City ! City mnaleta mchezo jamani hauwezi kustuka kwa matokeo haya ya ivi karibuni bayern kapigwa 3, man u 4,toten 7 , arse 6 toka usingizini city chini ya eng pelligrin ni hatare .city walianza kwa kuchechemea ndo maana bayn wakashinda 3 lakini hakuna atakaye nyamazisha moto huu
Tena mtaanzia Etihad kisha mtaenda kule machinjoni.