Majala Kimolo
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 342
- 39
Sasa nimejua, ndo maana wanashadadia utaratibu mpya wa Hospitali binafsi kupokea ruzuku ya serikali. Kwa hili tunaomba utaratibu wake uwe wazi na usilete mgogoro wa kimaslahi. Ah Blandina weeeeeeeeeee, blandina uumetuua mtoto wa watuuuuuu. Utamwambia nini mola wako!Kwenye hili la linalohusu mashine ya haemodialysis binafsi sitawasamahe Linda na Blandina mpaka naenda kaburi, haiwezekani hospitali kama Muhimbili ikakosa huduma ya dialysis wakati dialysis machine kwa miaka miaka mingi tuu ila hujuma za wajanja wachache wanaojulikana vizuri tuu, kwa uzembe huo watanzania wengi tuu wanapoteza maisha hapo Muhimbili kwa kukosa huduma ya dialysis wakati mashine ipo ila ina miss some parts & reagents ambazo huwa zinaagizwa kwa gharama ya wizara ya afya kila mara, mbaya zaidi hazifiki Muhimbili badala yake zinafikia msasani kwenye hospitali ya Dr. Linda.
Nchi hii sijui ina imelaaniwa polisi wapo, usalama wa taifa wapo ( ?sijui kwa faida ya nani), serikari (hata kama ni lege lege) ipo, takukuru wapo, mahakama zipo, jeshi lipo, .. lakini sijui ni kwa nini mijizi kama Linda na Blandina inaendelea kuwaibia watanzania hasa wale wasio na uwezo.
Ipo siku tutajichukulia hatua mkononi