Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,465
Barcelona ni timu ambayo inakuwa overrated...! Kama Lionel hayupo kwenye "form" Barcelona FC ni "mdebwedo" tu
...loh! TANESCO WAMEKATA UMEME!
Tunaomba Wadau wa JF ambao wako connected na "Allianz Arena Stadium,
Munich City" tunaomba mtujuze kinachoendelea tafadhari!
Bora useme wewe, tukisema sisi wengine tunaonekana hatujui soka. Ndivyo ilivyokuwa kwenye mechi yao iliyopita dhidi ya PSG. One Man team lazima wachezee kichapo leoBarcelona ni timu ambayo inakuwa overrated...! Kama Lionel hayupo kwenye "form" Barcelona FC ni "mdebwedo" tu
Bora useme wewe, tukisema sisi wengine tunaonekana hatujui soka. Ndivyo ilivyokuwa kwenye mechi yao iliyopita dhidi ya PSG. One Man team lazima wachezee kichapo leo