UDSM yawapandisha viwango wahadhiri watatu

UDSM yawapandisha viwango wahadhiri watatu

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimetangaza kuwapandishwa vyeo wahadhiri wake watatu kutoka cheo cha Mhadhiri hadi Mhadhiri Mwandamizi.

Waliopandishwa ni: Dk. Mamta T. Pandey – Idara ya Sosholojia na Anthropolojia (COSS), Dk. Teresia E. Nkya – Idara ya Vimelea na Parasitolojia, Chuo cha Mbeya cha Sayansi ya Afya (MCHAS) na Dk. Dotto P. Kuhenga – Shule ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma (SJMC).

Uongozi wa chuo umewapongeza kwa juhudi zao katika machapisho na ufundishaji, na kuwatakia mafanikio zaidi katika taaluma.
1750499005047.jpeg


1750500210662.jpeg
 
Dk. Teresia E. Nkya – Idara ya Vimelea
Huyu namfahamu vema! Basi vema Hongera Theresia.

Pili wengeweka na publications zao tukaona kama kweli ni wabobezi au ni janja janja ya nyani kuruka ruka kwenye miti!

All in all, pongezi zao kubwa na wakawe Wana taaluma ya kutatua changamoto za dunia hii with focus on Tanzanian problems.... MASTERY FOR SERVICE!
 
Wamegundua nini?
Si rahisi kugundua, kugundua si jambo la kuja JF na kuandika kama tunavyofanya, ndiyo mana Nobel Prize ni chache sana kila mwaka. ...contribution yao hawa wa kwetu ni katika enhencement of knowledge in their respective fields has to be acknowledged/recognised by academic awards kama walivyopata!
 
Wametoa msaada gani kwenye jamii.
Mambo hayo hayana mpango siku hizi.
Vitu vingine ni nosense. Siku nyingine lete habari ya kutandaza mabomba ya maji mpigi majohe
 
Jalala limeongeza idadi ya machizi.

Publication zao zitakua hzi

Here are the confirmed academic publications for Dr. Teresia E. Nkya (Mbeya CoHAS), based on available sources:

---

📚 Dr. Teresia E. Nkya – Mbeya College of Health & Allied Sciences

1. Nkya, T. E. (2023).
Prevalence and risk factors associated with Schistosoma haematobium infection among school pupils in an area receiving annual mass drug administration with praziquantel: a case study of Morogoro municipality, Tanzania.
Tanzania Journal of Health Research, 24(4), 445–459.

2. While the same author has been associated with broader environmental and epidemiological studies—such as:
- Schistosoma haematobium infection and environmental factors in Southwestern Tanzania (2020)

- Persistent transmission after mass drug administration in Southern Tanzania (2023)

These works involve regional epidemiological research. To confirm her exact authorship, the institutional affiliation matches hers, suggesting substantial involvement.

---
KWAMACHAPISHO KAMA HAYA YA KIPUMBAVU USITEGEMEE LOLOTE LA MAANA KUTOKA KWA WASOMI WA KITANZANIA
 
Huyu namfahamu vema! Basi vema Hongera Theresia.

Pili wengeweka na publications zao tukaona kama kweli ni wabobezi au ni janja janja ya nyani kuruka ruka kwenye miti!

All in all, pongezi zao kubwa na wakawe Wana taaluma ya kutatua changamoto za dunia hii with focus on Tanzanian problems.... MASTERY FOR SERVICE!
Hawa wote wana publish kwenye peer reviewed journals. Ukitaka kuona basi serarch hata jina la huyo mtu.

Nyingi ya hizo journals ni za kulipia unless kama waamue kupublish kwa open access policy.
 
Niambie lini maisha yako yamekuwa promoted mkuu bila ya kuwa ndani ya system
Nimekuwa humo kwenye academic institutions. Ni juhudi yako kusoma quite a lot of literature in your area, kuona wapi kuna gap ya knowledge, and you think how you can fill that gap. You develop an idea, sell it to your partners, and if it sails through on merit, then you can raise funds from possible funders in research.

You conduct your research, present your findings in publications, and so on. In doing so, you get your remuneration. Ukipata funders /partners wazuri unapata ka hela kazuri.... maisha yanasogea

That is how research rewards those who struggle hard to write fundable research ideas/proposals
 
Hawa wote wana publish kwenye peer reviewed journals. Ukitaka kuona basi serarch hata jina la huyo mtu.

Nyingi ya hizo journals ni za kulipia unless kama waamue kupublish kwa open access policy.
correct! uko sahihi. Lakini ukiwa na funds, you include publication fees/costs...
 
Wametoa msaada gani kwenye jamii.
Mambo hayo hayana mpango siku hizi.
Vitu vingine ni nosense. Siku nyingine lete habari ya kutandaza mabomba ya maji mpigi majohe
wote hatuwezi kutandaza mabomba........ kuna wko kwenye fani hizo
 
Kila taasisi huwa inapandisha viwango kwa wafanyakazi wake; ikiwa kila taasisi itakuwa inaweka hapa jukwaani waliopandishwa, uzi huu hautatosha.
Hayo ni mambo ya ndani ya taasisi, hakuna cha ajabu hapo.​
 
Jalala limeongeza idadi ya machizi.

Publication zao zitakua hzi

Here are the confirmed academic publications for Dr. Teresia E. Nkya (Mbeya CoHAS), based on available sources:

---

📚 Dr. Teresia E. Nkya – Mbeya College of Health & Allied Sciences

1. Nkya, T. E. (2023).
Prevalence and risk factors associated with Schistosoma haematobium infection among school pupils in an area receiving annual mass drug administration with praziquantel: a case study of Morogoro municipality, Tanzania.
Tanzania Journal of Health Research, 24(4), 445–459.

2. While the same author has been associated with broader environmental and epidemiological studies—such as:
- Schistosoma haematobium infection and environmental factors in Southwestern Tanzania (2020)

- Persistent transmission after mass drug administration in Southern Tanzania (2023)

These works involve regional epidemiological research. To confirm her exact authorship, the institutional affiliation matches hers, suggesting substantial involvement.

---
KWAMACHAPISHO KAMA HAYA YA KIPUMBAVU USITEGEMEE LOLOTE LA MAANA KUTOKA KWA WASOMI WA KITANZANIA
I liked your contribution supported by the evidence included therein.
 
Habari hii ina umuhimu gani mtu kupanda cheo ni suala la ajabu?
 
Hizo ndio habari muhimu kwa wanachi. Ni bora hata ukilima mchicha utuambie. Lkn sio habari kama hizo
MTAZAMO WAKO UNAHESHIMIWA, UKIWA NDANI YA ACADEMICS, UTAPINGANA NA MTAZAMO WAKO! WA MCHICHA NAYE ALETE ANAVYOLIMA MCHICHA WENYE LADHA AND THE LIKE!
 
Back
Top Bottom