Ufipa: Heaven on Earth

Ufipa: Heaven on Earth

Mwenyezi Mungu alishaniongoza njia.,sina haja ya kumkufuru kwa kufikiria kujiunga na COALIATION OF HOOLIGANS.

NAENDELEA kumshukuru MUNGU kwa kunionyesha njia na kunitenga na AIBU ya kuwa pamoja na WEZI wapiga dili.

Pum.ba.vu!!
 
Umesahau na RICHMOND..

hiyo ni ya wapiga deal wa ufipa inajulikana......sasa wewe hizi deal zingine umejitenga nazo vipi....labda uhame ccm uende act..adc...tlp...n.k au uache siasa kabisa

quote_icon.png
By mpalu

WEZI NA WAPIGA DEAL WA MEREMETA, ESCROW,KIWIRA,NYUMBA ZA SERIKALI,EPA N.K. Ushajitenga nao
 
Mwenyezi Mungu alishaniongoza njia.,sina haja ya kumkufuru kwa kufikiria kujiunga na COALIATION OF HOOLIGANS.

NAENDELEA kumshukuru MUNGU kwa kunionyesha njia na kunitenga na AIBU ya kuwa pamoja na WEZI wapiga dili.
Wapiga deal za ESCROW, EPA, Melemeta, kagoda au wapi hao?
KKama ufipa ndio wapiga deal huko uliko wanafanya nini?
 
Nimepitia hii thread nzima na hapa ndo ninaamini washabiki na wapenzi wa hii ukawa sio watu wazuri, wenye maono, wenye maadili na weredi wa kuishauri na kuipeleka hii nchi mbele. Yaani badala ya kudiscuss mada aliyotoa mtoa mada mnaishia kumtukana na kufanya vijembe.

Mtoa mada umeongea maneno mazito sana, Nchi nyingi za Africa zamekwama kimaendeleo kutokana na wanasiasa kujigeuza kuwa ndo watu wanaofikiri kwa niaba ya wananchi. Nilitegemea wapenzi na wanachama wote wa ukawa kuanza kuwahoji viongozi wao kwa hoja zenye mashiko kuwa nyie mlituambia na mlitulisha hiki juu ya huyu mtu, inakuwa je leo yanatokea haya?

Ni lazima wawahoji kwa nini msitangaze leo mbele ya watanzania wote kuwa tuliwalaghai kwa hoja zote juu ya haya mambo na mtusamee ili watanzania wawahukumu kwenye sanduku la kura kwa unafiki na tamaa zao juu ya pesa?

Kama mmejipanga kuulinda uovu wenu humu kwenye mitandao napenda kusema kuna watu ambao tuko macho, tunafuatilia every step you made na tunafanya uamuzi baada ya kufanya critical analysis. Huu ulaghai manaoufanya hapa haujawai kufanywa marekani na hata ulaya.

Kwa niaba ya watanzania wanaojielewa kamwe hatutakubali kuwapa nchi nyie msiojielewa na ma opportunist wakubwa.

napata faraja sana sana kuona watu wenye mitazamo hii bado tupo wengi dunian
 
Mwenyezi Mungu alishaniongoza njia.,sina haja ya kumkufuru kwa kufikiria kujiunga na COALIATION OF HOOLIGANS.

NAENDELEA kumshukuru MUNGU kwa kunionyesha njia na kunitenga na AIBU ya kuwa pamoja na WEZI wapiga dili.

mbona ww ulikuwa chadema na ulikuwa unawaponda ccm kuwa ni mafisadi,wezi na utawala dhalimu...baada ya kupewa burudani safi na mwigulu(savimbi) kakufanya kitowewo na kitemeo, ukajisahau na kwenda kule ulipokuwa unatuaminisha ni utawala dhalimu na mfumo mbovu. ww mwanamke inaonekana ni shetani, tena ibilisi mkuu
 
Uligundua hilo baada ya kufukuzwa ama kabla hujafukuzwa. Nakumbuka ulipofukuzwa bado uliaminisha uma kuwa wewe ni kiongozi halala wa CDM-(Ulikuwa unang'ang'ania kubaki CDM) . Leo upo nje kwa KUFUKUZWA kutokana na utovu wa nidhamu unaleta jamvini maneno ya Khanga!. Mkuu wenu anayapenda sana maneno ya Khanga ndio maana aliwachuku huko mliko sana .

Subiri uone mziki wake OCT 25.
 
