Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,730
- 11,085
Vijana wengi hasa wakiume wamekuwa wakilalamika hasa suala ya kumtongoza mwanamke na siku hiyohiyo kijana anaanza kuliliwa matatizo. Mimi mwenyewe nimekuwa ni muhanga, yaani ile tu kumuambia mwanamke unahitaji kuwa katika mahusiano basi kitakachofuata ni kuliliwa shida na matatizo.
Moja ya sababu nilizoziona hasa ni ugumu wa maisha, mwanamke ni kiumbe dhaifu sana na ni mtu ambae hawezi kuficha dhiki zake kwa muda mrefu. Kwa hiyo akipata mwenza huwa anaona amepata muokozi wa matatizo yake.
Sababu ya pili ni matatizo ya afya ya akili na saikoloji kutokana na hali ngumu ya maisha wanawake wengi wana tatizo la afya ya akili na saikoloji😎, haiwezekani tuonane leo hii hata hatujafahamiana vizuri, hunijui na sikujui hata aibu huna unaanza kunililia shida zako na matatizo yako.
Moja ya sababu nilizoziona hasa ni ugumu wa maisha, mwanamke ni kiumbe dhaifu sana na ni mtu ambae hawezi kuficha dhiki zake kwa muda mrefu. Kwa hiyo akipata mwenza huwa anaona amepata muokozi wa matatizo yake.
Sababu ya pili ni matatizo ya afya ya akili na saikoloji kutokana na hali ngumu ya maisha wanawake wengi wana tatizo la afya ya akili na saikoloji😎, haiwezekani tuonane leo hii hata hatujafahamiana vizuri, hunijui na sikujui hata aibu huna unaanza kunililia shida zako na matatizo yako.