,mzumbe,sauti,muccobs,cbe wapo?
ukweli utabaki kua ukweli UDSM ni chuo bora kuliko chochote kile TZ.
SAUT nadhani wa mwisho manake output yake duuuuuuuuuuuu, difficult to elaborate----
na walimu wa pale duuuuuuuuuuu..........................
SAUT WANASHUSHA HADHI ZA Graduates hapa nchini.....SAMAHANI KWA WALE NITAKAO WAUDHI
Chuo kikuu cha Dar es salaam kimeshika namba 11 Afrika, ikiwa namba 1 Afrika Mashariki, huki Nairobi kikishika namba 14 au namba 2 A.M. Zaidi fungua link2012 World University Ranking | Top 100 Universities in Africa
tanzania kweli elimu bado! Sasa kama udsm ndo ivi! Embu angalieni viongozi wa nchi wanaotolewa na hicho chuo wanachokifanya! Embu angalia hata walimu wake wengine wametimuliwa un wanasingizia kuisha kwa muda! Hao wakurugezi wa maofisi waliotolewa na hichi chuo ndo kwanza wanaishia kusimamishwa kwa wizi tu! Ndo mana wadhungu wanakwambia age is nothing but a number, so iyo rank kwa udsm ni uchafu tu! Mana kama wao ndo no1 tulitegemea kupata maendeleo kutokana na product ya hiki chuo, sasa zaidi zaidi tunaambulia mafisadi na wengine machui waliojivika ngozi za kondoo! Poor university.
Ukweli wa mambo ni kwamba UDSM ni chuo cha kichovu na haina maana mtu uki point out uchovu wake basi ulikosa alama zinazokidhi udahili wa hapo.
Wapo watu ambao hata hawakuwa na mpango wa kwenda kusoma hapo licha ya kukidhi vigezo vyote.
Udsm kitu gn,kilikuwa kinatesa zaman tu but now days hakuna kitu hapo,afteral sion sbb ya kukisifia sn kwsbb product zake ndo zimetufikisha hapa tulipo,50 yrs ya uhuru bado twatembea kwa barabara za vumbi na viongoz ndo wametoka hapohapo udsm kinachosifiwa hapa.
Katufu UDSM itakuja haribiwa na general selection ya TCU, Wahadhiri wawe ngangari ili kuchuja pumba na mchele maana wanafunzi wengi kutoka Yeboyebo ni vilaza sana tofauti na awali ambap chuo kilikuwa kinachukua best of the best students.
Hahahahaa...eti vikwapa!
Hivi umefika hapo Mlimani hivi karibuni? Vyumba vya madarasa pamoja ofisi za walimu ziko kwenye hali mbaya sana.
Majuzi tu hapa nilienda kwenye jengo la idara ya Historia nikasikitika sana. Kwanza ukiingia tu unakumbana na harufu mbaya ya chooni. Halafu kwa ujumla tu hali ya jengo na ofisi zake ni mbaya.
Nkrumah Hall na yenyewe imechoka vibaya mno. Dorms ndiyo balaa. Yale majengo marefu moja sijui linaitwa Hall 4 lile...ipo siku yataanguka na kuua watu.
,mzumbe,sauti,muccobs,cbe wapo?
Mkuu kwenye hiyo list yako hakuna chuo kikuu.
Tatizo mnaponda Udsm then hamsemi kipi bora?
Kenya inapotoa vyuo 5 na tz inatoa 1,udsm ni ya 23 africa mhhhhhhhhhhhhh
umejieleza vizuri sana,hakuna sababu ya kuisifu udsm,product yake inatesa nchi kwa wizi nadhani huwa ni chuo cha kufundisha mbinu za wizi