David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,676
- 5,217
Semeni dawa za ukimwi ndio tatizo ila sio kusingizia pombe na energy drink.
Vijana wengi wana ukimwi
Vijana wengi wana ukimwi
Akiugua ataanza kusumbua watuKuna jamaa yangu anazipiga zile kubwa za Mo extra mil 400 kama 6 hivi kwa siku
Sasa huyo si anaenda kufanya mapenzi ama kujiumiza maana hapo akitumia vyote hivyo anakua si yy tena akili lazima iyumbe ndo hawa wanafia vifuani mwa wanawakeNilimsikia mwana mmoja anasema anapiga bonge la ugali na nusu kitimoto, nyagi mixer energy alafu aasukumia na viagra na kupaka vumbi la congo.
PerhapsTunathakini Sana Kodi kuliko maisha ya watu wetu. Tunasubiri nini kuvifungia hivi vinywaji wakati vijana wetu walio nguvu kazi ya taifa wakiteketea? Itafika wakati tutakuwa tumechelewa kwani mdharau mwiba huota tende.
Ni kweli, maana hata kufahamu wanaouza hizo pombe feki ni rahisi sana. BEI ZAKE TU NI KIELELEZO KUWA HIZO POMBE NI FEKI. Huyo kiongozi asiseme kuwa ni vigumu kuwakamata wanaojihusisha na biashara hiyo.Pombe chafu na feki serikali ndio imezifumbia macho kabisa
Ni kweli unachokisema, ila sitakuja kwenye hilo kundi lenu mliloambiwa pombe ni haramu, ila asante sana kwa mwaliko wako 🙏🙏Ni kweli, maana hata kufahamu wanaouza hizo pombe feki ni rahisi sana. BEI ZAKE TU NI KIELELEZO KUWA HIZO POMBE NI FEKI. Huyo kiongozi asiseme kuwa ni vigumu kuwakamata wanaojihusisha na biashara hiyo.
By the way, POMBE ni haramu, hayo yalishasemwa. Huhitaji hata utafiti. Karibuni katika kundi letu, Zero tolerance juu ya pombe.
Haya madawa yana shida sana mwishowe mtu anapata multiple organ failure alafu tunaanza kumtafuta mchawi.Semeni dawa za ukimwi ndio tatizo ila sio kusingizia pombe na energy drink.
Vijana wengi wana ukimwi
kiasi huko sawa kiasi hauko sawa, kuna watu mpk wanakufa hawana ukimwi ila kufeli kwa figo ndio kumewapoteza, nina ushuhuda.Semeni dawa za ukimwi ndio tatizo ila sio kusingizia pombe na energy drink.
Vijana wengi wana ukimwi
Maji yenyewe yamewekwa dawa, ni shida kwakweliYote kwa yote, Pia tujitahidi kunywa maji at least ku Dilute hayo makemikali/sumu.
Hatari sana Mkuu nimeogopa...!Hapa ukiwa maskini hutoboi masta
Ni balaa hasa.