Ufisadi wa Nape huu hapa

Wanaoendelea kudai MIE bado DC pengine Wanasababu zao tusizozijua. NARUDIA NILISHA KABIDHI U DC NINAPOTAKIWA KUKABIDHI NA KWASASA ANAYEKAIMU PALE ANAITWA FATMA ALLY MKUU WA WILAYA YA NANYUMBU. Kuhusu MISHAHARA miwili NADHANI kuna WATU hawajui taratibu ZA utumishi nchini ambazo MIE NI muumini sana. HATA hao wengine wanaotajwa ETI WALIKUA WAKIPATA MISHAHARA MIWILI NI UONGO NA UZUSHI, KATI YA HAO WALIOTAJWA e.i kina MKUCHIKA, HAKUNA ALIYKUWA AKICHUKUA MISHAHARA MIWILI,UKWELI NI KWAMBA UKISHATEULIWA UNATAKIWA KUCHAGUA MSHAHARA MMOJA KAMA UNA KAZI MBILI,SHERIA HAIRUHUSU KULIPWA MISHAHARA MIWILI. KWA MFANO UNAKUWA MBUNGE PENGINE NA RC, UNATAKIWA KUCHAGUA MSHAHARA MMOJA WA U RC AU UBUNGE NA SI YOTE MIWILI.KUNA MANENO HAPA KAMA VILE NIMETUKANA AU NIMETUMIA MANENO MABAYA KWA MTU BINAFSI, NAULIZAX WAPI? HIVI WAPI AMBAPO NIMEMSHAMBULIA MTU BINAFSI? HIVI KUSEMA MTU HALIPI KODI NI DHAMBI KAMA HALIPI?HAPA JF AKISEMA NAPE FLANI ANAKWEPA KODI NI KUONYESHA. KUWA NAPE HANA AKILI KAMA MNAVYONISEMA? TUNAJADILI NCHI YETU, TUKIGUSA MAHALI MSIPOTAKA BAADHI BASI NITAPOROMOSHEWA MATUSI MENGINE AMBAYO MASIKINI WA MUNGU SIDHANI KAMA NINASTAHILI.MIMI KWANGU SIO TATIZO KEJELI ZA BAADHI YA WATU JAMVINI, LAKINI HEBU FIKIRIA ANAYEJIUNGA LEO JAMVINI ASIYEJUA HESHIMA YA HAPA ENZI ZA JAMBO FORUM, ANAJIFUNZA NINI.? Inawezekana NI jitihada ZA makusudu kuvunja moyo WATU wengine tusije HAPA LAKINI NAWAHAKIKISHIA SITAACHA KUJA HAPA KWANI JF LICHA YA KUWA NI SEHEMU NZURI YA KUZUNGUMZA JUU YA NCHI YETU NI MAHALI AMBAPO KWANGU NI SHULE NA KIOO TOSHA,UKIACHILIA MBALI WACHACHE WANAOKIPAKA MATOPE KIOO ILI MTU ASIJIONE VIZURI.MTAKUMBUKA NILITUKANWA SANA HAPA NIKAPEWA KILA JINA NILIPOKUWA NIKISIMAMIA KWA NGUVU WATU KUWAJIBIKA KWA MUJIBU WA MAAMUZI YA NEC, NI HAPA WATU WAKADAI NIMEKURUPUKA, SIO MAAMUZI YA KIKAO, NAKURUPUKA KWASABABU MIE MPUMBAVU, MJINGA, ZEZETA, NEPI nk.LEO TUPO HAPA, NAOMBA MRUDI TENA KUSEMA NILIKUWA NIKISIMAMIA YA KWANGU NA HUKU WATU WANAWAJIBIKA....
Nape mimi nashukuru kwa kuja kujibu hoja hapa JF tena kwa jina lako! Tatizo kuu nilionalo kuhusu wewe ni siasa za mipasho za kushambulia "personalities" zaidi kuliko kudeal na maslahi ya nchi! Kwa mfano ulitakiwa kwanza umshukuru Dr W. Slaa kwa kuiwezesha CCM "kujivua gamba" (hata kama mmejivua gamba la kisanii) tangu alipotaja ile orodha maarufu kama "List of Shame!" Badala yake unamwita Dr Slaa "Padre fulani!" Sasa wewe unataka kweli tuamini kwamba una mapenzi mema na nchi yetu kwa kumshambulia mtu aliyekisaidia Chama chenu indirectly? Kwa nini umekalia udini tu na kuwafanya Magamba wenzako waamini kwamba eti Dr Slaa ametumwa na Kanisa kugombea Urais? Kwa kueneza propaganda hizo huoni kwamba wewe pamoja na Rais wako kipenzi unayemfagilia kila siku pamoja na kwamba ameshindwa kazi, mnaigawa nchi yetu kwa misingi ya dini? Kwa kifupi bwana Nape kwa nini unamwangalia Dr Slaa kwa jicho la "upadre" ambao hata hivyo alishauacha? Nape ipo siku vijana watakupiga mawe kama walivyomrushia mawe Rais wako JK! Muda wa kudanganya umekwisha sasa hivi! Wekeni mikakati ya kutekeleza ahadi zenu hewa kuliko kupiga domo tuuuuuu! Tena huyo Rostam Aziz mnatakiwa kumpeleka mahakamani ili akajibu mashtaka, msidai kwamba eti "sisi tumefanya kama chama" huku mkijiita "Serikali ya CCM!" Kisha mfilisi mali zake zote, halafu mumtimue kwenye Chama! Shame on you!
 
