Kacharimbe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 216
- 35
Utabiri au ndo draw yenyewe?
Ilikuwa utabiri mkuu
Utabiri au ndo draw yenyewe?
mimi nadhani kuanzia home ni faida
Mkuu Chebi tupe na tarehe zake pls.ni kweli mkuu nilikosea katika kuandika ila hakuna tofauti ya dakika ni lisaa moja tu kwa wakati huu wa joto thank u mkuu
Asiyelijua hilo awaulize AC Milan.Mkuu kwenye mechi kama hizi na hatua kubwa kama hii kuanza nyumbani ni msala...
Usimuone Simba kalowana maji ukadhani Mbuzi, kawaulize wazee wa Serie A kilichowakuta.Barca hawapo vizuri sana,beki inapwaya
Asiyelijua hilo awaulize AC Milan.
Asiyelijua hilo awaulize AC Milan.
Usimuone Simba kalowana maji ukadhani Mbuzi, kawaulize wazee wa Serie A kilichowakuta.
Mambo ya kutoa sare yasifanye uione Barca imekwisha, kumbuka Messi alikuwa majeruhi sasa yupo fit.
Hata mimi ningependa iwe hivyo tatizo ni moja tu, huyu Simba amelowa maji tu.safari hii bavarians wapo vizuri si wamasihala kabisa na ninavyowajua huwa hawaanziagi ugenini kule ugenini wanaenda kukutoa tena atatoka kama alivyomtoa psg just wait buddy..
Katika defence, wachezaji wengi wa Barca wanachezeshwa out of their natural positions, mfano Masch ni pure midfield, lakini anachezeshwa kama beki wa kati, Piqe pia ni kiungo, naye anacheza beki ya kati.Usimuone Simba kalowana maji ukadhani Mbuzi, kawaulize wazee wa Serie A kilichowakuta.
Mambo ya kutoa sare yasifanye uione Barca imekwisha, kumbuka Messi alikuwa majeruhi sasa yupo fit.
Batra ni natural centre back na ana kiwango kikubwa,nashangaa kwa nini Tito/Roura hawampi nafasi huyu dogo wakati ni mzuri kuliko kuwachesha Mascherano/Adriano/Song ambao sio mabeki wa kati.Jose Mourinho ameamua kuwapiga benchi Cavalho na Pepe na kumpa namba kijana Rafael Varane ambae ameonyesha kiwango kikubwa sana.Batra inabidi apewe nafasi apate uzoefu ili aje kuziba pengo la Puyol ambaye majeruhi yanamsumbua sanaKatika defence, wachezaji wengi wa Barca wanachezeshwa out of their natural positions, mfano Masch ni pure midfield, lakini anachezeshwa kama beki wa kati, Piqe pia ni kiungo, naye anacheza beki ya kati.
Hawa makeshift defenders wameanza kuonekana si lolote sasa ni kwa sababu tu ya tofauti ya mbinu za ufundishaji kati ya Pep na Tito. wakati wa Pep hawa wote walikuwa vizuri na ndo sababu ilikuwa vigumu kuona matobo kwenye backline.
Beki wa kati pekee anayeaminika ni Puyol, ingawa naye naturaly ni full back, sasa tatizo katika mechi ya PSG ni Adriano kucheza sentahafu, kwanza mfupi na pili ni winga na akawa anakabiliana na world class stricker, Zlatan. Ikabidi Alba asipande kama kawaida yake ili kufukia ubovu wa beki ya kati, hali kadhalika Busqet akalazimika kucheza chini zaidi, lengo ni lilelile kuficha ubovu.
Kama Tito angekuwa Pep nadhani Bartra angekuwa keshapata uzoefu kiasi cha kuweza kuwakabili watu kama Toni Kroos, lakini hatuoni kama huyu mtoto(20 yrs) anaaminiwa na kocha licha ya kuwa ni natural centre back na kafanya vizuri sana na timu za vijana za Spain.
So kosa kubwa kwa Barca ni kumnunua Song badala ya kuhangaikia beki wa kati.