufa (uchumi, shoprite na sasa nakumatt) tatizo kwanza ni wizi uliokidhiri kwa sisi watanzania, nimewahi kufanyakazi flani ya kiufundi pale Nakumatt mlimani city na niliwahi kumuona cleaner anaficha cartoon la toilet kwenye toroli la kuzolea taka na kutoka nalo nje kwa kupitia mlango wa kupokelea mizigo nyuma. Huruma yangu ipo kwa familia za hao wafanyakazi wao

Nakubaliana na wewe ndugu yangu. Kufanya biashara bongo ni kazi sana. Watanzania wana tabia ya udokozi. Hata ukifungua ka-mgahawa, watakuibia vijiko, sahani, sukari na mwisho wake ni biashara kufa. They just don't care kama biashara itakufa au la. Na Rais wao ana mentality hiyo hiyo. Biashara ikifa kwake ni poa, bila kujali athari kwenye soko la ajira.
 
Hiyo sio sababu ni kuwa Nakumatt wana matatizo huko kwao Kenya ambako nako wanazidi kuyafunga maduka yao,kisa ni ugomvi wa wanandungu ambao ndio wanamiliki Nakumatt,wengine wanamwaga mboga na wengine wanamwaga ugali.Watanzania tusiwe wepesi sana wa kulaumu kila jambo kwa Watanzania ,tujaribu kufukunyua chanzo kwanza kabla ya kurupoka kwenye mitandao
Ina maana hili duka la Mlimani lilishindwa kujiendesha kwa faida?
 
U nailed. Wabongo supermarkets sio culture yao kabisa. Huko ulikosema wakazi wengi ni wageni ambao wamezoea supermarkets.
Masaki na Oysterbay pekee kuna Food Lovers, Village Supermarkets, Shoppers supermarket, Target Supermarket, Shreejees(mbili) na zote zinafanyabiashara nzuri sana.

Wabongo wengi wamezoea kutoka nje ya nyumba na akapata mahitaji yake yote bila shida halafu unataka aende hadi Mlimani City akanunue vitu hivyohivyo.

Huko Masaki na O'bey ni foreigners ambao shopping kwenye supermarkets ni kitu cha kawaida sana. Ndio maana hizo ulizotaja zinafanya vizuri kabisa.
 
Hiyo sio sababu ni kuwa Nakumatt wana matatizo huko kwao Kenya ambako nako wanazidi kuyafunga maduka yao,kisa ni ugomvi wa wanandungu ambao ndio wanamiliki Nakumatt,wengine wanamwaga mboga na wengine wanamwaga ugali.Watanzania tusiwe wepesi sana wa kulaumu kila jambo kwa Watanzania ,tujaribu kufukunyua chanzo kwanza kabla ya kurupoka kwenye mitandao
maelezo kidogo mkuu!! wamezinguana nn?
 
Hoja hapa tusiangalie eti kwamba wana matatizo sijui ya kifamilia, nakumatt wapo hadi sudani ya kusini nahata Botswana, nadhani kitu kinachofanya hizi supermarket zinakufa (uchumi, shoprite na sasa nakumatt) tatizo kwanza ni wizi uliokidhiri kwa sisi watanzania, nimewahi kufanyakazi flani ya kiufundi pale Nakumatt mlimani city na niliwahi kumuona cleaner anaficha cartoon la toilet kwenye toroli la kuzolea taka na kutoka nalo nje kwa kupitia mlango wa kupokelea mizigo nyuma. Huruma yangu ipo kwa familia za hao wafanyakazi wao
Unaowaonea huruma si ndio hao hao umesema wanaibia hio kampuni?!!
 
Hoja hapa tusiangalie eti kwamba wana matatizo sijui ya kifamilia, nakumatt wapo hadi sudani ya kusini nahata Botswana, nadhani kitu kinachofanya hizi supermarket zinakufa (uchumi, shoprite na sasa nakumatt) tatizo kwanza ni wizi uliokidhiri kwa sisi watanzania, nimewahi kufanyakazi flani ya kiufundi pale Nakumatt mlimani city na niliwahi kumuona cleaner anaficha cartoon la toilet kwenye toroli la kuzolea taka na kutoka nalo nje kwa kupitia mlango wa kupokelea mizigo nyuma. Huruma yangu ipo kwa familia za hao wafanyakazi wao
Hii kampuni imeanza kufilisika si hapa Tz tu bali tokea huko kwao na kwingine. Sababu kubwa ni madeni wanadaiwa deni kubwa sana walilokopa na. Wizi mkubwa ni ule wa kwenye smart sys zao bako kuna Staff waandamizi walitengeneza scum ikawa inapeleka malipo ya wayeja kwenye mfumo walioutengeneza na kuiba hela nyingi. Hili lilipelekea kuhusiswa na kuuwawa kwa auditor aliuegudua wizi huo huko Mombasa.

Why Nakumatt is on its knees
 
Jamaa wana matatizo ya kifamilia....Hata kule Kenya wanafunga maduka yao
 
Waswahil tunapenda kununua bidhaa sehemu chafu chafu kama Mabibo Mahakama ya ndizi
Jamani yani mchicha viazi nikanunue supermarket kweli? Mabibo Ilala unapata vitu fresh,Kuna siku nilimuona jamaa shoppers kanunua vitangawizi vimekaukaa!
 
Hiyo sio sababu ni kuwa Nakumatt wana matatizo huko kwao Kenya ambako nako wanazidi kuyafunga maduka yao,kisa ni ugomvi wa wanandungu ambao ndio wanamiliki Nakumatt,wengine wanamwaga mboga na wengine wanamwaga ugali.Watanzania tusiwe wepesi sana wa kulaumu kila jambo kwa Watanzania ,tujaribu kufukunyua chanzo kwanza kabla ya kurupoka kwenye mitandao

USISHINDANE NAWASIOJUA ...WASAMEHEEE AWAJUI WALITENDALO..UGANDA WAMEFUNGA ALHAMISI ILIOPITA NA BAADAYA funga wakaondia malori yao kuyaficha juzi wamekamata malori manne yakpita mtukula usiku wamanane na leo wamekamata usiku jinja malori mane yakiwa na mzigo yanayoyomaaa....imeamriwa yauzwe jmosi hii kulipia madeni ...kumbe kuna watu walikuwa wanapeleka bidhaa zao awawalipi natanguliza shukrani kwa jpm Hon ..asielipa kodi na asikae nchini tutatengeneza hata michezo yawatoto mle ndni
 

Attachments

  • Screenshot_20171016-152648.png
    Screenshot_20171016-152648.png
    114.7 KB · Views: 43
  • Screenshot_20171016-152700.png
    Screenshot_20171016-152700.png
    98.6 KB · Views: 46
Back
Top Bottom