Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,690
- 106,827
Habari, wataalam na wenye uzoefu wa jambo hili naombeni muongozo katika jambo langu hili.
Ili kujikwamua na ufukara uliokithiri Nilitaman kufanya biashara ya ufagaji.. Nilionelea nifanye ufagaji wa kuku wa mayai. But sijawah kufanya hii kitu uzoefu nilionao ni wa kuhudumia kuku wetu wale tunaofuga nyumbani so kwa kiasi naelewa kuku wanavyotia stress.
Nilitaka ninunue eneo kuanzia 1 hector and above kisha ndio nifanyie hapo shughuli hizo za ufugaji.....
Karibu wajuzi wa mambo mnipe mawazo. Yaani naanza from scratch naweza sema sijui lolote kwenye biashara hii.
Nimesoma soma threads humu, kutazama video YouTube na kufuatilia fb swala hili. Natumaini GT wa JF mtanijuza zaid.
Ili kujikwamua na ufukara uliokithiri Nilitaman kufanya biashara ya ufagaji.. Nilionelea nifanye ufagaji wa kuku wa mayai. But sijawah kufanya hii kitu uzoefu nilionao ni wa kuhudumia kuku wetu wale tunaofuga nyumbani so kwa kiasi naelewa kuku wanavyotia stress.
Nilitaka ninunue eneo kuanzia 1 hector and above kisha ndio nifanyie hapo shughuli hizo za ufugaji.....
- So Ningependa kujuzwa vitu vya kuzingatia katika kuchagua eneo la kufanya ufugaji huo.
- Je biashara hii inalipa au ndio pasua kichwa?
Karibu wajuzi wa mambo mnipe mawazo. Yaani naanza from scratch naweza sema sijui lolote kwenye biashara hii.
Nimesoma soma threads humu, kutazama video YouTube na kufuatilia fb swala hili. Natumaini GT wa JF mtanijuza zaid.