N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,826
- 9,533
Nimesoma gazeti la Mwananchi jana lenye kichwa cha Habari ukurasa wa mbele kisemacho
Pombe, 'energy drinks' zinavyomaliza vijana
Kwa mujibu wa hili gazeti wakinukuu wataalamu wa afya wa Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma ni kwamba:-
1. Vijana Wanne hadi Tisa hufika Hospital hiyo kila wiki Figo zikishindwa kufanya kazi.
2. Watanzania 10 kati ya 100 wana tatizo la Figo
3. Wahanga ni vijana umri kati ya 24-40
4. Gharama za kusafisha Figo kwa mwaka ni wastani wa TZS 31,200,000 Hadi 46,800,000 bila kuweka gharama nyingine kama usafiri
5. Energy drinks ni disaster kwenye moyo kwa mujibu daktari bingwa wa JKCI.
6. Matumizi ya vinywaji hivi yanaathiri pakubwa viungo vitatu ambavyo ni
-Ini,
- Figo na
- Moyo.
7. Wahanga wakubwa ni vijana wa kiume.
MY TAKE:
Vijana acheni pombe, taifa linawategemea. Linda afya yako. Afya ni mtaji.
Pombe, 'energy drinks' zinavyomaliza vijana
Kwa mujibu wa hili gazeti wakinukuu wataalamu wa afya wa Hospitali ya Benjamin Mkapa Dodoma ni kwamba:-
1. Vijana Wanne hadi Tisa hufika Hospital hiyo kila wiki Figo zikishindwa kufanya kazi.
2. Watanzania 10 kati ya 100 wana tatizo la Figo
3. Wahanga ni vijana umri kati ya 24-40
4. Gharama za kusafisha Figo kwa mwaka ni wastani wa TZS 31,200,000 Hadi 46,800,000 bila kuweka gharama nyingine kama usafiri
5. Energy drinks ni disaster kwenye moyo kwa mujibu daktari bingwa wa JKCI.
6. Matumizi ya vinywaji hivi yanaathiri pakubwa viungo vitatu ambavyo ni
-Ini,
- Figo na
- Moyo.
7. Wahanga wakubwa ni vijana wa kiume.
MY TAKE:
Vijana acheni pombe, taifa linawategemea. Linda afya yako. Afya ni mtaji.