benifica(portugal) fc basel(swis) fenerbahce sk(turki) and chelsea (uk)Vp europa league timu ipi nyingine iliyofudhu kwa nusu fainal tofauti na chelsea na basel? Cjapata matokeo mengine mkuu. Niabarishe
Hapo kwenye red, sidhani kama tofauti ya muda ipo hadi kwenye dakika...tanzania ni saa nne na dk 34 wakati hapa nyon ni saa tatu na dk 35
UCL
madrid vs dortmund
bayern munich vs barcelona
EUROPA
chelsea vs basel
benfica vs fernabache
Chelsea anaanzia away vs basel na sio vice versa au wishful thinking?UCL
madrid vs dortmund
bayern munich vs barcelona
EUROPA
chelsea vs basel
benfica vs fernabache
Mkuu naungana na wewe, hasa ukiangalia historia ya Kocha Jose Mourinyo kuanzia alipokuwa na Porto Football ClubBado ninaipa Madrid nafasi kubwa ya kuprogress kwenda fainali...binafsi si mpenzi wa madrid ila ninaona wana kila ari na uchu wa kuutaka ubingwa!
Utabiri au ndo draw yenyewe?
ni kweli mkuu nilikosea katika kuandika ila hakuna tofauti ya dakika ni lisaa moja tu kwa wakati huu wa joto thank u mkuuHapo kwenye red, sidhani kama tofauti ya muda ipo hadi kwenye dakika
Wajerumani wamepata bahati mbaya wote wanaanzia home,my prediction wembley barca vs mourinho,bingwa mourinho