Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

Watu wengi wanaamini ugali ndio chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli

Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndio maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk. Hawana akili lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa Kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa Pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika
Umeongea kinyume na mambo na kupotosha mambo kabisa! Ugali ni mzuri sana hasa kama hauja kobolewa, wali ndio hatari ukila mwingi.
 
Ijapokuwa kuna chembechembe za kweli, hii mada yako ni uongo kwa asilimia karibu 78.

1. Ugali ni bora kama unga haujakobolewa, unga ukikobolewa unapoteza angalau 75% ya virutubisho vyake.

2. Ugali ni chakula bora sana, ni chanzo kikubwa cha starch(wanga), ambayo humeng'enywa kutengeneza glucose. Kwa bahati mbaya, wengi wamezoea kula kiasi kikubwa sana cha ugali kuliko uhitaji wa miili yao. Hili linasababisha shibe inayoambatana na usingizi mzito na kuchoka kwa mwili kutokana na mwili kutumia nguvu nyingi kwenye kumeng'enya starch.

3. Changamoto kubwa zaidi kwenye ugali ipo kwenye kutokausha maindi vzuri ndio yahifadhiwe. Hili linasababisha maindi mengine kuharibika kwa kupata cyanide. Maindi haya yakikobolewa, ugali huwa hatarishi kama chakula.

4. It is fiber rich delicasy, so it prevents constipation(nnya laiiiiniii.)

5. Inasaidia kwenye emeng'enyaji wa chakula kutokana na utajiri wake wa fibres.

6.ugali una utajiri wa proteins ambazo ni muhimu kwenye kujenga afya bora.

7. Ulaji wa ugali haswa ambao haijakobolewa, husaidia kwenye kujenga ngozi bora(ndio maana unapendwa na Wanawake) na madini yaliyopo ndani yake, hutumiwa kuboresha afya kwa mlaji.

Juu ya yote, jamii kadhaa za Kenya kama wajaluo, wakisii, wakamba pamoja na waluhya wanapenda ugali kupitiliza. So kusema wakenya hawapendelei ugali ni unafki.
Mwisho, usikilaumu chakula. Jilaumu wewe kwa kushindilia ugali mwingi kuliko mahitaji ya mwili wako. Ila ugali ni chakula bora sana na ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku.
Tatizo ni umasikini na kulelewa kwenye umasikini
 
Ungejipanga vizuri kabla ya kuandika, siwezi kuamini kuwa wasukuma, wanyamwezi na watu wa mikoa ya Mara na Singida ni makabila madogo! Hawa wote wala ugali.
Zambia ugali mara tatu kwa siku na Malawi ni wala ugali, Afrika Magharibi wala ugali wote hawa tofauti ni aina ya unga wanaotumia.
Hapo wanaongelea ugali wa mahindi.
Ugali wa ngano ni sawa
 
Watu wengi wanaamini ugali ndio chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli

Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndio maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk. Hawana akili lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa Kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa Pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika
Kwa ushahidi upi wa kisayansi(weka hapa tuuone)?Hivi unaelewa maana/definition/ugali hupikwa kwa kutumia nini?Ngoja nikupe tips wewe mwehu;-
-Ugali unaweza kupikwa kutokana na unga wa mahindi,mtama,uwele,ulezi,viazi vitamu,viazi mviringo,ngano,mihogo,ndizi nk(kwa ufupi ni karibu nafaka aina zote).
  • Sasa unapodai ugali ni chakula duni na hakifai,wewe hapo umesifia ngano na ndizi ambazo nazo unaweza kupikia ugali unajielewa kweli?
  • Tatizo lako na si changamoto yako ni kutopenda "mahindi"!Be specific and to the points,chap!Hilo si shauri la wengi.Ni shauri lako.Una mengi ya kujifunza wewe "mua'ya"!
 
Wazungu wanakula mahindi sio ugali
Fala wewe, kwahiyo mtu anayekula vitumbua hali mchele!?,unga wa ugali si unatokana na mahindi!?, Kwahiyo unga wa mahindi una matatizo, ila mahindi hayana shida!?,hivi jamii forums imevamiwa na watoto siku hizi!??
 
Watu wengi wanaamini ugali ndio chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli

Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndio maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk. Hawana akili lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa Kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa Pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika
Eti Kenya na Rwanda hawali ugali 🤣🤣🤣 sidhani kama umewahi hata kuishi huko

Wewe endelea kula chips mayai za Dar
 
Sijatembea Kenya na Nigeria sana nj3 ya miji mikuu lagos na Nairobi, ila kule Ugali wanapiga bila huruma , nmetokea siku hizi kuupenda sana , nina miezi kama sita bila kuugusa wali, mwili una nguvu sana na afya tele
 
Ugali si chakula
kataa ugali
unagali unadumaza akili
ugali unadumaza mwili
ugali ni sumu
ugali hauna nutrients zinazohitajika mwilini
kula ugali ni kujaza tumbo tu
samia piga marufuku ulaji wa maugali tanzania.
Tatizo ni umasikini
 
Back
Top Bottom