prince pepe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 215
- 29
Ni vijana wa darajani mkuu
Usijali mwana mzunguko wenu wa yuefa kapu lasti 32 upo mwana. Ila kwa sasa fokasi na EPL mwana achana na vingine
Ni vijana wa darajani mkuu
Nafuu time yangu imetoka nitaangalia game zote kwa raha kabisa.
We omba wakupatie kibonde vinginevyo 16 bora ndo break!
What do you mean you chelsick mupp.......ooops Mvina? Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
We omba wakupatie kibonde vinginevyo 16 bora ndo break!
Uzuri hii ni michuano ya mabingwa, ili uchukue ndoo inabid upambane na mabingwa! So mlete yeyote si tunachapa tu, gunners' forever!
Nipo poa usipokubali kushindwa basi we si mshindani will bounce back next yr. Kilala Kheri, mjitahidi basi ndoo ibaki London hapo mwakani!I know how you feel ... ... .. right inside your bones ...... ... .khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee maumivu yakizidi mwone Invisible akusaidie na JF doctor ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Utakuwa umefanya jambo jema sana mkuu. Nipe tu wazo kuu nitaelewa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Uzuri hii ni michuano ya mabingwa, ili uchukue ndoo inabid upambane na mabingwa! So mlete yeyote si tunachapa tu, gunners' forever!
Ni vijana wa darajani mkuu
chesiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
What do you mean you chelsick mupp.......ooops Mvina? Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
usijekutukana tu au kupotea humu ukazamia kwingine..
i want BvB na arsenal nione itakuwaje maana msimu uliopita walitolewa na arsenal hawa jamaa...
Possibly Man U will face FC Porto. I'm sure that Man U they are going to be the champions. Chicharito, Van Persie, Rooney, etc they are going to give as the trophy.
Kuelekea hatua ya 16 bora:Machaguo ya Arsenal na Man United.
Timu zinazoweza cheza dhidi ya Man United:
Celtic,FC Porto,AC Milan,Real Madrid,Valencia,Shaktar Donestk
Wapinzani wenye kufaa/ahueni kwa upande wa United: Celtic
Japokuwa inawezekana kuwa match ya upinzani lakini hawa ndio kidogo watakuwa rahisi kwa Man United.
Wapinzani wa tishio kwa United: Real Madrid
Kikosi hiki cha Mourinho bado ni hatari na kina nafasi ya kuchukua ubingwa licha ya kulazimishwa kuwa namba 2 kwenye kundi na wakali B.Dortmund.
Timu zinazoweza cheza dhidi ya Arsenal:Malaga FC,Barcelona,Borussia Dortmund,Juventus,Bayern Munich,PSG.
Wapinzani wenye kufaa/ahueni kwa Arsenal: Malaga FC
Hawa ni afadhali kwa Arsenal kutokana na ukweli kwamba hawana uzoefu katika ligi ya mabingwa.
Wapinzani tishio kwa Arsenal: Barcelona.
Nani wengine wa kuogopwa kama sio hawa? Wakiwa na Messi aliye kwenye kiwango moto wa kuotea mbali na uchu wa kuvunja rekodi ni dhahiri kwamba hii ni timu ngumu zaidi kukabiliana nayo.Christiano Ronaldo atateka vichwa vya habari bilashaka.
Mkuu Sumu hapo nimejaribu kuweka tafsiri rahisi kadri ya uwezo wangu.
Kama ndo hivyo nataka chama langu la AC Milan tukutane na Man U. Naichukia Man U kuliko kitu chochote kile.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
usijekutukana tu au kupotea humu ukazamia kwingine..
I want bvb na arsenal nione itakuwaje maana msimu uliopita walitolewa na arsenal hawa jamaa...
arsenal w want barca!!?? .. I hope hatutopangwa na juve sijui nitashangilia wapi! ... maaana dah