Uligundua hilo baada ya kufukuzwa ama kabla hujafukuzwa!. Nakumbuka ulipofukuzwaulijitahidi sana kuaminisha uma kuwa wewe ni kiongozi halali wa CDM-(Ulikuwa unang'ang'ania kubaki CDM) . Leo upo nje kwa KUFUKUZWA kutokana na utovu wa nidhamu unaleta jamvini maneno ya Khanga!. Mkuu wenu anayapenda sana maneno ya Khanga ndio maana aliwachuku huko mliko sasa .

Subiri uone mziki wake OCT 25.
 
Kama uligundua kuwa sio mahala pema ni ulipaswa kuondoka mwenyewe. Ilikuwaje ukafukuzwa kama sio sehemu muafaka kwako? Mnafiki mkubwa wewe.
 
Mwenyezi Mungu alishaniongoza njia.,sina haja ya kumkufuru kwa kufikiria kujiunga na COALIATION OF HOOLIGANS.

NAENDELEA kumshukuru MUNGU kwa kunionyesha njia na kunitenga na AIBU ya kuwa pamoja na WEZI wapiga dili.

Hooligans ni wewe na familia yako mayala mkubwa wewe and for ur information I have registered to vote see u in october...laana kum
 
we kalale mbu wale unanichafulia simu na mabandiko hovyovhayana tija kwa taifa sasa unataka tuiamin ccm kwa lipi labda nikuulize
 
Na ujanja wako wote unategemea ubunge wa viti maalumu? Mwenzako Mdee kakamata jimbo, wewe vipi?

Kura tutakazoipigia kwa wingi UKAWA huyo malaya ubunge atausikia redioni tu, dawa ya malaya kama hawa ni kupiga kura wingi wakose kabisa mgawo wa viti.
 
Yaani wewe binti Elimu haijakukomboa kabisa, nahisi hapo UD uliposoma bila shaka ulikuwa changu tu
 
Duh! Wakuu basiiiiiii imetosha jamani! I can imagine hayo madongo mnayorusha yangekua mawe sijui sura yake ingekua na hali gani katika muda huu!

Haya mjadala uendelee......Dada Shonza vaa helmet kabisa kabla hujarudi hapa 'watanzania wanakusubiri kwa HAMU!
 
Ulivyo na nyota ya giza, umetia mguu ccm na kushinda kura za maoni viti maalumu kule kwa wasiojitambua, na chama kinakufa pole.
 
Ndio ambavyo kila mtanzania aliaminishwa kuhusu Mtaa uliopata umaarufu kwa kipindi cha hivi karibuni, mtaa wa Ufipa uliopo Kinondoni ambapo ndipo CHADEMA walipokodi nyumba na kufanya Makao Makuu yao. Sehemu hiyo ilionekana ni Pepo ambayo ndani yake waliishi Malaika wema na wazuri.

Baadhi yetu ambao tumeishi kwenye ofisi hiyo kwa muda wa masiku yenye kuhesabika tuliweza kuujua ukweli halisi nje ya ule ambao Watanzania waliaminishwa.

Baada ya kuujua Ukweli halisi kuwa eneo hilo wamejaa wapiga dili wa mjini, wezi, wababaishaji, wabinafsi na mafisadi papa waliokosa fursa tuliamua kujitenga nao na kuanzia hapo tulianza kuonyesha na kuwasaidia watanzania kuuelewa ukweli kuwa hapo wanapiamini wanaishi Malaika kimsingi wanaishi Mashetani.

Kwa muda kidogo watu hawakutuelewa, hawakuamini na kusadiki maneno yetu mpaka pale ambapo MUNGU mwenyewe alipoamua kuwadhihirishia Watanzania kuwa yeye si sehemu ya mpango wa Ufipa.

Ndivyo ilivyokuja kudhihirika leo SHETANI Mkuu amekuwa ndio jemedari wa Pango hilo lililosemekana la MALAIKA wema...MUNGU hamfichi mnafiki..

CHADEMA - Mpango wa MUNGU unaoendeshwa na SHETANI.

Juliana ccm kila siku wanasema wapinzani wabaya na hawalitakii mema taifa imekuwaje weye uliyekuwa mpinzani wakakupokea na ubunge wanataka kukupa? Kwahiyo ccm kuna wabaya? Kama wewe ulitubu kwanini lowassa hajatubu?
 
Back
Top Bottom