Ufisadi wa Nape huu hapa

Ufisadi wa Nape huu hapa

Pdidy kuna mtu anachukua hati miliki yako huku..Wahi mapema yasikutokee ya Bashite
 
Ah....kumaliza utata c aweke tu gamba hzo watu tuzione? maneno maneno nayo yanachosha tumalize hl suala tuendelee na shughuli zngne!
 
Msema hovyo,muda ulioutumia kuandika utumbo bila research ugetumia kuoshavyomba kwenu ugekuwa mtu wa maana sana.wana jf hawako hivyo.Hayamaneno unayatowa mtaani nakutuadikia sisi.kabla hujasema jambo fanya research na utupe details siyo kulopoka tu.naukipewa pesa kula,siyolazima uandike kama huna habari ya uhakika.Haiingii hakirini hata kidogo kumlinganisha Nape na Rostam kisa mshahara tena wa u Dc abao hata nape hapokei,poleka majungu kwingine siyo jf.
Kwa utetezi huu wa Bashite about nape sikutegemea leo hii angemuita Nape ni wakala wa wauza madawa..... Siasa bhana 😀
 
Back
Top Bottom