Hivi Nape si tukianza kukuvua nguo hapa utasalimika kweli?? haya yule dada(Mtz) uliyempa mimba India ukamsaliti unadhani ulitenda wema??na ile mimba yule dada aliitoa baada ya kuona umesepa na kuitaliki!! Hizi siasa hazina tija kamanda!!
 
kaka, uki-resign kazi unalipwa hela gani ya kuacha kazi? kwa sababu unakuwa hujamaliza mkataba wako, ama kwa dc ni tofauti? manake sheria ya utumishi wa umma unatakiwa utoe notice ya mwezi mmoja, la sivyo uilipe serikali mshahara wa mwezi mmoja kama resignation ni with immediate effect.
Msemahovyo, nilishaacha ukuu WA wilaya DC, SIKU TU NILIPOTEULIWA KUWA KATIBU WA NEC ITIKADI NA UENEZI NILIACHA U DC, GARI YA SERIKALI NA STAHILI ZOTE ZA DC IKIWEMO NYUMBA NA OFICE. ACHILIA MBALI MSHAHARA, TENA PESA ZANGU ZA KUACHA KAZI SIJALIPWA MPAKA LEO, HII ILIKUWA PROPAGANDA YA PADRI MMOJA NILIPOULIZA MSHAHARA/POSHO YAKE.....SIJAWAHI KUPOKEA MISHAHARA MIWILI.
 
Hivi Nape si tukianza kukuvua nguo hapa utasalimika kweli?? haya yule dada(Mtz) uliyempa mimba India ukamsaliti unadhani ulitenda wema??na ile mimba yule dada aliitoa baada ya kuona umesepa na kuitaliki!! Hizi siasa hazina tija kamanda!!
Kule Bungeni Dodoma "Waheshimiwa" hujinafasi na vitoto vya UDOM na vichangudoa vya Dar kwa kuvihonga posho wanazozikomalia! Sio ufisadi huu?
 
Msemahovyo, nilishaacha ukuu WA wilaya DC, SIKU TU NILIPOTEULIWA KUWA KATIBU WA NEC ITIKADI NA UENEZI NILIACHA U DC, GARI YA SERIKALI NA STAHILI ZOTE ZA DC IKIWEMO NYUMBA NA OFICE. ACHILIA MBALI MSHAHARA, TENA PESA ZANGU ZA KUACHA KAZI SIJALIPWA MPAKA LEO, HII ILIKUWA PROPAGANDA YA PADRI MMOJA NILIPOULIZA MSHAHARA/POSHO YAKE.....SIJAWAHI KUPOKEA MISHAHARA MIWILI.

nape ningekuwa wewe nisingedhubutu kuongea maneno kama hayo hapo kwenye red!
tatizo lenu nyie mnaorithishwa vyeo mnakuwa na uwezo mdogo sana wa kuelewa mambo tafauti na wale wanapata vyeo kwa kutoka jasho
 
Tatizo la Nape anaona mbaya wa CCM ni Dr Slaa hivyo anajitahidi kumhemea kwa hasira kwa namna yoyote anayo ona ina faa. Anasahau kuwa anacho fanya Dr ni kutoa elimu kwa umma halifu umma huo ndio unapembua pumba na mchele kwa kuweka kwenye mizani mazuri na mabaya Ccm na serikali yake.

Hata anapojifanya kusema kuwa kuna padri mmoja, anajua kuwa hamaanishi padri Jk! Bali ni ethical attack kwa Dr Slaa, kwa nini asiache hoja zichukue nguvu yake ya asili na atumie nguvu za hoja kumshambulia Dr? Anajua kuwa Dr alikuwa Padri na sasa sio, kama yeye alipokuwa mwanandoa na sasa sio au kama jinsi anavyo ukana U-DC. Kama hivyo ndivyo yeye kama kiongozi kwa nini amshambulie Dr slaa kwa uliokuwa Upadri alioukana? Binafsi namuona hamtendei haki Dr. Ajibu hoja kwa hoja si hoja kwa shambulio la kimaadili.
 
