HA HA HA ILA ULILIWAchuo siku ya kwanza tu nlianza kufuatwa...ila wa kwanza kabisa aliniomba twende kwetu kigambonino tukapunge upepo tukaenda but kufika nyumbani kwao sebuleni hali ikaanza kubadilika...he kissed me...french kisssss.......nashangaa ye anavua nguo mwenyeweeee...hali ilipozidi kua mbaya akatoa muhogo wa jangombe... nlichkiona ile siku..nakosa hata la kusema..nashukuru alikua mstaarabu na kuniacha niende zangu..
soma sentes ya mwisho kabisa..hakunilaHA HA HA ILA ULILIWA
Mhhkama mia hivi!
Kweli?uchangudoa vya vyuoni ni wa kutisha
Hahahahah uliogopa muhogo Wa jang'ombesoma sentes ya mwisho kabisa..hakunila
Ni chuo cha watakatifukwani sio chuo?
Lkn si nichuo mkuu?Ni chuo cha watakatifu
mkuu Mimi ni mmoja kati ya wachache niliovuka vishawish na kushindwana navo, na hata udomo zege ulinisaidia..We ni Malaysia na ao roommates wako mliokutuna ni Malaysia pia bahati nzuri zaidi ukapata vidosho Malaysia hadi ikapelekea kuandika uzi huu.