Ufipa: Heaven on Earth

Ufipa: Heaven on Earth

Juliana Shonza

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
2,009
Reaction score
1,607
Ndio ambavyo kila mtanzania aliaminishwa kuhusu Mtaa uliopata umaarufu kwa kipindi cha hivi karibuni, mtaa wa Ufipa uliopo Kinondoni ambapo ndipo CHADEMA walipokodi nyumba na kufanya Makao Makuu yao. Sehemu hiyo ilionekana ni Pepo ambayo ndani yake waliishi Malaika wema na wazuri.

Baadhi yetu ambao tumeishi kwenye ofisi hiyo kwa muda wa masiku yenye kuhesabika tuliweza kuujua ukweli halisi nje ya ule ambao Watanzania waliaminishwa.

Baada ya kuujua Ukweli halisi kuwa eneo hilo wamejaa wapiga dili wa mjini, wezi, wababaishaji, wabinafsi na mafisadi papa waliokosa fursa tuliamua kujitenga nao na kuanzia hapo tulianza kuonyesha na kuwasaidia watanzania kuuelewa ukweli kuwa hapo wanapiamini wanaishi Malaika kimsingi wanaishi Mashetani.

Kwa muda kidogo watu hawakutuelewa, hawakuamini na kusadiki maneno yetu mpaka pale ambapo MUNGU mwenyewe alipoamua kuwadhihirishia Watanzania kuwa yeye si sehemu ya mpango wa Ufipa.

Ndivyo ilivyokuja kudhihirika leo SHETANI Mkuu amekuwa ndio jemedari wa Pango hilo lililosemekana la MALAIKA wema...MUNGU hamfichi mnafiki..

CHADEMA - Mpango wa MUNGU unaoendeshwa na SHETANI.
 
Kwanza hongera kwa kujielewa. Ikumbukwe kuwa hakauna njia nyingine ya kubadili huu mfumo wa kifisadi bila kusimama na maadui. Hata katika vita mbinu zingine nikupata adui awe upande wenu na sasa umeyaona.

Just one mistake made at Dodoma CCM meeting has changed all your campaign strategies! There you are ndugu yangu. By the way utapata viti maalum?
 
Mdogo mdogo zitakurudia tu. Majabali yanahamia Ufipa vipepeo kama wewe mnakimbilia magambani. Hovyo kabisa!

Mwenyezi Mungu alishaniongoza njia.,sina haja ya kumkufuru kwa kufikiria kujiunga na COALIATION OF HOOLIGANS.

NAENDELEA kumshukuru MUNGU kwa kunionyesha njia na kunitenga na AIBU ya kuwa pamoja na WEZI wapiga dili.
 
Kwa mahati nzuri shetani na jemedari mkuu wa ufisadi kazaliwa CCM baba yake mzazi ni CCM na mama yake mzazi ni CCM kama mtoto ni shetani na ni jemedari wa ufisadi waliomzaa watakuwa ni akina nani kama si zaidi ya mashetani na majemedari wa ufisadi ambao wamekubuhu kiasi cha kuishindwa kuwapa jina linalo wasitahili kupewa kwa kuwa wamepita viwango vya ushetani na ujemedari wa ufisadi.

Cha kufurahisha zaidi mtoto waliyemzaa wenyewe siku alipokanyaga mlango wa kanisa/msikiti ushetani wake na ujemedari wake wa ufisadi uliishia hapo hapo mlangoni alipotinga madhabahuni tayari ni mtu mpya asiye na ushetani na ujemedari wa ufisadi tena na bado nafasi ziko wazi kwa mashetani wote na majamedari wote wa ufisadi kutinga UKAWA lakini wakifika mlongoni ushetani na ujemedari wa ufisadi utaishia hapo hapo mlangoni.
 
katika siasa msiwe mlitaja jina la mungu bure ninyi vizazi mliolaaniwa.
mwenyezi mungu alishaniongoza njia.,sina haja ya kumkufuru kwa kufikiria kujiunga na coaliation of hooligans.

Naendelea kumshukuru mungu kwa kunionyesha njia na kunitenga na aibu ya kuwa pamoja na wezi wapiga dili.
 
"chukuwa malaika mmoja tu muweke ndani ya ccm, siku ukienda kumfuata utakuta keshageuka ibilisi", Freeman Mbowe (MB)


yaani wewe tangu uingizwe mkenge na mumeo Nape ukahamia chama cha maharamia tiyali ushageuka ibilisi.
 
Mwenyezi Mungu alishaniongoza njia.,sina haja ya kumkufuru kwa kufikiria kujiunga na COALIATION OF HOOLIGANS.

