Anyway, tutalipa kisasi!
Hawa jamaa mi siwaogopi wala nini...Kama unakumbuka hata ile game ya fainali ilikuwa yetu sema ndo hivo,muda mwingi tulicheza tukiwa 10 uwanjani(Lehman alipewa red card dakika ya 18 tu) na tumeongoza muda mrefu kwa goli la Campbell la dakika ya 37....jamaa walikuja sawazisha dakika ya 76 na kutuongeza la 2 daika ya 80 tukiwa 10 uwanjania...Anyways,ni historia hiii tayari...Hawa jamaa tutawamudu tu(wanalijua hilo) maana hata form yao kwa sasa kwenye La Liga sio nzuri kiviiiile
...mimi nataka waje 100% perfect ili 'wanga wetu' kina Chelski na Manure wasipate visingizio oooh, mliwafunga kwakuwa, kwakuwa....
Hawa Barcelona wetu hawa,...mtashangaa wenyewe.
Am so happy na draw hii!...
Mshabiki bandia umerudi? Lakini matanga bado hayajaisha si unakumbuka kichapo cha Inter? Umebakia kuchungulia tu sasa wanaume wa shoka wakikutana na kuomeshana kitale wakati pensioners wamerudishwa Darajani kwa aibu.something is wrong upstairs!
something is wrong upstairs!
Jiheshimu mkubwa hivi unafikiri kipindi hiki tutawaacha wapite? Washika bunuki tuko imaa kwa sasa na hatuwaachi Barca. Hivi unafikiri mashetani wekundu watapita hapa kwa B. Munchen? Lazima warevenji kipigo cha 1998. Tatizo la Man U Misifa kibao, tulieni mpira unadunda ndo mtawaona Wenger's teenagers walivyo kwenye formNaona fainali ni Manu na Barca tena!!
...mimi nataka waje 100% perfect ili 'wanga wetu' kina Chelski na Manure wasipate visingizio oooh, mliwafunga kwakuwa, kwakuwa....
Hawa Barcelona wetu hawa,...mtashangaa wenyewe.
Am so happy na draw hii!...
U might b happy on ur smilling face but something is burning u inside ...Polee wee wenzio wanaona kama vile wamepewa taarifa ya kifo
...mimi nataka waje 100% perfect ili 'wanga wetu' kina Chelski na Manure wasipate visingizio oooh, mliwafunga kwakuwa, kwakuwa....
Hawa Barcelona wetu hawa,...mtashangaa wenyewe.
Am so happy na draw hii!...
Duuh! Mwaka huu tutasikia mengi sana mpaka kufikia hii mechi, ni kama vile vijimambo mwaka wa uchaguzibongo! Huu uteja unaoongelea umeanza lini mkuu??!! Maana statistic zinaonyesha Arsenal hajawahi kuwafunga Barcelona, ni kipigo tu wamepokea Arsenal, sasa nani mteja hapo?We waache tu, ndiyo hapo watakimbia jukwaa vijana watakapotinga kwenye Semifinals baada ya kuwafanya vibaya hao BARC. Nani alitegemea hawa wa Darajani watatolewe na BARC? Hawa ni wateja wetu tu aggregate Arsenal 5 BARC 2.