Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Unamuulizia Mrundi sio ?Vipi yule jamaa mla dagaa wa Kigoma mwenye cheo kikubwa cha pili kutoka juu yeye ameshapata chanjo kipindi kile akiwa mahututi.? Mana sijamuona leo
Unamuulizia Mrundi sio ?Vipi yule jamaa mla dagaa wa Kigoma mwenye cheo kikubwa cha pili kutoka juu yeye ameshapata chanjo kipindi kile akiwa mahututi.? Mana sijamuona leo
Yule hahitaji chanjo kwa sasa maana aliugua. Hivyo ana antibodies.
Upumbavu kabisa.Yaani mnatuletea Drective kutoka CDC kama jibu.Yule alikuwa ni RAIS wa nchi AFYA yake ni kipaumbele.Acheni SIASA kwenye afya ya RAIS.Kubalini kwamba walikosea.Tena screenshotKwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya COVID-19.
Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kusafisha mikono yake kwa kutumia vipukusi kabla na baada ya kutoa huduma.
#Jikinge, wakingeWengine
Chukua hatuaView attachment 1871870View attachment 1871871
PIA SOMA:
- #COVID19 - Ikulu: Imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?
Miili yetu inatofautiana. Yes inawezekana alitengeneza baadae zikaanza kupungua with time. Makamu kapima itakuwa ana antibodies za kutosha .Otherwise lazima angachanja.Mbona Mgwira aliugua na vikaja mrudia na kuondoka mazima?
Je yeye antibodies
Ahsanteni sana wizara ya Afya kwa kuwa nanyi katika JF ili tuweze kupewa habari kutoka wizarani kwenu, lakini nasi tuna vijiswali tunaomba kujuzwa.Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya COVID-19.
Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kusafisha mikono yake kwa kutumia vipukusi kabla na baada ya kutoa huduma.
#Jikinge, wakingeWengine
Chukua hatuaView attachment 1871870View attachment 1871871
PIA SOMA:
- #COVID19 - Ikulu: Imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?
Kama wewe siyo roboti anglia nipicha ipo hapo anaye chanjwa na mchanjaji ni mangurumbembe kichwa kuku
Wewe ni robotiAlikuwa anatumia sanitizer kila baada ya kumchoma mtu chanjo.
Nimiongoni mwa maajabu 7 ya duniaMi Tanzania huwaga sielewi wanatushauri tusikusanyike ila wao wanatukusanya mfano leo kwenye uzinduzi sikuona umuhimu wa kujaza watu kuja kushuhudia uzinduzi, ivi kulikua haiwezekani mh Raisi akapata chanjo yeye na mumewe au watu wachache mbele ya kamera the anatoa hutuba kuhamasisha watu wengine wafuatilie kupitia media
Sijajua kwanini umeniambia hivyo ila nilichokisema ndio nilichokuwa nakiona.Wewe ni roboti
Nilitegemea hili lingeonekana pia kwenye GUIDELINE ya wizara kuhusiana na masuala ya UVIKO-19 maana miongozo ndio inayotumika kwa sehemu kubwa katika kutoa huduma za afya na hivyo inapaswa kuwa comprehensive kwa kiasi cha kutosha na uvaaji gloves kama PPE (Personnel Protective Equipment/kifaa kinga) ni sehemu ya IPC (Infection Prevention and Control).Kwa mujibu wa taarifa hapo juu, Gloves sio lazima kuvaliwa wakati wa kuchoma chanjo ya COVID-19.
Hivyo tunapenda kuwatoa hofu wananchi kuwa Mhudumu aliyewachoma chanjo Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na viongozi wengine alikuwa anatekeleza majukumu yake kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kusafisha mikono yake kwa kutumia vipukusi kabla na baada ya kutoa huduma.
#Jikinge, wakingeWengine
Chukua hatuaView attachment 1871870View attachment 1871871
PIA SOMA:
- #COVID19 - Ikulu: Imekaaje viongozi kuchomwa chanjo ya Corona bila wauguzi kuvaa gloves?
Kwani kumchanja mtu sio kumhudumia? Au tafsiri ya neno huduma ni nini?Mkuu kwani huyo mtoa huduma alikuwa anatoa huduma kwa wagonjwa? Wagonjwa wanapewa tiba na si chanjo
Huyu jamaa mtata, tuone TISS na umahiri wao watafanyaje maana ametoa accusations za conspiracy eti wao wanachanja fake wakitambua madhara ya hiyo vaccination. The porn star Gwajiboy has real guts.Wizara ya Afya Tanzania tafadhali toleeni ufafanuzi na hili la gwajima kuepusha mkanganyiko zaidi.. Kumbukeni impact yake kwenye hili sio nzuri.. Tafadhalini msikae kimya.. Mnapaswa kutoa ufafanuziView attachment 1872358
Kama wana ukimwi je?, Au haina shida hiyo. Usisahau damu inabeba magonjwa mengi tu yajulikanayo na yasiyojulikana pia.Mkuu kwani huyo mtoa huduma alikuwa anatoa huduma kwa wagonjwa? Wagonjwa wanapewa tiba na si chanjo