Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

Wadau naomben mnijulishe bei ya chakula cha samaki kwa kilo, aina za chakula na vinapatikana wapi panapoaminika kwa Dar es salaam
 
Na kiukwel biashar ya samaki imekuwa ngumu sana, ni ipi bei ya Jumla ya samaki aina ya sato kwa kilo hapa Dar
 
heb nisaidie, cjaanza kufuga samaki lakin natak kufaham kitaalam samaki hula kias gani cha chakula kwa siku nzima?
 
heb nisaidie, cjaanza kufuga samaki lakin natak kufaham kitaalam samaki hula kias gani cha chakula kwa siku nzima?


Ukiangalia jedwali hapo juu inategemea na ukubwa wa samaki mkuu.....

Na mara nyingi unapowapa chakula samaki mara nyingi huwa wanakuja usawa ma maji kula chakula na ukitaka kujua kuwa wameridhika na chakula unapokuwa unarusha tena chakula kwenye maji hutowaona wakija juu kula chakula hapo ndipo utajua ya kuwa wametosheka na chakula mkuu....

Na ukiona kwenye jedwali hapo juu kwenye picha utaona kabisa samaki wa mwezi mmoja anakula kiasi cha gram 1 mpaka 2 na yule wa kuanzia miezi mitano anakula gram 4 za chakula...

Nadhani nitakuwa nimejaribu kukuelewesha mkuu....
 
Ahsant san mkuu, nafikir sikuweka sawa swali, nilikuwa nalenga zaid ufugaji wa samaki katika matenki, maana katika mabwawa samaki hupata pia chakula cha asili, sasa je kwa hawa wa kwenye matenki (intensive aquaculture) wanalishwa kias gani?
 
-kwanza kabisa soko la samaki lipo vip kwa mkoa wa Kilimanjaro na Arusha maana Kilimanjaro ndipo project yangu itakuwepo?

-Then members kama kichwa kinavohusika hapo, soon nahitaji kuanza ufugaji wa samaki, aina ya sato na sangara na jamii ingine.

-Hivo naomba mtaalamu yoyote ambaye anajua kuhusu mambo hizi za ufugaji wa samaki ambaye ataweza kuniandikia proposal kuhusu ufugaji wa samaki ambayo itanisaidia kupata mkopo.

Please Inbox Ikiwa wewe ni mtaalamu katika hivi
 
Nenda Wizara ya uvuvi na livestock utapata watalam na information hitajika kwa ufanisi. Hongera sana. Kazi nzuri sana.
 
Sangara (Nile perch) ni mgumu kufuga sababu ni obligate carnivore.

Isitoshe na genetics,breeding and seed production kwa Tanzania na East Africa kiujumla ya huyu samaki Haipo.
shukrani kwa kunipa info
 
Weka kazi mlizofanya nyie. Then utupe muongozo ni kwa jinsi gan inafanya kazi na maelezo kidogo.
Shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…