BIG RESULTS NOW
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 673
- 36
Hata mimi nafurahi nimeuona huu uzi kabla wahafidhina hawajauondoa.
Heri yangu nimeuona huu kabla haujaondolewa.
Ritz, Mamndenyi, Rejao, ZeMarcopolo, Chris Lukosi, Msalani, Chama, FaizaFoxy, Chabruma, Nape Nnauye, William J.
Malecela, na ukoo wote wa majambazi njooni muone huku. Chama chetu hakuna msafi kabisa!!! Ni sawa na kusema aliye msafi na anyanyue jiwe amrushie mwenzake!!! Kwa mantiki hii no bora Lowassa ambaye angalao ni mchapakazi, ni jembe la chuma malighafi!!!!!! Fisi hawezi kuzaa mbuzi!!! Atazaa fisi mwenzake tu!!!!
Ningekuwa kule kwenye Jukwaa la MMU ningeomba weka picha ila kwa vile umeweka picha sina tatizo, wasiwasi ni Ukweli wa hiyo story, Hiyo Kampuni kuwa ya Shemeji yake kuna tatizo? Je mtoa tender alimwambia cha kufanya huyo mkandarasi....Mods Mmeshutumiwa kuwa mmeongwa njooni mjibu tuhuma ..
NIlitarajia ungeshusha lawama kwa Tender Board, Waziri wa Ujenzi pamoja na Waandisi wa mikoa husika. Waziri wa Mambo ya Nje anahusika vipi na tenda za ndani za ujenzi? Tuseme Membe alitumia nafasi yake ili shemeji yake apate upendeleo; ilikuwaje Mheshimiwa Magufuri na bodi yake ya zabuni ikubali jambo hilo? Membe sio Mhandisi na wala wizara yake haihusiki na masuala ya uandisi...so, ilikuwaje wizara husika itoe tenda kwa kampuni isiyohusika licha ya kwamba ina wataalamu ambao wangeweze ku-asses uwezo wa kampuni husika?
Wako wapi Kongosho, King'asti, Kaunga, gfsonwin, Heaven on Earth nao wawe informed kwanza ili uchambuzi ukija kila mtu aamue akiwa na taarifa!!!!
NIlitarajia ungeshusha lawama kwa Tender Board, Waziri wa Ujenzi pamoja na Waandisi wa mikoa husika. Waziri wa Mambo ya Nje anahusika vipi na tenda za ndani za ujenzi? Tuseme Membe alitumia nafasi yake ili shemeji yake apate upendeleo; ilikuwaje Mheshimiwa Magufuri na bodi yake ya zabuni ikubali jambo hilo? Membe sio Mhandisi na wala wizara yake haihusiki na masuala ya uandisi...so, ilikuwaje wizara husika itoe tenda kwa kampuni isiyohusika licha ya kwamba ina wataalamu ambao wangeweze ku-asses uwezo wa kampuni husika?
Wanajamvi kumekuwa na upotoshaji wa makusudi kwenye siasa za Tanzania kumuhusu ndg Benard Membe, waziri wa mambo ya nje na ambaye anatajwa kwenye mbio za kusaka ukuu wa nchi kuwa ni msafi na asiye na doa.
Ukweli ni kwamba huyu hana tofauti na wenzake huko kwenye chama chao,huyu bwana ameitia nchi hii kwenye hasara kubwa kwa makusudi ama kwa malengo anayoyajua yeye.
Akiitumia kampuni ya ujenzi ya shemeji yake Emmanuel Masanche iitwayo MODSPAN bwana huyu alichukua kandarasi ya ujenzi wa gati katika bandari ya Mbamba Bay huko Ruvuma na Kigoma lakini kilichofanyika ni usanii wa hali ya juu kwani gati la Mbamba Bay halikidhi viwango na liliamriwa kubomolewa na kujengwa upya.
Ajabu ni kwamba hasara hii ni ya serikali kwa sababu MODSPAN imelipwa fedha zote na kandarasi imepewa tena kampuni ya kichina kubomoa gati hilo na kulijenga upya huku MODSPAN ikiachwa kwa amani kabisa na haijachukuliwa hatua zozote kisheria kisa kazi ilikuwa ya bwana mkubwa MEMBE.
Hivi huyu anaitakia mema hii nchi kweli ndg zangu.....shime wananchi CCM ni kama ukoo wa panya hakuna aliye msafi huko tuwaondoe
View attachment 149045View attachment 149045
Pichani ni sehemu ya gati hilo la mbamba bay ambalo linavunjwa ili kujengwa upya.
NIlitarajia ungeshusha lawama kwa Tender Board, Waziri wa Ujenzi pamoja na Waandisi wa mikoa husika. Waziri wa Mambo ya Nje anahusika vipi na tenda za ndani za ujenzi? Tuseme Membe alitumia nafasi yake ili shemeji yake apate upendeleo; ilikuwaje Mheshimiwa Magufuri na bodi yake ya zabuni ikubali jambo hilo? Membe sio Mhandisi na wala wizara yake haihusiki na masuala ya uandisi...so, ilikuwaje wizara husika itoe tenda kwa kampuni isiyohusika licha ya kwamba ina wataalamu ambao wangeweze ku-asses uwezo wa kampuni husika?