Uganda ingefuzu AFCON 2024 ingeiwakilisha vyema EAC kuliko Tanzania inayoenda Kutia Aibu tu huko

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
57,157
110,627
Na hapa wala tusidanganyane Lengo la Watanzania wengi lilikuwa ni Kucheza tu AFCON 2024 huko Ivory Coast ila Mioyoni mwao wanajua na wanakubali kuwa inaenda kuwa Kapu la Magoli kwa Timu ambazo itapangwa nazo Kundi Moja na Kutia Aibu.

Kwa Mfumo wa Soka la Uganda, Vipaji vilivyopo na Commitment yao katika Michezo huku katika huu Ukanda wa EAC wakiwa ndiyo Vinara katika CAF na FIFA Rankings GENTAMYCINE nina uhakika ( tena wa 100% ) kuwa Wangepita Wao jana na siyo Tanzania ( Taifa Stars ) wangeenda Kufanya vyema na hata kufika mbali katika Mashindano hayo.

Haya iwekeni hii nayo katika Mafanikio ya Awamu ya Sita ( 6 ) ili katika Kampeni za Uchaguzi Mkuu ujao ( wa 2025 ) Kufuzu huku kwa 'Kudemadema' kuwe ndiyo Mtaji wa kuendelea kuwepo na Malkia wa Paje Kizimkazi Zanzibar kwa miaka mingine Mitano japo nasikia anaweza akakaa ( tukawa nae ) hadi 2035 au 2037 kama tu ataridhia Mabadiliko ya Katiba ambayo yatamtaka Kiongozi akae sasa Miaka Saba ( 7 ) na siyo Mitano ( 5 ) kama ilivyozoeleka hivyo Yeye ataanza nayo hiyo Miaka Saba kisha mwaka huo wa 2037 ataniachia Mimi GENTAMYCINE ili niwanyoosheni vilivyo Kimaadili, Kiutendaji na niwaletee Mafanikio makubwa ya Kiuchumi kabla sijamkabidhi kwa Boya ( Pimbi ) mwingine ambaye atakuja Kuharibu na kuwarudisheni tena nyuma.

ANGALIZO

Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
 
Hili mimi nilijua mapema sana Algeria kuwalegezea Stars ili kujihakikishia mchekea Afcon, angepita Uganda wangewasumbua endapo wangekutana,, mkeka wangu umeenda fresh kabisa,,
 
Ahahaaaa...! Japo zote mbili ni point. La Kwanza nimefurahi ndio Taifa stars kupita,ila kule kwa mpira ule watu wataenda kujifunzia kutupia kwake. La pili nalo neno ila uwasirishaji huo wa kunanga nanga kama demu wa magomeni ndio wa kiboya zaidi
 
Na hapa wala tusidanganyane Lengo la Watanzania wengi lilikuwa ni Kucheza tu AFCON 2024 huko Ivory Coast ila Mioyoni mwao wanajua na wanakubali kuwa inaenda kuwa Kapu la Magoli kwa Timu ambazo itapangwa nazo Kundi Moja na Kutia Aibu.

Kwa Mfumo wa Soka la Uganda, Vipaji vilivyopo na Commitment yao katika Michezo huku katika huu Ukanda wa EAC wakiwa ndiyo Vinara katika CAF na FIFA Rankings GENTAMYCINE nina uhakika ( tena wa 100% ) kuwa Wangepita Wao jana na siyo Tanzania ( Taifa Stars ) wangeenda Kufanya vyema na hata kufika mbali katika Mashindano hayo.

Haya iwekeni hii nayo katika Mafanikio ya Awamu ya Sita ( 6 ) ili katika Kampeni za Uchaguzi Mkuu ujao ( wa 2025 ) Kufuzu huku kwa 'Kudemadema' kuwe ndiyo Mtaji wa kuendelea kuwepo na Malkia wa Paje Kizimkazi Zanzibar kwa miaka mingine Mitano japo nasikia anaweza akakaa ( tukawa nae ) hadi 2035 au 2037 kama tu ataridhia Mabadiliko ya Katiba ambayo yatamtaka Kiongozi akae sasa Miaka Saba ( 7 ) na siyo Mitano ( 5 ) kama ilivyozoeleka hivyo Yeye ataanza nayo hiyo Miaka Saba kisha mwaka huo wa 2037 ataniachia Mimi GENTAMYCINE ili niwanyoosheni vilivyo Kimaadili, Kiutendaji na niwaletee Mafanikio makubwa ya Kiuchumi kabla sijamkabidhi kwa Boya ( Pimbi ) mwingine ambaye atakuja Kuharibu na kuwarudisheni tena nyuma.

ANGALIZO

Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na unamchukia hata kutamani Afe na huvutiwi na Taarifa zake pamoja na Uwasilishaji wake wa Kipekee na usioweza Kuigwa na Yeyote yule kutokana na Upumbavu, Wivu na Uwendawazimu wako Uliokutukuka njia rahisi ni Kuachana nae ( nami ) na uendelee Kuwasoma na Kuwafuatilia hao unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali zaidi sawa?

Kitendo cha Kuonyesha Unanichukia na Hunikubali lakini bado tu 24/7 unawashwawashwa Kunifuatilia kama Jibwa Jike lililo katika Heat ( hali ya kutaka Kupandwa na Dume ) unaonyesha kuwa Unanikubali sana na kukubali uwepo wangu Uliotukuka hapa Jamvini.

Nimemaliza.
kwahiyo unamaanisha ulipendelea uganda abebwe kwenye mbeleko aende afcon 2024 dhidi ya tanzania sawa,
-hata kombe la dunia kuna team hua zinatolewa hatua ya makundi lakini ubabe ni kushiriki tu kama tanzania tulivokaza afcon,
-somo acha tabia za kimalaya malaya wewe ni shabiki unaipenda Taifa stars au The Cranes .
-usichukie tumepita kwa udhamini wa ligi yetu kukua na futiboli kwa ujumla
 
Soka linabadilika sio "Mungu" Tanzania ulikuwa mbovu wakati huo ila Sasa mambo yamebadilika ndani ya miaka 6 tumefuzu mara mbili

Jifunze kuongelea wakati huo uliopo
 
kwahiyo unamaanisha ulipendelea uganda abebwe kwenye mbeleko aende afcon 2024 dhidi ya tanzania sawa,
-hata kombe la dunia kuna team hua zinatolewa hatua ya makundi lakini ubabe ni kushiriki tu kama tanzania tulivokaza afcon,
-somo acha tabia za kimalaya malaya wewe ni shabiki unaipenda Taifa stars au The Cranes .
-usichukie tumepita kwa udhamini wa ligi yetu kukua na futiboli kwa ujumla
Idiot.
 
Back
Top Bottom