NAENDELEA kumshukuru MUNGU kwa kunionyesha njia na kunitenga na AIBU ya kuwa pamoja na WEZI wapiga dili.

Na ujanja wako wote unategemea ubunge wa viti maalumu? Mwenzako Mdee kakamata jimbo, wewe vipi?
 
Juliana nakusalimu maana siku nyingi sijaona post zako humu,hivi ulikuwa wapi mama?Maisha yanakwendaje maana nilidhani upo ng'ambo ya nchi kube upo hapa hapa?Michakato ya chama dume vipi maana naona wengine wanashain tu ila wewe dada lao sikusikii toka wakati ule upo na bwana Nchemba mkizunguka,kulikoni kimya chako maana tumemiss maneno yako majukwaani,au ya kuongea hayapo siku hizi?
Ukweli nimekumiss sana majukwaani kada mtiifu wa CCM.
 
Tehee tehee siku hizi mnaandika makala ndefu kweli,ivi Dodoma wajumbe walikua wanaimba wa imani na nani?subiri na wengine wanakuja na kwa kua lengo ni kuwang'o manyang'au basi ataekuja na mbinu anakaribishwa safari mtaona historia ikiandikwa.
 
Nadhani baada ya kupokea kitu cha Ishirini Bilioni wanaweza kujenga ofisi yao ya kudumu sehemu nyingine yenye hadhi ya kiofisi kidogo.

Ona huyu naye! Maneno ya kuokoteza okoteza ndio yeye anayachukulia kama rejea. Halafu wanampitisha vitu maalumu! Atakuwa na tofauti gani na Asumpta Mshama huyu huko Bungeni? ccm badala ya kujiuliza kilichosababisha watu kukosa imani nao ni nini wanarudia makosa Yale yale .
 
Lowassa hakukosea aliposema kuwa alipokuwa CCM alitukanwa hata na vitoto vidogo kama hiki kilicho andika hapa sijui kimekurupuka kutoka wapi hata ukikilinganisha na Lowassa hakiwezi kumfikia hata robo.
 
Mwenyezi Mungu alishaniongoza njia.,sina haja ya kumkufuru kwa kufikiria kujiunga na COALIATION OF HOOLIGANS.

NAENDELEA kumshukuru MUNGU kwa kunionyesha njia na kunitenga na AIBU ya kuwa pamoja na WEZI wapiga dili.
Wewemavi kweli motto! wewe umhamia ccm wakati Lowasa yupo huko hukuwahi kumwita fisadi. Ulikuwa kinara wa kusifia chama cha magamba. Leo hii amekuja huku na kutubu kwamba JK ndio kinara wa Richmond leo hii na wewe kereng'ende unapata ujasiri wa kupanua kinywa chako. Nenda bafuni Nape yupo huko
 
Mwenyezi Mungu alishaniongoza njia.,sina haja ya kumkufuru kwa kufikiria kujiunga na COALIATION OF HOOLIGANS.

NAENDELEA kumshukuru MUNGU kwa kunionyesha njia na kunitenga na AIBU ya kuwa pamoja na WEZI wapiga dili.

Jahazi linazama hilo.. Bahati mbaya uliusaliti upinzani kwa kudhani uendako kuna ulaji wa milele.. Bahati mbaya kwako baada ya October utajikuta uko upinzani tena.. Mwisho wa maisha yako kisiasa.. Nakuombea tu kwa Mungu ndoa yako iendelee kuwa imara ili upate pa kushikia..
 
Nningekuwa na ujuvi wa kuelezea vizur kama ulivyofanya wewe dada Shonza ningeweza kuandika makala nyingi sana za ufaham kwa Watz wapate kujua kweli na kikombe cha adhabu ya kutowahubiria watu ukweli nikiepuke.

sijawahi kuishi wala kupata nafas ya kuwa Ufipa kama ilivyo kwako, ila mim niliingia ofisi hiyo mwaka 2001 na kukabidhiwa Kadi na Mh Walid Kaborou siku moja na Mh ZZK na baada ya kubaini juu ya ukweli wa Ofisi hiyo niliumia sana sana juu ya namna wananchi wanavyotumika na kusadikishwa yasiyotendeka
 
Nadhani baada ya kupokea kitu cha Ishirini Bilioni wanaweza kujenga ofisi yao ya kudumu sehemu nyingine yenye hadhi ya kiofisi kidogo.
Lowassa alipokuja UKAWA amekuja na mamilioni ya wana CCM na wewe ulipo fukuzwa na kutimkia CCM ulienda na mamilioni mangapi ya wanachama wa CHADEMA?.
 
Back
Top Bottom