Mara Moja Moja uwe unawaza maendeleo na si tumbo pekee.Mbona wewe unapiga kelele badala ya kuwekeza Ili tununue sukari bei ya chini?
Usiwe popoma viwanda vikiwa tayari sheria za kuvilinda zitafuata ila kwa sasa anatulinda wananchi
Wacha vitu vije ... hivyo viwanda viko wapiHili Taifa linageuzwa soko badala la kiwanda.
Kila anakoenda Mama badala ya kuwela wawekezaji yeye analeta wachuuzi.
Hebu wewe toa ushauri wakoHuyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Ipi bora, unune sukari Tsh 2800 kwa kg au iuzwe 2000 kwa kilo provided inakuwa imported kutoka nje?Hili Taifa linageuzwa soko badala la kiwanda.
Kila anakoenda Mama badala ya kuwela wawekezaji yeye analeta wachuuzi.
Kwa miaka mingapi hivyo viwanda vya tz vimepewa nafasi ila vimeshindwa kukidhi mahitaji ya soko? Yaani viwanda viendelee kuwafanya watu wakose sukari kisa bei ipo juu kutokana na demand kuwa kubwa kuliko supply? Acha sukari ije bei ishuke, simple!Kwa ukubwa wa ardhi ya Tanzania (Tanganyika) Kenya+Uganda+Rwanda+Burundi bado kupa ardhi inabakia.
Ni habari njema kwa Uganda kuuza sukari Tanzania.
Ila nadhani si habari njema kuuziwa sukari ambayo kama kuna investment financial instrument zingetumika, Tanzania ungeweza kuzalisha sukari ya domestic & industrial use.
Sijui tunakosea wapi sisi Watanganyika?
Maana bado tuna import soft brooms, toothpick, miswaki, duster za ubaoni, chaki za kuandika, daftari za kuandikia.
Lini tutafika?
F
Anatakiwa afikilie kuongeza uzalishaji.Ipi bora, unune sukari Tsh 2800 kwa kg au iuzwe 2000 kwa kilo provided inakuwa imported kutoka nje?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
HatariWacha vitu vije ... hivyo viwanda viko wapi
Nini kilishindikana kuzalisha nwa wingi hapo kabla?Anatakiwa afikilie kuongeza uzalishaji.
Tumuulize yeye ndo anayo majibu sahihiNini kilishindikana kuzalisha nwa wingi hapo kabla?
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mbona kwenye magari mnakuwa wachuuzi?Hili Taifa linageuzwa soko badala la kiwanda.
Kila anakoenda Mama badala ya kuwela wawekezaji yeye analeta wachuuzi.
Sukari ya Tz haitoshi hivyo ili kupunguza bei lazima iagizweHuyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Wasu.**** tulieniAcheni afanye ndiyo mlikuwa mnataka, nchi ifunguke ingawa bado mengine ya ajabu yanakuja ngoja tuone anakoenda mpaka kumaliza zile siku 100 tutapata jibu mujarabu!
Jana tu Prof Kitila Mkumbo kaongea nao wa sukari na wa mafuta ya kura hawana jipya ndio maana mama kajiongeza watoto tusinywe chai ya chuku chukuMama yetu kaongea kweli na wazalishaji na wafanyabiashara wa sukari wa Tz kabla ya kutoa hiyo ruhusa? Ngoja tuone.
Uganda huzalisha sukari nyingiSukari itatoka Brazil, Asia, itapita Mombasa au Dar es salaam port itaenda Uganda itakunja kona kurudi kuuzwa TZ.
Hebu kaeni naye chiniHuyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Majibu yepi unasubiri kaka!!Acheni afanye ndiyo mlikuwa mnataka, nchi ifunguke ingawa bado mengine ya ajabu yanakuja ngoja tuone anakoenda mpaka kumaliza zile siku 100 tutapata jibu mujarabu!