mkuu sijasema wote ila kati ya 100 basi 15-20 tu ndo wanaweza kuwa wako na misimamo imara.Kiasi flani kuna ukweli ila huwezi kusema ni wote. Ni kweli asilimia kubwa wameharibika ila wapo pia wanaojiheshimu.
Moja kati ya kitu chakustaajabisha nlichokiona ni kitendo cha watu kulana kirahisi rahisi.... dah yani friendly game za hapa na pale.
Mambo ya kutembeleana hostles...sio kabisaaa. Mambo ya kupiga watu exile balaa tupu...
True Wanawake wavyuoni wako easy going sana, tena sana, wagogwa na kukamuliwa hata kwa pipi, vyuoni kumechafuka sana...Nashukuru Mungu niliondoka salama bila kuingia kwenye mitego ile ya kifedhuri juu ya uchafu ule.Ha ha akati naishi mtwara kuna TIA, UTUMISHI, COTC,SAUT ha ha Vijana wanashindananatu. Yaani watoto hawakatai na wengine wametoka maisha magumu yaani wakiona hela ha ha habari ndo kwisha
Ha ha ata ukitaka kuoa lazima wote wawili muwe committed sana na muombe mungu sana shetani asiingilie.lasivo unaweza ishia kujinyongaTrue Wanawake wavyuoni wako easy going sana, tena sana, wagogwa na kukamuliwa hata kwa pipi, vyuoni kumechafuka sana...Nashukuru Mungu niliondoka salama bila kuingia kwenye mitego ile ya kifedhuri juu ya uchafu ule.
Acha kupayuka payuka wewedaaah huko nako mkuu ni hatari, kama unabisha fanya research , af hawajui kukataa.
Duh vp sasa uendelezi game ?Chuoni nilijikuta natembea na sister,,, Frida, ,Mungu anisamehe maana ndo ilikuwa njia sahihi mda huo,, Kuna siku nitakuja tena huko ,tutubu kwa mungu,,,ila we ndo chanzo,,kuanza kuvua Room kwako et ukaoge,,,wakati umeniita nikwaandikie CV yako ya kizungu,,nikala tunda,, na Pesa ukanipa,,
ndo manake..mm nasema sitokaa nimsomeshe binti. Ili nimuoeHii habari sio nzuri kwa wale wanaosomesha wachumba zao.
kwani sio chuo?Hadi chuo cha Upadri na U-sister ..?
Hongera kama ni kwelisio wote mm nilitoka chuo bila kumpenda mtu yeyoteee si kwamba maombi hayakuwepo basi sikuona wa maana afu wengiii malaya wanazungukana hilo lilinipa kichefuchef
nakumbuka kuna wakaka walikuwa wanauliza vip mshikaji wako yuko wap ila mpaka namalizavhawakujuaga siri yangu, kila aina ya uchafu iko chuo watu wanakunjana hadi bwenini? afu hawaogi eti wanajipangusa loh
chuoni hakuna cha ma lecture au maprofesor wote ni balaa
wewe ulikua na wangapi?uchangudoa vya vyuoni ni wa kutisha
kama mia hivi!wewe ulikua na wangapi?