Msemahovyo, nilishaacha ukuu WA wilaya DC, SIKU TU NILIPOTEULIWA KUWA KATIBU WA NEC ITIKADI NA UENEZI NILIACHA U DC, GARI YA SERIKALI NA STAHILI ZOTE ZA DC IKIWEMO NYUMBA NA OFICE. ACHILIA MBALI MSHAHARA, TENA PESA ZANGU ZA KUACHA KAZI SIJALIPWA MPAKA LEO, HII ILIKUWA PROPAGANDA YA PADRI MMOJA NILIPOULIZA MSHAHARA/POSHO YAKE.....SIJAWAHI KUPOKEA MISHAHARA MIWILI.
tuweekee hapa copy ya barua ya kuacha u DC,otherwise hii taarifa itakuwa ya kisiasa.
 
Wanaoendelea kudai MIE bado DC pengine Wanasababu zao tusizozijua. NARUDIA NILISHA KABIDHI U DC NINAPOTAKIWA KUKABIDHI NA KWASASA ANAYEKAIMU PALE ANAITWA FATMA ALLY MKUU WA WILAYA YA NANYUMBU. Kuhusu MISHAHARA miwili NADHANI kuna WATU hawajui taratibu ZA utumishi nchini ambazo MIE NI muumini sana. HATA hao wengine wanaotajwa ETI WALIKUA WAKIPATA MISHAHARA MIWILI NI UONGO NA UZUSHI, KATI YA HAO WALIOTAJWA e.i kina MKUCHIKA, HAKUNA ALIYKUWA AKICHUKUA MISHAHARA MIWILI,UKWELI NI KWAMBA UKISHATEULIWA UNATAKIWA KUCHAGUA MSHAHARA MMOJA KAMA UNA KAZI MBILI,SHERIA HAIRUHUSU KULIPWA MISHAHARA MIWILI. KWA MFANO UNAKUWA MBUNGE PENGINE NA RC, UNATAKIWA KUCHAGUA MSHAHARA MMOJA WA U RC AU UBUNGE NA SI YOTE MIWILI.
KUNA MANENO HAPA KAMA VILE NIMETUKANA AU NIMETUMIA MANENO MABAYA KWA MTU BINAFSI, NAULIZAX WAPI? HIVI WAPI AMBAPO NIMEMSHAMBULIA MTU BINAFSI? HIVI KUSEMA MTU HALIPI KODI NI DHAMBI KAMA HALIPI?HAPA JF AKISEMA NAPE FLANI ANAKWEPA KODI NI KUONYESHA. KUWA NAPE HANA AKILI KAMA MNAVYONISEMA? TUNAJADILI NCHI YETU, TUKIGUSA MAHALI MSIPOTAKA BAADHI BASI NITAPOROMOSHEWA MATUSI MENGINE AMBAYO MASIKINI WA MUNGU SIDHANI KAMA NINASTAHILI.

MIMI KWANGU SIO TATIZO KEJELI ZA BAADHI YA WATU JAMVINI, LAKINI HEBU FIKIRIA ANAYEJIUNGA LEO JAMVINI ASIYEJUA HESHIMA YA HAPA ENZI ZA JAMBO FORUM, ANAJIFUNZA NINI.? Inawezekana NI jitihada ZA makusudu kuvunja moyo WATU wengine tusije HAPA LAKINI NAWAHAKIKISHIA SITAACHA KUJA HAPA KWANI JF LICHA YA KUWA NI SEHEMU NZURI YA KUZUNGUMZA JUU YA NCHI YETU NI MAHALI AMBAPO KWANGU NI SHULE NA KIOO TOSHA,UKIACHILIA MBALI WACHACHE WANAOKIPAKA MATOPE KIOO ILI MTU ASIJIONE VIZURI.

MTAKUMBUKA NILITUKANWA SANA HAPA NIKAPEWA KILA JINA NILIPOKUWA NIKISIMAMIA KWA NGUVU WATU KUWAJIBIKA KWA MUJIBU WA MAAMUZI YA NEC, NI HAPA WATU WAKADAI NIMEKURUPUKA, SIO MAAMUZI YA KIKAO, NAKURUPUKA KWASABABU MIE MPUMBAVU, MJINGA, ZEZETA, NEPI nk.LEO TUPO HAPA, NAOMBA MRUDI TENA KUSEMA NILIKUWA NIKISIMAMIA YA KWANGU NA HUKU WATU WANAWAJIBIKA....

