Uganda Vs Rwanda kimenuka

Childish analysis
 
Proxy war? Excuse me please.
 

Acha porojo weka maelezo kutetea hoja yako.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Umemaliza kila kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mseveni mnyankole ,apigane na Kagame mtutsi, woteni Hamitic na wako kundi dogo (minority) ukilinganisha na Bantu majority nchini mwao kila mmoja. Busara ndogo inakataa wote watzua hasira za majority kwao, kila mmoja. Watakuwa wamechoka kutawala na watawaumiza hamitics wa Uganda na Rwanda. Watacreate another genocide. Wale ni ndugu wakigombana shika jembe ukalime, wakipatana shika panga ukavune. . Hata kule Kongo museveni alilubali kupigwa kwa sababu ya busara aliyotumia , kuwa hapa tupo ugenini tunapora, sasa nipeleke jeshi kamili kumpiga mporaji mwenzangu. Ni sawasawa na mfaransa ,mbelgiji ,mwingereza na Marekani Leo wapigane vita mle Congo leo, ni upuuzi kwa kuwa wanachokitaka mle wanakipata, mdini yanayochimbwa na waasi yanaenda huko kwenye hayo mataifa. Una habari kuwa majeshi ya Tanzania yalifadhiliwa na hayo mataifa ili kuisambarstisha M23 kwa sababu ilifadhiliwa na Rwanda? Kanchi kadogo na kenyewe kashiriki uporaji wa wakubwa .? Haiwezekani. Ndio maana majeshi ya Tanzania yaliyoko huko hawasambaratishi waasi waliobaki , hawaruhusiwi na hayo mataifa si kuwa hawawezi. Hakuna nchi ya Afrika inayoweza kutuma jeshi kwenda kupiga nje bila kufadhiliwa. Boko haram kule Nigeria anafadhiliwa na Marekani vinginevyo angeshasambaratishwa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
How many Rwandans have been kidnapped and brought back to Rwanda from Uganda, against their will? Ujasusi wa Rwanda. Yule mkuu wa polisi was on their payroll
Kale Kayihura?? Was He On the Rwandan Payroll!! Justify!! Ila Nakumbuka Sababu za Kutumbiliwa Kwake ni Pamoja na Matukio ya Uhalifu yanayohusisha Polisi Hapa Kampala Kuzidi Snaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mind you Kabudi he is on board as a mediator


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kale Kayihura?? Was He On the Rwandan Payroll!! Justify!! Ila Nakumbuka Sababu za Kutumbiliwa Kwake ni Pamoja na Matukio ya Uhalifu yanayohusisha Polisi Hapa Kampala Kuzidi Snaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basically he is court martialed for that. Why do I have to justify on something I do not know? That is what is claimed. They will sort out themselves
 
Rwanda is too overrated, afu kanchi kenyewe ni nusu ya tabora tu,ukiwabana mipakani tu na kuwapa maadui zake walioko Congo support kidogo wanafika kigali,Rwanda siyo Israel period.

Aisee unaweza ukamzidi mtu uwezo, ucmzidi Akili, ila anaekuzidi Akili ndio kakuzidi na uwezo.how Israel became strong? Huwezi kua na nchi ndogo alfu usiwe na akili ukabweteka tu, yule mzee anajisahau kua atayeye kuchukua uganda line front ya ma general top Walikua wanyarwanda. Rwanda itakua nchi ya Akili na TechnoloJia .(Digital Country)
 
Umeeleza vizuri saaana ila hapo kuwa jiwe ni zao la dstv sio kweli
Kama angekuwa ni zao la dstv asingeweza kuropoka kuwa Ana spy mawasiliano ya mawaziri wake

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Vita hivyo hata Tanzania tutaona impact yake. Ngoja tuone hiyo ngoma itachezwa na wengi na huenda hilo bifu halitahusu hizo nchi bali kuna mtego unaandaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna vita hapo,Ni PK tu anamchezea sharubu kakaake akijua kashazeeka,mziki wa M7 PK anaijua na anajua M7 akiamua ataenda hata kumsalimia chumbani kwake bila mwaliko
 
Hakuna vita hapo ingawaje ikitokea kagame atashinda sababu ya vifaa na technlogia huku mseveni hana teknolojia na jeshi lake haliko Pamoja...Magu atakuwa neutral ingawaje ana uwezo wa kuwachapa wote kwa Pamoja akiamua
Duh akili za watanzania wanazijua wenyewe!
 
Rwanda wameanza mazoezi ya kijeshi na us air force africa kuanzia tar 4 hadi 8 march kwenye ule mpango unaofahamika kama african partnership flight #APF

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…