Uganda: Rais Museveni amshukuru Rais Samia kwa kumruhusu kuuza sukari Tanzania

Ni vile tu Magufuli alitawala watu wenye ulemavu wa akili!

Lakini alipopiga ban sukari kutoka nje ilitakiwa watu tuchangamkie fursa za kujenga viwanda vya sukari kila kona na kulima miwa ya kutosha!

Sisi watz ni mazuzu sana
 
...sasa mnalalamika nini, sukari inayozalishwa nchini haitoshi nchi yetu ina uhitaji mkubwa wa sukari, kwahiyo mnaona bora tuendelee kuagiza ile ya brazil tuache kununua ya jirani!!?

Sio sukari tu, hata mafuta ya kupikia nayo yanayozalishwa hayatoshi ukilinganisha na demand tuliyonayo. Hebu tulieni basi sio kila kitu mlalamike
 
Habari wadau!

Sasa kilio cha upungufu wa sukari kitapungua maana mama amefungua milango na kuumuru sukari iingie nchini.

Mubashara toka Kalolo Uganda kupitia TBC 1 kwenye uapisho wa Rais Museveni amshukuru Rais wa JMT mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kwa kumruhusu kuiuzia Sukari ya Uganda nchini Tanzania.

Asante mama tuna imani na wewe endelea kufungua milango yote iliyofungwa ili kazi iendelee.

Mitano tena kwa mama

Bimkubwa anagawa mambo tu sasa hivi washikaj dy/dx
 
Kwa ukubwa wa ardhi ya Tanzania (Tanganyika) Kenya+Uganda+Rwanda+Burundi bado kupa ardhi inabakia.

Ni habari njema kwa Uganda kuuza sukari Tanzania.
Ila nadhani si habari njema kuuziwa sukari ambayo kama kuna investment financial instrument zingetumika, Tanzania ungeweza kuzalisha sukari ya domestic & industrial use.

Sijui tunakosea wapi sisi Watanganyika?
Maana bado tuna import soft brooms, toothpick, miswaki, duster za ubaoni, chaki za kuandika, daftari za kuandikia.

Lini tutafika?

F
Anza wewe kuzalisha Acha makele ya kijinga
 
Wewe unaexport bidhaa gani Uganda?

Kiwanda cha mukwano kinanunua mawese kutoka Tanzania, vitunguu huuzwa uganda, asali ya sikonge soko ni uganda, muhogo wa kula almaarufu udaga wa mtwara naliendere na muhogo wote wa kigoma, geita huuzwa Uganda, vitu vingi huuzwa Uganda kutoka Tanzania
 
Wao walikuwa hawapingi ni sisi wenyewe tu tulikuwa tukifanyiana roho mbaya kuzuiana. Sijawahi sikia tamko la Uganda kuzuia kahawa kuuzwa Uganda. Labda nimesahau.
Aliyekuwa aliyekuwa akifanya roho mbaya huku kwetu ni nani ?
 
Kuagiza Nje ni Short term planning,

Kuimarisha Viwanda vyetu vya ndani ili viongeze uzalishaji na kuhimiza kujengwa Viwanda vipya Mfano kile Cha Jeshi la Magereza Kule Mbigiri/Dakawa~Morogoro hiyo ni Long Term Plan yenye manufaa mengi na endelevu ya muda mrefu.
Sasa tubaki kusubiria long term plan yako huku tunaumia? Shenzi kabisa.Zalisha anza kulia soko usaidiwe sio kupayuka kama chiliku
 
Huyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Tuambie tuna viwanda vingapi vya sukari?, na vinamiliki hekari ngapi za Ardhi, sasa tuambie kwanini sukari haitoshi na kwa nini sukari kwetu tsh 3,000 na Uganda ni Kama 1,500.na kwanini kwetu imekuwa ni Kama anasa .tunataka uwekezaji ulete unafuu wa maisha kwa watanzania Kwanzaa..
 
Hao akina Bagamoyo Sugar Ltd kama walianzisha viwanda kisa tu wamehakikishiwa soko lipo kisa sukari ya nje imezuiwa basi wajiandae kisaikolojia.

Juni hii kiwanda kinatarajia kuanza uzalishaji halafu bimkubwa kapiga fungulia mbwa!

BTW:Bakhresa ana uzoefu na ushindani wa kibiashara naamini haitakuwa issue sana kupenya sokoni.
Uingizaji hautakuwa wa hovyo wewe ,itakuwa ni quorta
 
Nchi wanabana wanajua watu wengi watakuwa mabilionea.

Nchi hii kuna watu wanataka pekee yao.

Ndiyo wawe na mabilion,pekee yao ndiyo.

Wafanye biashara export,import

Ova

Acha mkuu mambo ya biashara ya mpakani ukiangalia yanavoweza kuingiza pesa ya kigeni maana kuna exchange za maana acha kabisa lakini vikwazo vikwazo hata ambavyo havieleweki
 
Yaani kuna wale watu kila wakigusa dhahabu linageuka jiwe ndio hawa, hawana options zozote ila wao kila jema wanachukia tu sisi kuuza nje sawa lakini tusinunue kitu na hasa wivu kwa majirani zetu lakini wachina hata wajaze soko la Kariakoo tuko sawa tu.
Wapumbavu waliosalia baada ya march
 
Lazima tuwe makini sana tusije tukaua kabisa viwanda vyote vya sukari maana sukari ilikuwa inaingizwa kwa kuzingatia mahitaji ya soko...
Ukiruhusu uingizwaji bila kucheki mara mbili ni lazima tuchague kuuwa viwanda vyote!

Wa viwanda vya maziwa wajiandae kuvifunga maana ile ongozeko la ushuru kwenye bidhaa ya maziwa toka nje lazima liondolewe ili maziwa ya kenya yauzwe kwa wingi nchini
Mahitaji gani ya soko bei ziko juu kiasi hiki? Sukari Tulikuwa tunanunua 1800-2200 hii ya zaidi ya 3,000 ndio bei ya mahitaji ya soko?
 
Back
Top Bottom