Ufunguzi wa kiwanda cha kutengeneza chakula cha kuku

Wewe ni mfugaji?? Nimeuliza maana moja ya changamoto wanayopata wafugaji ni formula za chakula. Ndio maana nikamtaka huyo mtaalamu aseme kama ashafanya utaalamu wowote na ukafanikiwa Kwenye formula za chakula.
Animal nutritionionist sio formula tuu. Formula inatengenezwa kutokana na vyakula vinavyopatikana maeneo husika, Nutritient contents kwasababu mahindi yanayolimwa Songea na Dodoma nutritient content itatofautiani, bei ya chakula hicho katika maeneo husika. Kwahiyo kuna factors nyingi za consideration kabla ya kuanzisha kiwanda husika. Mambo ni mengi sana haya mambo hatuwezi kuyakamilisha humu ndio maana hizi ni course watu husomea
 
Animal nutritionionist sio formula tuu. Formula inatengenezwa kutokana na vyakula vinavyopatikana maeneo husika, Nutritient contents kwasababu mahindi yanayolimwa Songea na Dodoma nutritient content itatofautiani, bei ya chakula hicho katika maeneo husika. Kwahiyo kuna factors nyingi za consideration kabla ya kuanzisha kiwanda husika. Mambo ni mengi sana haya mambo hatuwezi kuyakamilisha humu ndio maana hizi ni course watu husomea
Kwa hiyo ulitengeneza formula kwa vyakula vya wapi?
 
Ni biashara nzurii sana nataman siku nifikie plan kama zako,
Pia unatakiwa kujua wapi utapata raw material
Ukishaanza kiwanda naomba unipe kazi nikulete walinzi mm nakampun ya ulinz na kama upo industry ya zegeren tushaanza kutoa huduma maeneo hayo
 
nakushauri kila kitunkiwe documented before ujanza kuitawanya iyo pesa " high analyzed business plan"
Hii ni comment muhimu sana.Fanya market survey, study weakness and strength of powerful company. Study customer behavior. Hayo yote huwa yanakuwa ktk business plan.Kwa hio mtafute mtaalamu aakufanyie sio kanjanja wa kupika data.Market survey ndio ngumu kuliko nguvu ya Opponent wako.Sasa basi ikiwezekana unda timu zunguka ktk mashamba ya kuku do a research and promote your product.Unaweza ukafanya ya majaribio kabla ya kiwanda kupima nguvu ya solo.
Wadau wengine wa muhimu ni supplier/ maduka ya kuuza rejareja na jumla,hao lazima uwatembelee.
 
Nilichogundua mikoa ya nyanda za juu kusini wanapenda sana kujichanganyia chakula kutokana na kuwepo mashudu.Dar,Mwanza,Arusha ndio soko kubwa la chakula kilichosindikwa, mikoavya kati kuku was kienyeji in wengi hivyo hawana habari. kigoma hawana habari na kuku hivyo chakula cha kuku son lake no dogo ukizingatia wanapata dagaa/samaki na mashudu kwa bei poa.Jambo lingine hebu angalia nchi za karibu ambao wanauhaba wa chakula ukasavei soko.
Katika vitu nilivyoviona vigumu ni kupata data halisi, sijajua wataalamu wanatumia mbinu gani.
 
Habari za jioni ndugu wadau.

Nimekuja na wazo la kuingia kwenye biashara ya kuzalisha chakula cha kuku wa mayai na nyama

Mtaji 200M (kiwanja kibaha, jengo mashine, raw materials, Vibali n.k), Lengo ni kutengeneza/kuzalisha Tani 10 kwa siku.

Naombeni mwongozo kwenye ununuzi wa hizi mashine (pellets) hapa au nje ya nchi, na mashine zipi/kampuni gani bora kwenye uten.

Zaidi naombeni ushauri wa hii biashara kuhusu faida na changamoto zake.
Unazungumzia kuku wasio na baba????!!!!!!kuku wa kijinga sana kila kitu kiwandani
 
Back
Top Bottom