Bacary Superior
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 3,721
- 1,515
kama unataka kuoa we oa hayo mambo hawayafikilii
Ni kweli mkuu! Ila inauma lakini hamna namna ila Mungu naomba anipatie yule mwenye kujielewa na nikimpata atulie kwangu aachane kabisa na waliopita. Kmbuka hata sie (walio wengi) tunakuwa na mahusiano na wengine ila kinachotakiwa ni ustaarabu tu maana kurukaruka na kubadilisha wapenzi sio ishu aisee!Hata ukifanyaje utakuta una oa aliyesema so cha msingi usifikirie aliwahi kupitiwa na wangapi hapo nyuma.Tena wengine kabla ya kuolewa anakuja kupigwa miti kwa mara ya mwisho...wenyewe wanaiita kuagana.
Hahahaha ni kweli inaleta picha mbaya. Ila hakuna namna kwa walio wengi ni wachepukaji japo sio wote. Hapa inabidi ujifariji tu kuwa hafanyi hayo hata kama anafanya ili maisha yendelee vinginevyo stress hazitokwisha.Hii habari sio nzuri kwa wale wanaosomesha wachumba zao.
Hahaha lakini mkuu hii ishu haiko kwa mabinti tu wengine ni wake za watu kabisa tena ameacha na watoto nyumbani hapa suala tu inatakiwa ajutambue mwenyewe! Japo tunawalaumu mabinti/wanawake tu lakini hata wavulana/wanaume tena walio wengi tabia ni zilezile tu. Mi nilishuhudia jamaa kaacha mke home lakini alidatishwa na kibinti tena nilipokuja kumwona mke wake nikamshangaa sana jamaa nn alidata kwa kibinti hicho maana uzuri wa mke wake hata nusu kale kabinti hakafikii. Dah anajua yeye alichopenda siwezi kusema sana lakini tunatakiwa tujiheshimu pande zotendo manake..mm nasema sitokaa nimsomeshe binti. Ili nimuoe
yah...and still nlikua bikra nae anao mnene mrefu size sawa na chupa ya soda..angekuw mwingine asie mstaarbu kasimamisha unamwambia mi bado bkr halaf akiangalie tu hivihivi?? ningeenda kushonwa nyuz mia moja na kes ya aibu nyumbanHahahahah uliogopa muhogo Wa jang'ombe
Hhehehe we muoga mnoo.....!yah...and still nlikua bikra nae anao mnene mrefu size sawa na chupa ya soda..angekuw mwingine asie mstaarbu kasimamisha unamwambia mi bado bkr halaf akiangalie tu hivihivi?? ningeenda kushonwa nyuz mia moja na kes ya aibu nyumban
huu ujana huu!!
naogopa kuwa singo maza..Najua kero na maumiv yake.Hhehehe we muoga mnoo.....!
Kwanini paka unaenda chuo bado upo silled? Ni kosa kubwa
Ila bado IPO???? Au wajanja washaitoa
Huwezi kuwa single maza kirahisi rahisi bwana.....!naogopa kuwa singo maza..Najua kero na maumiv yake.
Daah sasa sijui tufanyeje jamani maana vitumbua vyetu tunapokonywa mkononi.Wengi wanaofanya mambo hayo wengi ni wale ambao hawajazoea maisha ya uhuru..kwahiyo akishaoneshwa viwanja viwili vitatu anashtuka na yule waliekuwa na ahadi anatupwa kwenye Dustin
HIVOOOOO?sio wote mm nilitoka chuo bila kumpenda mtu yeyoteee si kwamba maombi hayakuwepo basi sikuona wa maana afu wengiii malaya wanazungukana hilo lilinipa kichefuchef
nakumbuka kuna wakaka walikuwa wanauliza vip mshikaji wako yuko wap ila mpaka namalizavhawakujuaga siri yangu, kila aina ya uchafu iko chuo watu wanakunjana hadi bwenini? afu hawaogi eti wanajipangusa loh
chuoni hakuna cha ma lecture au maprofesor wote ni balaa
najua kila kitu..mi sio mtoto wa kuambiwa hivo..ipoHuwezi kuwa single maza kirahisi rahisi bwana.....!
Ipo???
Sasa ukiwa unajua kila kitu huwezi kufiikia hatua ya usingle mother....hahanajua kila kitu..mi sio mtoto wa kuambiwa hivo..ipo
Daah haya basi,acha tukubali tu,maana tukipinga tutatukanwa tu,muhogo wa jangombe umetoka halafu ukarudishwa korokoroni,halafu mara jamaa kawa mstaarabu heheheeee.chuo siku ya kwanza tu nlianza kufuatwa...ila wa kwanza kabisa aliniomba twende kwetu kigambonino tukapunge upepo tukaenda but kufika nyumbani kwao sebuleni hali ikaanza kubadilika...he kissed me...french kisssss.......nashangaa ye anavua nguo mwenyeweeee...hali ilipozidi kua mbaya akatoa muhogo wa jangombe... nlichkiona ile siku..nakosa hata la kusema..nashukuru alikua mstaarabu na kuniacha niende zangu..
Ila ulikula muhogo wa kuchemsha na ukwaju kibao.soma sentes ya mwisho kabisa..hakunila
Ha ha that trueWakazi wanaoishi pembeni ya maeneo ya vyuo huishia kulea wajukuu wasio na baba. Haswa wale wadada wanaofua nguo za vidume vya chuo. Nibishie!