Ambitious
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,143
- 878
Mimi washabiki kama wwe huwa siwapendi kabisa, mtu unashabikia kwa lugha za matusi ili iweje? Why dont you put ur analysis logically kama mpenzi wa mpira? Mambo ya mashoga tena hayo yote ya nini? Ndo mana bongo mpira wetu hautaendelea kwa sababu sisi wenyewe hatujui ushabiki!
Wacha1 grow up already mkuu..unaweza kufikisha ujumbe wako bila kutumia matusi.
Jakubumba sio mara ya kwanza kwa huyu mtu kuambiwa na watu zaidi ya moja ikiwemo na mimi mwenyewe kuwa aache huu utoto wake.Ila ni mbishi sijapata kuona yaani sijui anataka aelezwe vipi!!!
Last edited by a moderator: