Uganda Vs Rwanda kimenuka

Uganda Vs Rwanda kimenuka

Hizo sukhoi zinatunguliwa tu ndan ya second. Kisangani walinya nganywa vingapi vikachomwa vingapi? Zinachomwa kabla ya kuruka hizo.
Kwa hiyo slimfeet anataka majaribio ya sukoi?????
 
Hakuna vita hapo zaidi ya Provocations tu za hapa na pale. Tuendelee kusubiri!

1551518457754.png
 
Watubeep sisi waone.......shaitwan mende.
 
Kuna jamaa Uganda ndanindani huko alikuwa akiunda Missiles akataka Jeshi la Uganda limuajiri. Sijui iliishiaga wapi!

Mara ya mwisho alitaka Mu7 aende akazindue Missile yake mpya akakamatwa na Polisi!
 
Wana uzoefu gani Hao rwanda?vita ya kupigana na wahuni wa mstuni ambao hawana vifaru ndege nk hizo huwa ni operesheni tu sasa mwambie ajichanganye kwa mseveni ambaye nchi yake ilishaonja uchungu wa vita
Binafsi naona ni kipigo kikali kwa Rwanda, Sukhoi zitakuwa zinaingia na kutoka zitakavyo.
 
Binafsi naona ni kipigo kikali kwa Rwanda, Sukhoi zitakuwa zinaingia na kutoka zitakavyo.
Kale kanchi kakishambuliwa kwa nguvu kabisa ni siku moja tu jioni wanaume wanaingia kigali
Na wakitaka kumtandika vizuri ni kuwapa silaha waasi wa Congo Na Burundi wakati anahangaika na waasi na huku anashugulikiwa kikamilifu lazima atubu
 
Amini mimi nikuambiacho, EAC hakuna nchi ya kuzuia hizi mashine.
Mjomba unazijua mig 21 zetu?,nikupe taarifa ni ndege vita za toleo la kati zisizochuja uwezo kwa miaka nenda rudi ni sawa na land rover old version heshima na uwezo wake uko palepale hizo nyingine ni maboresho ya ziada tokea kwa kina mig21 kama ni gari hilux redio ya button na mark x redio ya touch lakini wote mnasikia na mnaenda mnapotaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kale kanchi kakishambuliwa kwa nguvu kabisa ni siku moja tu jioni wanaume wanaingia kigali
Na wakitaka kumtandika vizuri ni kuwapa silaha waasi wa Congo Na Burundi wakati anahangaika na waasi na huku anashugulikiwa kikamilifu lazima atubu

Hahah daah kale ka nchi kalimpa kipigo Kongo 'a.k.a kubwa jinga' mpk kakazalisha wakimbizi aisee.

Nashangaa mpk leo Congo,akileta ujuaji anapewa kichapo kiaina anakua mpole hana cha kuifanya hako ka nchi kadogo,Wanajeshi wa upande wa kongo pale border ya Rwanda hua wanauawa mara kwa mara lkn kurusha risasi hata 1 kwenda kwa PK wanaogopa hahah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom