............................wasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaalaaaaaaaaaaaaam............
Slogani za Wana Ndani ya miezi pendwa na siku mujarabu yenye tukio bora miongoni mwake la Eid El Hadji..kwa Ndugu zangu waislamu Barakatul La Eid ...
Huwa Kuna Jambo huwa Lanisikitisha na Hata kuniogopesha Sana hasa nikikumbuka Maisha ya chuoni na yale ya ndani ya Hostel zake. Vyouni Kuna ufuska sana tena umekithiri kwa kiwango cha Zege, metal zinafanya Wala haziogopi na hata kukumbuka kabisa kuwa yuko mahali gani na anafanya nini, Vyuoni ni sehemu ambayo kama ulikuja na Couple yako ni ngumu kudumu nayo Maybe uipige Chupi ya chuma na Hata kama ulikuwa na Demu wako ama Hata mchumba au mkeo ni Dhahili shaili utamkosa na kama utakuwa nawe basi juu kabisa jamaa washapiga sana mitindo huru, tena kavukavu na kwa uhuru.
Vyuoni ni sehemu mabinti wanajiuza mchana bila woga, hasa hivi vibinti vya dip na Certificate vinaburuzwa sana ,sometime mpaaka inakuwa too much, vyouni waweza akaja bint na mchizi room mwishowe huyo bint akaburuzwa na Roommates wote mpaka.
vyuoni ni sehemu ambayo binti anakuja na upako anaondoka na ukurutu mwili mzima, uliojaan kila aina ya makorombwezo,
Laiti wazazi wao wangekuwa wanajua wanayoyafanya watoto zao vyuoni daah sidhani kama wangewaruhusu..
my take: kama kijana mwenzangu una mchumba ambaye anategemea kwenda chuoni andaa kabisa backup maana huyo sio wako otherwise wote muwe pamoja muda mrefu. na kama una mke unategemea akapige chuo kama inawezekana mvungie tuu maisha ndo haya haya hakuna kuyaogopa.