Uganda wasema hawahusiki na Jaji aliyeunga mkono Genocide dhidi ya Palestina

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
9,650
15,974
Serikali ya uganda imetoa taarifa rasmi kuwa maamuzi ya Jaji raia wa Uganda aliyeunga mkono mauaji ya kimbari ya wapalestina katika mahakama ya kimataifa ya Hague kuwa haihusiki kwa namna yeyote na hayo ni maamuzi yake binafsi.

Huyu Jaji naona mpaka nchi yake imeamua kumtosa sijui atakua kalipwa Sh.ngapi na magaidi wa israeli ili kuwatetea. Tusubiri kesi bado inaendelea.

20240127_215714.jpg
 
Serikali ya uganda imetoa taarifa rasmi kuwa maamuzi ya Jaji raia wa Uganda aliyeunga mkono mauaji ya kimbari ya wapalestina katika mahakama ya kimataifa ya Hague kuwa haihusiki kwa namna yeyote na hayo ni maamuzi yake binafsi.

Huyu Jaji naona mpaka nchi yake imeamua kumtosa sijui atakua kalipwa Sh.ngapi na magaidi wa israeli ili kuwatetea. Tusubiri kesi bado inaendelea.View attachment 2885013
kwamba unahisi kila mtu msukule , wewe huguswi na maisha ya Mollel ila unaguswa na maisha ya waarab wanaokuchinja kila siku hapo Darful , ifike muda tujitambue
 
Serikali ya uganda imetoa taarifa rasmi kuwa maamuzi ya Jaji raia wa Uganda aliyeunga mkono mauaji ya kimbari ya wapalestina katika mahakama ya kimataifa ya Hague kuwa haihusiki kwa namna yeyote na hayo ni maamuzi yake binafsi.

Huyu Jaji naona mpaka nchi yake imeamua kumtosa sijui atakua kalipwa Sh.ngapi na magaidi wa israeli ili kuwatetea. Tusubiri kesi bado inaendelea.

View attachment 2885013

Kwaiyo wale wengine wamelipwa na Hamas?.

Yuko sahihi usitake kila mtu afanye maamuzi vile unavyotaka.
 
kwamba unahisi kila mtu msukule , wewe huguswi na maisha ya Mollel ila unaguswa na maisha ya waarab wanaokuchinja kila siku hapo Darful , ifike muda tujitambue
Acha ujinga. Binadamu wote ni sawa mbele ya m/mungu, awe Tz, mwarabu mpalestina, myaudi wote ni sawa. Tuyakemee popote pale mauwaji ya watu wasio na hatia yanapotokea
 
Serikali ya uganda imetoa taarifa rasmi kuwa maamuzi ya Jaji raia wa Uganda aliyeunga mkono mauaji ya kimbari ya wapalestina katika mahakama ya kimataifa ya Hague kuwa haihusiki kwa namna yeyote na hayo ni maamuzi yake binafsi.

Huyu Jaji naona mpaka nchi yake imeamua kumtosa sijui atakua kalipwa Sh.ngapi na magaidi wa israeli ili kuwatetea. Tusubiri kesi bado inaendelea.

View attachment 2885013
Yule mama mshenzi, kashindwa kuiunga mkono Afrika nzima, ambayo ipo Bega kwa Bega na Afrika Kusini iliyofungua kesi.
 
The subject matter of Israel - Palestine conflict should be 'peace n security for all'.
Mkuu kuna verse kwenye biblia inasema kutakapofanyika declaration ya PEACE AND SECURITY ndipo mwisho utakapoanza/kuja.(1 wathesalonike 5:3)
 
Back
Top Bottom