Ugali ni chakula ambacho hakijawahi tengwa mahsusi kwenye meza kuu za Wafalme na Masultani, kinahusishwa na uduni wa kiuchumi

Majamaa ya mitandaoni yana upuuzi sana, mpaka sasa hivi huko kanda ya ziwa ndipo panapoongoza kuwepo kwa wasomi wengi ikiwa Maprofesa zaidi ya 500 wote hutokea huko hapa TZ.

Sasa kuna mawakala wa shetwani wanashuhudia uwongo hapa kuwa ugali unaduwaza ubongo daaaah...!

Kweli kuishi kwingi duniani ni kushuhudia vituko vingi

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Kanda ya ziwa ipi? Musoma ugali wa mtama nguvu za mwili kuliko akili, mikoa ya kisukuma ugali wa mahindi nguvu za kulima ila siyo darasani, bukoba hawatumii ugali zaidi ni ndizi kama waganda hao ndo tunawaona Kuna maprofesa hivyo ugali ni nguvu za mwili ila unadumaza akili na siyo kwamba mtu asile ugali ale ugali kwa hamu na vyakula vya kuacha ubongo unafanyakazi vizuri vitumike zaidi mfano zile mboga pendwa kama dagaa zinazopendwa kuliwa na ugali zinaweza kuliwa na mkate na kushushia juice au matunda hasa usiku na mambo yakaenda vizuri sana.
 
Sijawahi kupenda ugali wa mahindi nakula kwa sababu ni hakuna option..ila soon ntaupiga chini...mahindi ni chakula cha mifugo.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia mkate hasa ngano isiyokobolewa nichakula chenye afya hata Sara alikuwa anampikia mume wake Ibrahim mikate ya kuoka kama chakula kikuu mkate nichakula kinachotumika kwa mataifa mengi mbadala ya ugali.
 
Sanaa ya ugali inapatikana Afrika kwenye nchi za watu weusi. Nchi za Ulaya na Asia hawafaham kitu kinaitwa ugali. Baadhi ya nchi za Ulaya wanapika kitu mfano wa ugali lakini ni wa viazi, kinakuwa kati ya uji na ugali.


Ugali ukiuzoea ni msosi mzuri sana.
Hasa ugali nyama choma na safari ya baridi
 
katika moja ya tafiti za kipuuzi duniani ni hiyo inayodai ugali unadumaza akili.ni tafiti ya kupuuzwa.
 
Miye nimekuelewa mtoa mada mahindi ni chakula cha mifugo.
Hata ukicheki miili yetu ni dumavu angalia wachezaji wetu na west Afrika wa kwetu kuna kitu wanakikosa ambacho ni chakula
 
Wadau wenzangu wa JF & Watanzania wote

Naandika haya nikiongozwa kwa dhamira nzuri ya kueleza ukweli bila kuwa na nia ya kuwakera baadhi yenu

Sikusudii kupotosha, kukashfu, kudharau historia yetu, au makuzi yetu, au aina fulani ya chakula, kikundi fulani
kwenye jamii yetu n.k

Nazungumza chakula maarufu duniani kinachotokana na mahindi almaarufu Ugali

Nitazungumzia kwa ufupi kuhusu Ugali Chakula ambacho;

Kwa asili hakijawahi kuwa sehemu ya vyakula vinavyote gwa kwenye meza kuu ya Wafalme au Masultani!

Hakijawahi kuwa Maalumu au mahsusi kwa ajili ya wageni

Hakijawahi kuwa Maalumu au Mahsusi hata kwa ajili ya wagonjwa au walio na njaa kali

Ni chakula kinachohusishwa na Utwana au Utumwa au hali ya umasikini

Kimekosa ufahari mbele ya jamii hasa baada ya kukitumia

Kinahusishwa na udumavu wa maendeleo ya taaluma kwa wanaokitumia kwa muda mrefu tofauti na wanaotumia vyakula vinginevyo kama mpunga, ngano, shayiri, mtama, ulezi au hata ndizi n.k

Naomba kuwasilisha

Karibuni kwa mjadala

Aksanteni

Nakala: Paschal Mayala
Kabla ya kuandika ulitakiwa ku google kwanza, hii ni kukurupuka,ingia google andika peasant food (vyakula vya kimasikini) utagundua kuwa sausages, na pasta zipo katika listi ambapo kwako wewe uliyeposti unaweza kuwaunapoviona supermarkets unachanganyikiwa, kwa ufupi nikuwa mahindi yanalimwa africa na america sasa masultani ambao kwao mahindi hayaoti ulitakaje wale ugali,
 
Mahindi ni chakula cha mifugo sisi tunakula kama mazoea tu. Hakina faida yoyote kwa mwili hasahasa ubongo. Kuna utafiti ushafanyika unaonesha Mediterranean diet ni bora kuliko zote. Kile chakula wanachokula wanawaizrael wa kwenye biblia ni bora. Wanakula ngano isiyokobolewa (mkate), samaki, mafuta ya mizeituni (olive oil) na zabibu.

