Msema hovyo
Senior Member
- Jul 3, 2011
- 195
- 86
Inaonekana huyu bwana mdogo hajui vizuri definition kamili ya ufisadi. Amewakomalia akina Rostam, Lowassa na Chenge kwamba ndo mafisadi wakubwa ndani ya CCM huku akisahau ufisadi mkubwa ambao yeye analifanyia taifa. Nape hivi sasa anaendelea kupokea na kutafuna mshahara kutoka kwa walipa kodi kama mkuu wa wilaya, ili hali kazi ya ukuu wa wilaya haifanyi tena.
Muda wote Nape yupo kwenye mikutano ya CCM, ni saa ngapi na kwa muda gani anawatumikia wananchi wale ambao amepewa jukumu la kuwatumikia? Na je ule mshahara wa ukuu wa wilaya anaoendelea kulipwa anaupokeaje ilihali hafanyi kazi ya ukuu wa wilaya? Anaweza kuuelezeaje huu wizi anaoifanyia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupokea mshahara wetu ilihali hafanyi kazi?
Tayari Rostam keshajivua gamba, the next awe ni Nape na Kikwete. Hawa ndo mafisadi wakubwa na ndo magamba ya ukweli ndani ya CCM. Wale akina Rostamu walikuwa wanapitishiwa tu hela zinazoibwa na hawa hawa akina Nape na Kikwete. Ni lazima kieleweke. Sisi kama wanaCCM hatutakubali gamba hili (Nape) liendelee kuwemo ndani ya chama chetu.
Muda wote Nape yupo kwenye mikutano ya CCM, ni saa ngapi na kwa muda gani anawatumikia wananchi wale ambao amepewa jukumu la kuwatumikia? Na je ule mshahara wa ukuu wa wilaya anaoendelea kulipwa anaupokeaje ilihali hafanyi kazi ya ukuu wa wilaya? Anaweza kuuelezeaje huu wizi anaoifanyia Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupokea mshahara wetu ilihali hafanyi kazi?
Tayari Rostam keshajivua gamba, the next awe ni Nape na Kikwete. Hawa ndo mafisadi wakubwa na ndo magamba ya ukweli ndani ya CCM. Wale akina Rostamu walikuwa wanapitishiwa tu hela zinazoibwa na hawa hawa akina Nape na Kikwete. Ni lazima kieleweke. Sisi kama wanaCCM hatutakubali gamba hili (Nape) liendelee kuwemo ndani ya chama chetu.