UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.
Mkuu kwani wanaliona hilo, wao wamekazana refa amewaonea. Kwani wasingecheza faulo za kijinga kama za kipa wao, sanogo na rose, refa gani mjinga angewapa kadi?

Ukiwapa ukweli hasa huyu anayejiita balali, kwenye uzi wa mdau mmoja hapo juu anajidai kukubali wakati maelezo kama hayo nilikwishampatia mimi, akasema mimi ni mnazi sijui kuchambua. Hao ni watu wanaotapa tapa mlango wa kutokea wameshauona wanabakia kupiga kelele kwa refarii tu.

Mbona mara zote wanapobebwa na kufunga magoli ya kuotea kwenye EPL huwa hawamlaumu mwamuzi kwa kuwapendelea!!!...
 
Ha ha ha haaaaa! Sizinga

Eti mbabe wangu! Tatizo hutaki kukubali ukweli!

Eti Mwaka huu kabati Lazima ing'ae!!!! Kwa timu gani?

Kocha wako ameanza Kua na Akili! Kaanza muweka Geroud bench baada ya kelele sn! Ata kwa Ozil itafika tu!
Huyo anakupotezea muda wako, arsenal ikitaka ichukue ubingwa labda ije kushiriki ligi ya Vodacom Premier-Tanzania.

Mbuzi jana kachinjwa bado kuliwa supu ndani ya Arena wiki mbili zijazo.
 
Nilicho kigundua mimi ni kua ligi ya Uingereza imepongua ule ubora wake wa asili. Sasa ni mwaka wa pili mfululizo wanashindwa kuivusha angalau timu moja kwenye hatua ya nusu fainali, wakati si kawaida yao.
Baba yao mwaka huu anaumwa kidogo, tusubiri mpaka atakapopona arejee na makali yake, kinyume na hapo hakuna timu England inayofurukuta UEFA CL labda kidogo Chelsea.

Baba lao anaumwa kidogo lakini mpaka sasa hajapoteza mechi hata moja.
 
kama kweli unafikiri RED CARD YA KIPA WA ARSENAL ILIKUWA HAISTAHILI basi nimemaliza huu mjadala.
Mkuu unabishana na hao wasindikizaji wa ligi kwa muongo mzima sasa. Furaha yao ipo kwenye kubishana baiskeli ya miti tumeiona kwenye mporomoko iko spidi , wamepewa milima wanaambulia vipigo mpaka bao 5-1, Hata hiyo wanayosema mbovu iliwatungua O.T na OZIL wao akiwa ndani mpka akaomba SUB. Man U hiyo hiyo mbovu ilipokuja Emirates walipagawa, je ingekuwa fiti kama siku zote, siwangelamba bao 8 kama mwaka juzi.

Hao wabishani wa vijiwe vya kahawa wakubali au wakatae Ozil ana udhaifu kama wa Mrisho ngasa. Ngassa alipojaribiwa West Ham akaambiwa bado dhaifu aongeze msosi, aliporejea akaoa mke wa pili.
 
Huyo anakupotezea muda wako, arsenal ikitaka ichukue ubingwa labda ije kushiriki ligi ya Vodacom Premier-Tanzania.

Mbuzi jana kachinjwa bado kuliwa supu ndani ya Arena wiki mbili zijazo.


Mkuu mi namwambia ukweli! Kazi kwake!
 


Mkuu Nataka niseme kitu kimoja! Man Utd ktk UCL watafika mbali sn kwasababu ndio kombe ambalo wanaweza kupambania na kuwaokoa ili kushiriki UCL msimu ujao!

Mimi utabiri wangu final itakua ni Chelsea na Man Utd! Kwasababu Barc na Munich hazitofika final!
 
Kwa post zako tu nilishakuelewa wewe ni mtu wa aina gani ndiyo maana nikamwambia Ntuzu mimi nimekusamehe, hujishangai sikujibu! Hivi ni mtu gani mwenye akili zake timamu ataongea maneno kama hayo hapo juu wakati mpira umeangaliw adunia nzima na kila mtu ameona Arsenal hamna kitu pale.

Matokeo yake unanilazimisha nitoe maneno ya kashfa kama ulivyozoea wewe na malezi yako mabovu. Anyway kama mimi niliugua degedege niwewe mama yangu ndiye uliyeniuguza mpaka nikapata nafuu. Hongera!!
 

anaetaka kujua OZIL anafanya nini asome hapa

Why is Ozil fading? | Football News | Sky Sports
 
mkuu umenichekesha sana!!! kuna mshabiki mmoja wa arsenal nilimwambia lile shoot hata mngekuwa 12 goli lingeingia!
Nashangaaa hao wanaochonga maneno hapo juu hawajajibu swali langu. Labda uelewa wao zaidi ya refarii haufiki mbali.
 

stats suggest otherwise...

Why is Ozil fading? | Football News | Sky Sports
 
Team za ugenini ndio zinashinda....kuna wingi wa penalt....kila team inajitahid kupiga cape exept at madrid....red card zinatolewa sana..tupia maajabu mengne uliyoona

Hovyo kabisa, maajab yapo wap sasa
 

faida ya kumuuza Nemanja Matic kwa £2m na kumnunua tena kwa £22???
Mh!una lako wewe

Ashley cole,peter cech,willian,hazard,etoo,sarah,schurrel, hawa hawakuwa mastaa huko walikotoka?
Nasema una lako wewe..!
Lukaku,van ginker,de brune,ba,moses mbona hawapewi nafasi?
Mujifunze kukubali ukweli
 


Ha ha ha haaaa! Naona umekuja kasi ya risasi!

DullyJr kila mchezaji aliepo pale Chelsea ni muhimu na Lazima acheze! Na mfano kidogo tu, Sisi hatuna mfungaji maalum! Kila mmoja anachapa! Ata km Beki! Hapo ndio utaona kila mchezaji mmoja ni muhimu kwa Chelsea!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…