Hiyo milo ni bora kwa afya na hasa ubongo kwakuwa kuna omega 3 ambayo inaongeza uwezo wa ubongo kufikiri na kubuni. Ndio maana huku sisi akili zetu zimeathiriwa na ulaji mbovu tunakuwa na akili za kmhdijeiehduhrrjrokuruheueu. Inatakiwa tule mlo mzuri wenye omega 3.
Mahindi mabichi yana viruyubisho vingi
 
Ugali unadumaza akili. sio chakula bora kwa ubongo na ufahamu.

Tafuna mahindi kidogo kwa kupata wanga kiasi na sio utumie unga wa mahindi kama chakula. Tungekuwa hatuli ugali tungekuwa mbali sana!
Na wali je mkuu haudumazi akili na je hauna wanga unao athiri afya ya ubongo?
 
Ugali una wanga mwingi sana kwa hiyo unafaa kula watu wanaofanya kazi zinazohitaji matumizi ya nguvu nyingi. Sio chakula cha mtu wa kazi za wastani.
 
Ni kweli na nimependa sana hapo mwishoni ulipotaja aina ya vyakula.

Ila sasa nakuomba tuachie wenyewe huu ugali asee ugali ni kitu kingine kabisa, yaani ugali kwa samaki, losti ya dagaa kwa mbogamboga, asee!.

Acha tu hao wafalme waendelee kula wali na ulojo, kuna time inafikia huwa kuna kazi tunawasaidia.
Mnawasaidia kupasua kuni
 
Mahindi yameletwa Africa na wakoloni wa kireno na si chakula bora ndo maana watu wananenepeana hovyo na kupata kisukari sababu ya kula ugali hasa wa mahindi, chakula gani hichi ambacho panya, dumuzi, scania, madawa shambani, mbolea za chumvi chumvi kama nyumbani .
Nashukuru nimeacha kutumia unga wa mahindi kutengeneza ugali sasa nina mwaka mmoja kamili bila kugusa, na mwili nausikia vizuri na tumbo limekuwa jepesi napata choo kingi kila siku bila ya ugali.
Kwa hiyo Mkuu siku hizi una puu kinyama yaani. Mzigo mzigo kwelkh
 
Wadau wenzangu wa JF & Watanzania wote

Naandika haya nikiongozwa kwa dhamira nzuri ya kueleza ukweli bila kuwa na nia ya kuwakera baadhi yenu

Sikusudii kupotosha, kukashfu, kudharau historia yetu, au makuzi yetu, au aina fulani ya chakula, kikundi fulani
kwenye jamii yetu n.k

Nazungumza chakula maarufu duniani kinachotokana na mahindi almaarufu Ugali

Nitazungumzia kwa ufupi kuhusu Ugali Chakula ambacho;

Kwa asili hakijawahi kuwa sehemu ya vyakula vinavyote gwa kwenye meza kuu ya Wafalme au Masultani!

Hakijawahi kuwa Maalumu au mahsusi kwa ajili ya wageni

Hakijawahi kuwa Maalumu au Mahsusi hata kwa ajili ya wagonjwa au walio na njaa kali

Ni chakula kinachohusishwa na Utwana au Utumwa au hali ya umasikini

Kimekosa ufahari mbele ya jamii hasa baada ya kukitumia

Kinahusishwa na udumavu wa maendeleo ya taaluma kwa wanaokitumia kwa muda mrefu tofauti na wanaotumia vyakula vinginevyo kama mpunga, ngano, shayiri, mtama, ulezi au hata ndizi n.k

Naomba kuwasilisha

Karibuni kwa mjadala

Aksanteni

Nakala: Paschal Mayala
unga husagwa kwa mzunguko wa vyuma. Kuna wakati vyuma huwa vimelika kabisa,
Vyuma hivyi baadae huwa nu sehemu ya unga tunaokula.
Ukivila, vinaenda kuziba akili.
matokeo yake, wala ugali wnakauwaga hawana akili.
 
Back
Top Bottom