Uganda kutomfukuza mwanaharakati wa Kenya alipokwenda kusikiliza kesi ya Besigye huku wakimsifu Samia kwa kumfukuza

Uganda kutomfukuza mwanaharakati wa Kenya alipokwenda kusikiliza kesi ya Besigye huku wakimsifu Samia kwa kumfukuza

evangelical

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2011
Posts
5,970
Reaction score
9,898
Kuna mambo yanafurahisha sana .

Yaani watu wanakusifia wewe kwa kufanya kitendo flani kibaya .

Kitendo hicho kibaya aliyekusifia yeye mwenyewe hakifanyi.
Hii kwa wenye akili inaonyesha huyo mtu anakudharau anakuona wewe lofa flani anakupoteza manake huko ni kutoa sifa za uongo.

Kuna watu wanampotosha Rais bahati mbaya na yeye hajui kama anapotoshwa anabakia kuchekwa na kuzaraulika kwa mambo ya hovyo anayofanya




 

Attachments

  • FB_IMG_1747868564980.jpg
    FB_IMG_1747868564980.jpg
    69.1 KB · Views: 18
Kuna mambo yanafurahisha sana .
Yaani watu wanakusifia wewe kwa kufanya kitendo flani kibaya .
Kitendo hicho kibaya aliyekusifia yeye mwenyewe hakifanyi.
Hii kwa wenye akili inaonyesha huyo mtu anakudharau anakuona wewe lofa flani anakupoteza manake huko ni kutoa sifa za uongo.
Kuna watu wanampotosha Rais bahati mbaya na yeye hajui kama anapotoshwa anabakia kuchekwa na kuzaraulika kwa mambo ya hovyo anayofanya





Mtu akikusifia kwa jambo la kipumbavu halafu likatoea jambo kwa namna ambayo wewe alikusifia ulivyofanya kisha yeye hafanyi hivyo. Anakuwa anakusanifu. Amekudharau kuwa huna akili.
 
Kuna mambo yanafurahisha sana .

Yaani watu wanakusifia wewe kwa kufanya kitendo flani kibaya .

Kitendo hicho kibaya aliyekusifia yeye mwenyewe hakifanyi.
Hii kwa wenye akili inaonyesha huyo mtu anakudharau anakuona wewe lofa flani anakupoteza manake huko ni kutoa sifa za uongo.

Kuna watu wanampotosha Rais bahati mbaya na yeye hajui kama anapotoshwa anabakia kuchekwa na kuzaraulika kwa mambo ya hovyo anayofanya




waganda nao ni malofa, nchi inatawaliwa na familia ya museveni yanaangali tu!
 
Back
Top Bottom