Mkuu mi kwa maono yangu na kuweka mambo ya vyama pemebeni nakushauri usikate tamaa maana ni vijana wachache sana wenye umri wako wanaweza kuzungumza hadharani na kusimamia yale wanayozungumza bila ya kuogopa katika nchi yetu.
Wengi wamejificha humu jamii forum na wana mada nzuri ila kuzipeleka hadharani na kuzisimamia ni tatizo.
We songa mbele tetea yale yatakayoikomboa tanzania kwa moyo wako bila kujificha ndani ya vivuli vya watu wala kumwonea mtu kwa majungu nasi wananchi tuko pamoja nawe mpaka mwisho wa nyakati.
 
Wanaoendelea kudai MIE bado DC pengine Wanasababu zao tusizozijua. NARUDIA NILISHA KABIDHI U DC NINAPOTAKIWA KUKABIDHI NA KWASASA ANAYEKAIMU PALE ANAITWA FATMA ALLY MKUU WA WILAYA YA NANYUMBU. Kuhusu MISHAHARA miwili NADHANI kuna WATU hawajui taratibu ZA utumishi nchini ambazo MIE NI muumini sana. HATA hao wengine wanaotajwa ETI WALIKUA WAKIPATA MISHAHARA MIWILI NI UONGO NA UZUSHI, KATI YA HAO WALIOTAJWA e.i kina MKUCHIKA, HAKUNA ALIYKUWA AKICHUKUA MISHAHARA MIWILI,UKWELI NI KWAMBA UKISHATEULIWA UNATAKIWA KUCHAGUA MSHAHARA MMOJA KAMA UNA KAZI MBILI,SHERIA HAIRUHUSU KULIPWA MISHAHARA MIWILI. KWA MFANO UNAKUWA MBUNGE PENGINE NA RC, UNATAKIWA KUCHAGUA MSHAHARA MMOJA WA U RC AU UBUNGE NA SI YOTE MIWILI.
KUNA MANENO HAPA KAMA VILE NIMETUKANA AU NIMETUMIA MANENO MABAYA KWA MTU BINAFSI, NAULIZAX WAPI? HIVI WAPI AMBAPO NIMEMSHAMBULIA MTU BINAFSI? HIVI KUSEMA MTU HALIPI KODI NI DHAMBI KAMA HALIPI?HAPA JF AKISEMA NAPE FLANI ANAKWEPA KODI NI KUONYESHA. KUWA NAPE HANA AKILI KAMA MNAVYONISEMA? TUNAJADILI NCHI YETU, TUKIGUSA MAHALI MSIPOTAKA BAADHI BASI NITAPOROMOSHEWA MATUSI MENGINE AMBAYO MASIKINI WA MUNGU SIDHANI KAMA NINASTAHILI.

MIMI KWANGU SIO TATIZO KEJELI ZA BAADHI YA WATU JAMVINI, LAKINI HEBU FIKIRIA ANAYEJIUNGA LEO JAMVINI ASIYEJUA HESHIMA YA HAPA ENZI ZA JAMBO FORUM, ANAJIFUNZA NINI.? Inawezekana NI jitihada ZA makusudu kuvunja moyo WATU wengine tusije HAPA LAKINI NAWAHAKIKISHIA SITAACHA KUJA HAPA KWANI JF LICHA YA KUWA NI SEHEMU NZURI YA KUZUNGUMZA JUU YA NCHI YETU NI MAHALI AMBAPO KWANGU NI SHULE NA KIOO TOSHA,UKIACHILIA MBALI WACHACHE WANAOKIPAKA MATOPE KIOO ILI MTU ASIJIONE VIZURI.

MTAKUMBUKA NILITUKANWA SANA HAPA NIKAPEWA KILA JINA NILIPOKUWA NIKISIMAMIA KWA NGUVU WATU KUWAJIBIKA KWA MUJIBU WA MAAMUZI YA NEC, NI HAPA WATU WAKADAI NIMEKURUPUKA, SIO MAAMUZI YA KIKAO, NAKURUPUKA KWASABABU MIE MPUMBAVU, MJINGA, ZEZETA, NEPI nk.LEO TUPO HAPA, NAOMBA MRUDI TENA KUSEMA NILIKUWA NIKISIMAMIA YA KWANGU NA HUKU WATU WANAWAJIBIKA....

Tutajie huyo padri na dhehebu lake,inawezekana ndio hao wenye biashara chafu.
 
Hivi Nape si tukianza kukuvua nguo hapa utasalimika kweli?? haya yule dada(Mtz) uliyempa mimba India ukamsaliti unadhani ulitenda wema??na ile mimba yule dada aliitoa baada ya kuona umesepa na kuitaliki!! Hizi siasa hazina tija kamanda!!

Senior expert member!!!!!! Si tungependa kujua makosa ya mtu yanayohusu taifa kwa ujumla na si maisha binafsi yeye na girlfriend wake wa india.
Aliyekuambia ukilala na mwananke ni lazima umtunze nani? Nadhani wewe ni binadamu pia na una uwezo wa kufikiria haya.
 
