Ndiye huyo huyo yes alikuwa anasoma PhD lakini kaanza juzi inakuwaje fupi hivyo ?
chuo cha dodoma umejenga wewe. Hizi shule za kata ni zao la nani. Kuhusu uhuru wa vyombo vya habari.
Mhhhh! Heshima hiyo kwenye sheria amekuwa nayo tangu lini? Amefanya lipi katika kuhakikisha sheria za nchi zinafuatwa mpaka astahili kupata tuzo hii!? USANII MTUPU!
yeye ndiye aliyesababisha hizo nyufa au ni wachina.
Chuo cha Dodoma ni msaada wa Mabwana zenu Wachina na shule za kutilia mimba dada zetu (Kata) zizsizo na walimu hizo pesa zilitoka kwenye mfuko wa Kikwete?
Hongera kwa kupata degree ya uzamili. Mwenzako kikwete aliipata hiyo long time sana. Jitahidi na wewe unaweza kuja kupata PHD ya heshima kama JK
Hongera kwa kupata degree ya uzamili. Mwenzako kikwete aliipata hiyo long time sana. Jitahidi na wewe unaweza kuja kupata PHD ya heshima kama JK
Aliruka stage mkuu
Poleni vijana mlioko mlimani city maana JK bado anapata msosi hapa UDSM kwa VC then ndio aje huko
Chuo cha Dodoma ni msaada wa Mabwana zenu Wachina na shule za kutilia mimba dada zetu (Kata) zizsizo na walimu hizo pesa zilitoka kwenye mfuko wa Kikwete?
Duh, nini tena hapa umeme umekatika ghafla na kuna mhitimu mmoja anasema kwa sauti CCM oyeee! Kaazi kweli kweli, tupo gizani hapa jamani