Kutembea na sime kwa wamasai haijaanzia leo ni jadi yao na wamasai hawana ugomvi na mtu.
Kuna ajenda fichika juu ya operesheni inayoendelea Zanzibar dhidi ya wamasai wenye sime. Wazanzibari wamekuwa na ubaguzi sana dhidi ya watu toka bara.
Wamasai wanatokea bara na wanazidi kuongezeka huko visiwani. Wanawaondoaje? Wametafuta sababu.
Wazanzibari wanaona kama wamasai wamechukua fursa zao huko Zanzibar.
Acha tuone mwisho wake.
Kuna ajenda fichika juu ya operesheni inayoendelea Zanzibar dhidi ya wamasai wenye sime. Wazanzibari wamekuwa na ubaguzi sana dhidi ya watu toka bara.
Wamasai wanatokea bara na wanazidi kuongezeka huko visiwani. Wanawaondoaje? Wametafuta sababu.
Wazanzibari wanaona kama wamasai wamechukua fursa zao huko Zanzibar.
Acha tuone mwisho wake.