Hivi Nape si tukianza kukuvua nguo hapa utasalimika kweli?? haya yule dada(Mtz) uliyempa mimba India ukamsaliti unadhani ulitenda wema??na ile mimba yule dada aliitoa baada ya kuona umesepa na kuitaliki!! Hizi siasa hazina tija kamanda!!

Hii sio kazi iliyotuleta hapa,inabadilisha maana nzima ya hii post.Nakupongeza Nape kumbe wewe ni lijali, safi sana hawa kukubaliana kuzaa bwana ila tumia kondom mshikaji kama hutaki kuzaa,kichwa chako kizuri msema chochote wa CCM
 
Haya asante Nape kwa kujitokeza kumjibu Msema hovyo juu ya ukuu wa wilaya, haya sasa ni muda wa kutujibu pia juu ya CCJ!
 
mkuu wangu unapotukanwa na kukejeliwa wewe shukuru maana unapata mengi, hapo kwenye red umeeleza vizuri sana kuwa JF ni km shule, sasa mbona hubadiliki? mkuu majibu yako hayafananii na kiongozi kabisa, kitendo cha wewe kujibu ati kuwa kuna padri mmoja ndo anakuzushia hayo ni mambo ya mipasho, kwanini usingemtaja huyo padri na kanisa analosimamia? km JF ni shule kwako jifunze kutokana na ushauri unaopewa na watu.

CCM ni chama tawala,pia kinavyojiona ni chama mfumo.Tatizo langu aliko kwenye chama tawala,tatizo langu liko kwenye namna kinavyojiona kuwa ni chama mfumo, Nape hapa ndipo kwenye tatizo.Chama Mfumo ni mtizamo wa CCM kwa sasa,na sio ukweli [Reality] kuwa pasipo CCM HAKUNA TANZANIA.Ndio wakati wa mfumo wa Chama kimoja enzi ya Mwalimu alipoamua Tanzania kuwa Nchi ya mfumo wa chama kimoja kulingana na maono [Vision] yake kama kiongozi wa harakati za uhuru na hatimae kiongozi wa kwanza wa taifa huru la Tanganyika ilikuwa sawa,lakini baada ya Taifa.

Nyakati ni muda,na kila zama na vitabu vyake [Msemo wa Mzee Mwenyi]. Viongozi tulionao wengi ndani ya Chama cha Mapinduzi na Serikali ni wale ambao wengi wao bado WAMO KWENYE MFUMO WA CCM NCHI.Hakika watambue kuwa mfumo huo alikuwa nao marehemu Baba wa Taifa na Mzee mpiga kinanda Marehemu Moses,na mfumo huo ilikwisha pale TAIFA lilipolizia kuingia mfumo wa vyama vingi.

Hayakuwa maigizo kuwafurahiisha wahisani bali ni hali halisi ya dunia kuwa binadamu anabadilika [EVOLUTION] kulingana na nyakati ambazo mwongozo wake ni nguvu ambazo sisi kama binadamu hatuna uwezo nazo, ambazo kwa lugha ya kibinadamu ndizo tunazoziita uwezo Mungu.

Wanasayansi wanasema hata watoto wanarithi [INHERIT] aina fulani aina ya VINASABA [GENETICS] kulingana na uwezo ambao mzazi anakuwa amefikia katika upeo wa kujitambua kulingana na zama au nyakati kabla hajamzaa mtoto husika.Kwa maana kuwa kama Mzazi amepitia chamgamoto nyingi na mbalimbali katika maisha na kuzikabili ikiwemo kupanda na kushuka kimaisha na kuweza kusimama imara au kuanguka kimaisha,mtoto atakayezaliwa na Mzazi huyu baada ya kupitia hatihati hiyo na mikiki ya maisha, tayari Mzazi huyu anavilisha vizazi vyake vinasaba [genetics] ambavyo amevitengeneza kama alikuwa ni Mtu hasi au chanya [Negative or Positive] katika mambo yake kama vile uvumilivu, uelevu, ukatili, uchoyo, uongo, unafiki, upole, usikivu, uchangamfu,ugomvi, ulevi, uzinzi, utaperi, misimamo, utanashati,uthubutu na mengineyo yote yanayotufanya tuwe na haiba za ubinadamu tunazojitanabaisha nazo katika jamii.

Kwa ufahamu huo napata shida sana kujua wazee wengi [Viongozi] walio ndani ya CCM chama kikongwe wakikuona wewe Nape kama Mtoto wa Mkongwe na gwiji wa Propaganda za CHAMA CHA MAPINDUZI miaka hiyo arobaini na saba,wanafikiria ni SIASA za namna gani WANAPASWA kuturithisha SISI WATANZANIA, WEWE na WATOTO WAO na TAIFA kama kizazi kinachohitaji kukabidhiwa mbio za vijiti na hatimae kizazi chao kujiendesha nao kama TAIFA,uku wakiwa na uwezo wa KIAKILI NA AFYA kujiendesha kama TAIFA.

Ni Siasa za kumuona kila aliye nje ya Chama cha Mapinduzi ni ADUI,ni siasa za kuamini kuwa bila CCM HAKUNA TAIFA.Japo Mwalimu alisema Kiongozi bora atatoka CCM.Lakini kwa kauli hiyo hiyo ya Mwalimu uenda alitumia msemo huo akaogopa zaidi kusema sana akihofi kuwa KUWA YU MTU ANAYEMWAMINI MUNGU.INAWEZEKANA PIA KIONGOZI BORA SANA WA TAIFA LETU ANAWEZEKANA ASITOKE CCM.

Kwa kuwa kiviwango vya Nchi tayari tulishapata BABA WA TAIFA,hivyo hatutapata tena BABA WA TAIFA MWINGINE ILO LI WAZI.Tulichobakiza kitaifa kuwa na namba
  • ya viongozi VIONGOZI WABAYA,VIONGOZI BORA,NA VIONGOZI BORA SANA.

    Nikirejea kwenye kusudio langu la maelezo ya kinasaba, tayari wewe ni KUNDI TOFAUTI kati ya wewe na Viongozi hao,ambao kiumri ni BABA ZAKO NA BABU ZAKO.Wazee wetu hao yaweza kuwa upokeaji wa hoja yenye KUMPINGA YEYE [CHALLENGE] akachukulia UADUI lakini zama zako wewe ukaona ni CHANGAMOTO.Hayo yote ndio mabadiliko ambayo wapende wasipende waelewe Mzee Mwinyi aliposema kila zama na vitabu vyake alimaanisha kuna umri ukifika upaswi kuamua dhidi ya hatima ya kundi ambalo wewe wakati WANAISHI WEWE MUAMUAJI KAMA UMRI NI KIGEZO WEWE HUTAKUWEPO,WAO NDIO WATAKUA NA ATHARI NA MAAMUZI YAKO.

    Ndio vision ya Mwalimu kuwa NANG"ATUKA,angetaka angebaki kama MUGABE kwani asingeweza.SIO KUWA NAPINGA WAZEE WASISHUGHULIKE NA SIASA HAPANA.WAKAE PEMBAENI NA WATUMIKE KAMA MIZANIA [BALANCE] kati ya MOTO NA KASI YA UJANA NA UKWELI WA MAISHA YA MWANADAMU [REALITY]. Kwa kuwa UTU UZIMA DAWA, NA JUNGU KUU ALIKOSI UKOKO.

    Hivyo bsi kukurithisha siasa zao zile za vijembe,ambavyo wewe hapo juu UMEKANUSHA KUTUKANA,INGAWA KWA WENYE AKIRI JAPO NDOGO WANAJUA KUWA KUWA HUYO PADRI UNAMAANISHA NANI.

    Najua soo hii uliianza mwenyewe,lakini kwangu nasema kukosea ndio kujua,kwangu mimi kama kijana mwenzio NISIYE EGAMIA CHAMA CHOCHOTE,TANZANIA KWANZA.Lakini wakati huo nikipenda kuwaona vijana kama ninyi pande zote mbili CCM na Chadema mkishindana kwa hoja zenye umakini na ufahamu kuwa uwenda siku za mbele mkapewa dhamana za maamuzi ya umma mkubwa wa Watanzania.

    Hivyo kujitanabaisha kwa kuwa na haiba ya vijembe ambayo kwa zama hizi hilo ni mapungufu,ambayo MwanaCCM TAJIRI na MFANYABISHARA MKUBWA PENGINE KUPITA WOTE TANZANIA [Binafsi C Amini] ,AMEZIITA KUWA SIASA UCHALWA [GUTTER POLITICS].Azipendezi kuendelezwa nawe ukarithi kuwa ni mfumo wako wa kisiasa,kwa maana Mwalimu alipata kusema kuna mambo mazuri walifanya,lakini nyie [Sio wewe kwa maana ya zama] mnachukua mabaya mnaacha mazuri.So please chukua mazuri ambayo UNAONA yanakubalika kwenye jamii,mabaya yapotezee.

    Manake ni heri kuwa tayari kuwajibika kwa kukataa usichoamini,kuliko kukubali kisa WAZEE wamekutuma.Wakati ukuta maamuzi mabaya ya leo hukumu yake kesho,ishi vizuri,ili kesho usisutwe na dhamira.Manake kilio cha nafsi ni KIFO HUKU UNATEMBEA, Binadamu wake UTU.Fanya mizaa yote lakini MAISHA YA WATU SI KITU CHA KUFANYIA MZAA KAMA VIONGOZI WENGI WATU WAZIMA WA CHAMA CHAKO WANAVYOYAFANYIA MZAA MAISHA YA WATANZANI.

    Mrisho Mpoto aka MJOMBA,anasema maisha ya watu sio ya kuyafanyia MAJARIBIO [Rehearse],Maisha ni dhidi ya UKWELI [Reality].Mwisho anasema ni Dhambi kwa MUNGU.


 
Msemahovyo, nilishaacha ukuu WA wilaya DC, SIKU TU NILIPOTEULIWA KUWA KATIBU WA NEC ITIKADI NA UENEZI NILIACHA U DC, GARI YA SERIKALI NA STAHILI ZOTE ZA DC IKIWEMO NYUMBA NA OFICE. ACHILIA MBALI MSHAHARA, TENA PESA ZANGU ZA KUACHA KAZI SIJALIPWA MPAKA LEO, HII ILIKUWA PROPAGANDA YA PADRI MMOJA NILIPOULIZA MSHAHARA/POSHO YAKE.....SIJAWAHI KUPOKEA MISHAHARA MIWILI.
Mkuu,
  1. Maelezo mazuri nimeyagongea LIKE!
  2. Ila kwenye red na bold hapo juu, wewe kama kiongozi wa chama sikutegemea utumie kauli ya kijiweni kwani kumbuka katika juhudi zako pia unahitajika kuwashawishi watu wenye imani na sera za CHADEMA waiamini tena CCM, sasa unapotumia kejeli unazidi kuwaaminisha watu zaidi juu ya CHADEMA, lakini ukiwa muungwana na kutumia kauli za heshima basi utashawishi wengi juu ya juhudi zako/zenu.
​
 
Msemahovyo, nilishaacha ukuu WA wilaya DC, SIKU TU NILIPOTEULIWA KUWA KATIBU WA NEC ITIKADI NA UENEZI NILIACHA U DC, GARI YA SERIKALI NA STAHILI ZOTE ZA DC IKIWEMO NYUMBA NA OFICE. ACHILIA MBALI MSHAHARA, TENA PESA ZANGU ZA KUACHA KAZI SIJALIPWA MPAKA LEO, HII ILIKUWA PROPAGANDA YA PADRI MMOJA NILIPOULIZA MSHAHARA/POSHO YAKE.....SIJAWAHI KUPOKEA MISHAHARA MIWILI.
Hapo kwenye Bold umenikera sana kama vile wewe sio Mtanzania aliyefunzwa maadili ya Kitanzania kuwa tusibaguane kwa Rangi, Kabila, Wala DINI ila wewe ndugu yangu tena kama kiongozi kioo cha jamii HUFAI HATA KWA KULAZIMISHWA kueneza udini hapa hata kama utaleta kiburi cha kutonielewa lakini frankly speaking wewe hufai hata chembe kuwa kiongozi kama tabia zenyewe kuzungumzia udini hapa..ulishawahi kumskia Baba wa Taifa kamtuhumu mtu kuhusu Dini, kabila au Rangi yake? Naomba unijibu hilo swali
 
Msemahovyo, nilishaacha ukuu WA wilaya DC, SIKU TU NILIPOTEULIWA KUWA KATIBU WA NEC ITIKADI NA UENEZI NILIACHA U DC, GARI YA SERIKALI NA STAHILI ZOTE ZA DC IKIWEMO NYUMBA NA OFICE. ACHILIA MBALI MSHAHARA, TENA PESA ZANGU ZA KUACHA KAZI SIJALIPWA MPAKA LEO, HII ILIKUWA PROPAGANDA YA PADRI MMOJA NILIPOULIZA MSHAHARA/POSHO YAKE.....SIJAWAHI KUPOKEA MISHAHARA MIWILI.

Nape thanks 4 the quick reply, usichoke kuwajibu wazushi kama hawa.
JF kweli imevamiwa, mtu anaanzisha topic ya kizushi akijua wako wenzake watasupport.
Na watu kama hawa hata kura huwa hawapigi.
CDM mkiendelea hivi hamtakaa mpate uongozi wa nchi hii.
Ninakerwa sana na mambo ya kizushi ya wanaojiita wana CDM.
Mtaishia maandamano tu ukija uchaguzi mnakula mweleka na siku zinakwenda hivo, mpaka kina Mbowe watakwisha kama Mrema.
Acheni mambo ya kuzusha
 
Wanaoendelea kudai MIE bado DC pengine Wanasababu zao tusizozijua. NARUDIA NILISHA KABIDHI U DC NINAPOTAKIWA KUKABIDHI NA KWASASA ANAYEKAIMU PALE ANAITWA FATMA ALLY MKUU WA WILAYA YA NANYUMBU. Kuhusu MISHAHARA miwili NADHANI kuna WATU hawajui taratibu ZA utumishi nchini ambazo MIE NI muumini sana. HATA hao wengine wanaotajwa ETI WALIKUA WAKIPATA MISHAHARA MIWILI NI UONGO NA UZUSHI, KATI YA HAO WALIOTAJWA e.i kina MKUCHIKA, HAKUNA ALIYKUWA AKICHUKUA MISHAHARA MIWILI,UKWELI NI KWAMBA UKISHATEULIWA UNATAKIWA KUCHAGUA MSHAHARA MMOJA KAMA UNA KAZI MBILI,SHERIA HAIRUHUSU KULIPWA MISHAHARA MIWILI. KWA MFANO UNAKUWA MBUNGE PENGINE NA RC, UNATAKIWA KUCHAGUA MSHAHARA MMOJA WA U RC AU UBUNGE NA SI YOTE MIWILI.
KUNA MANENO HAPA KAMA VILE NIMETUKANA AU NIMETUMIA MANENO MABAYA KWA MTU BINAFSI, NAULIZAX WAPI? HIVI WAPI AMBAPO NIMEMSHAMBULIA MTU BINAFSI? HIVI KUSEMA MTU HALIPI KODI NI DHAMBI KAMA HALIPI?HAPA JF AKISEMA NAPE FLANI ANAKWEPA KODI NI KUONYESHA. KUWA NAPE HANA AKILI KAMA MNAVYONISEMA? TUNAJADILI NCHI YETU, TUKIGUSA MAHALI MSIPOTAKA BAADHI BASI NITAPOROMOSHEWA MATUSI MENGINE AMBAYO MASIKINI WA MUNGU SIDHANI KAMA NINASTAHILI.

MIMI KWANGU SIO TATIZO KEJELI ZA BAADHI YA WATU JAMVINI, LAKINI HEBU FIKIRIA ANAYEJIUNGA LEO JAMVINI ASIYEJUA HESHIMA YA HAPA ENZI ZA JAMBO FORUM, ANAJIFUNZA NINI.? Inawezekana NI jitihada ZA makusudu kuvunja moyo WATU wengine tusije HAPA LAKINI NAWAHAKIKISHIA SITAACHA KUJA HAPA KWANI JF LICHA YA KUWA NI SEHEMU NZURI YA KUZUNGUMZA JUU YA NCHI YETU NI MAHALI AMBAPO KWANGU NI SHULE NA KIOO TOSHA,UKIACHILIA MBALI WACHACHE WANAOKIPAKA MATOPE KIOO ILI MTU ASIJIONE VIZURI.

MTAKUMBUKA NILITUKANWA SANA HAPA NIKAPEWA KILA JINA NILIPOKUWA NIKISIMAMIA KWA NGUVU WATU KUWAJIBIKA KWA MUJIBU WA MAAMUZI YA NEC, NI HAPA WATU WAKADAI NIMEKURUPUKA, SIO MAAMUZI YA KIKAO, NAKURUPUKA KWASABABU MIE MPUMBAVU, MJINGA, ZEZETA, NEPI nk.LEO TUPO HAPA, NAOMBA MRUDI TENA KUSEMA NILIKUWA NIKISIMAMIA YA KWANGU NA HUKU WATU WANAWAJIBIKA....
Nape, ulichoksea/tibua ktk thread yako ya mwanzo ni kutumia neno PADRI! Wewe hata kama wakikutukana kaa kimya, iga mfano wa Dr JK, Zitto, Dr Slaa, ulishasikia wanatukana au kuita majina ya kejeli kama wewe ulivyofanya kuita eti PADRI MMOJA! Kumbuka nafasi yako sasa ni nyeti usiwe kama mzee wetu Makamba, jiheshimu kwanza ndiyo vijana tutakuwa na hamu ya kukusikiliza, zaidi watakusikiliza hao wanafiki wasiojua kufikiria pande mbili!
 
Kumanina zako weye!
Msemahovyo, nilishaacha ukuu WA wilaya DC, SIKU TU NILIPOTEULIWA KUWA KATIBU WA NEC ITIKADI NA UENEZI NILIACHA U DC, GARI YA SERIKALI NA STAHILI ZOTE ZA DC IKIWEMO NYUMBA NA OFICE. ACHILIA MBALI MSHAHARA, TENA PESA ZANGU ZA KUACHA KAZI SIJALIPWA MPAKA LEO, HII ILIKUWA PROPAGANDA YA PADRI MMOJA NILIPOULIZA MSHAHARA/POSHO YAKE.....SIJAWAHI KUPOKEA MISHAHARA MIWILI.
 
Back
Top Bottom